jamiiforums

About Jamii Forums
logox.png

JAMII FORUMS (JF) is a Non-Governmental Organization that advocates and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance. It has helped Human Rights Defenders to remain safe online, enhance digital skills for various CSOs and using content engagement in amplifying their work on its platforms across Social Media.

JF operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well known for Stories of Change with a proven track record in public engagement around critical social issues reaching over 3,000,000 people daily. JamiiForums.com was found in March 2006.


Focus Areas
  • Amplification of Citizen Voices
  • Access to the Right Information
  • Data Privacy and Protection
  • Digital Rights Advocacy
  • Promotion of Stories of Change
  1. GENTAMYCINE

    Baada ya Kusikia Mgeni Rasmi kwa Washindi wa Majukwaa JamiiForums ni Rais wa Marekani Joe Biden naomba mniazime Suti nivae

    vibertz, Tate Mkuu, Isanga family na OKW BOBAN SUNZU nasikia mna Suti Kali sana naomba Mmoja wenu aniazime ili nivae Siku ya Kupokea Tuzo yangu ya Ushindi Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums. Tafadhali nawaombeni mnisaidie kwani Nitaumbuka kwa kutokuvalia Suti Kali mbele ya Rais wa...
  2. GENTAMYCINE

    Wajumbe wa MCC Kawe ina maana hata hapa 'JamiiForums' mpo pia na bado tu 'Mnanisagia Kunguni' Mwanenu?

    Wajumbe wa MCC Kawe kama mpo pia na hapa JamiiForums naomba nichukue nafasi hii kuwatakeni radhi kama kuna nilikowakosea ili mnisamehe na nyota yangu ya kukubalika irejee kwa Jamii. Kwani kama kuna sehemu ya kipekee ambayo mara kwa mara nimekuwa nikitamba kuwa nakubalika, ni maarufu na mimi...
  3. GENTAMYCINE

    Nasikia Washindi wa Mwaka wa Majukwaa JamiiForums 2022 watapata hizi Zawadi zifuatazo

    1. Gari Mercedes Benz new Model 2. Simu Kali kama anayoitumia Rais wa Marekani Biden 3. Kiwanja atakakochagua Yeye 4. Kwenda Kupumzika na Wanyama Serengeti National Park 5. Ofa ya kwenda kufanya Shopping Dubai ( UAE ) 6. Watatunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo...
  4. Suzy Elias

    Heri ya Sikukuu ya Noel wana JamiiForums nyote

    Leo ni mkesha wa Sikukuu ya Noeli kwa Wakristo wote Ulimwenguni kusherehekea kuzaliwa kwa bwana Yesu Kristu. Nami nichukue nafasi hii kuwatakieni nyote Noeli njema!
  5. Nazjaz

    Makao Makuu ya JamiiForums yako wapi?

    Yaani JamiiForums ofisi zenu kwanini mnazificha na hamuziweki bayana? Utasikia mara kwa Warioba Mikocheni, Mara Kawe Tripple Seven, Mara Msasani Mokoroshoni. Mbona hivyo? Mnajificha nini?
  6. Komeo Lachuma

    Hapa kama Mungu hajaingilia kati tunampoteza mwenzetu

    Nimewaza sana, Yaani mwanamke anapiga ngumi kama bondia kwa mwanaume ambaye hajamgusa. Kama roho wa Mungu hayupo karibu nawe, nakwambia kuna watu wanaweza gawana majengo.
  7. B

    JamiiForums, UTPC kunoa Waandishi wa Habari za Uchunguzi (IJ) na Maslahi ya Umma (PIJ)

    Alhamisi, Desemba 15, 2022 JamiiForums, UTPC kunoa waandishi 500 wa habari-uchunguzi Mkurugenzi wa JamiiForums, Maxence Melo na Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania ( UTPC), Kenneth Simbaya wasaini mkataba wa ushirikiano kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa waandishi wa...
  8. Jemima Mrembo

    Safari yetu wana JamiiForums Udzungwa Mountains National Park, Mwanihana Peak na Sanje Waterfalls

    Noela Shoo ni binti mdogo kwa umbo lakini she is so tough in action. Wadada na wamama Tunaopenda hiking tumekuwa tukiongozwa mara nyingi na wanaume, na kama ujuavyo changamoto zinazokabili mbuga na hifadhi zetu, vyoo ni mpaka ukute camp, kwa hiyo ukiwa njiani huwi comfortable sana. This...
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    Maisha ya jamii ya JamiiForums yako poa sana kuliko jamii ya Twitter, Facebook na Insta

    JamiiForums ni jamii moja maridhawa mno, ambamo watu watakuonyesha tabia zao halisi zaidi ukilinganisha na jamii nyingine za mtandaoni. Kwasababu wengi wanatumia majina kificho na picha kificho hapa JamiiForums imekuwa ni rahisi kuonywa kwa kupewa makavu laivu, tabia zako na mambo yako ya hovyo...
  10. Desierto

    Nilijiapiza mjini nitarudi kutembea tu, lakini hapa nimelalia maboksi baada ya kuungua na maisha ya kijijini

    Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini...
  11. S

    Wana JamiiForums msaada kupata matokeo ya waliyochaguliwa VETA 2022/2023

    Wana jámiiforums naomba msaada kupata majina ya waliochaguliwa kujiunga veta 2022/2023.
  12. GENTAMYCINE

    Ombi maalum kwa wale tu wanaonipenda na kuvutiwa nami sana kiuwasilishaji wangu hapa JamiiForums

    Tafadhali kutokana na nyie kila mara (kwa upendo na mapenzi yenu nami) mnaamua kueleza hisia zenu kwangu na kunisifia na kuishia kuhusishwa nami kuwa hizo ID's zenu ni zangu (mimi GENTAMYCINE), nawaombeni acheni kunisifia huko ili kutowakera wanaonichukia. Badala yake muwe mnaanzisha tu threads...
  13. Kipenzi Changu

    Sakata la Nabii Geor Davie, JamiiForums yatajwa

  14. GENTAMYCINE

    Kama bado hujasikiliza hili Rhumba Kali 'Se Yo' la Fally Ipupa Wewe siyo Rafiki yangu hapa Jamiiforums

    Kwa Rhumba hili Kali 'Se Yo' lake Fally Ipupa 'Decaprio" itoshe tu kisema Shikamoo Fally Ipupa popote pale ulipo. Mpinzani wako mkubwa Ferre Gola ana Kazi ya ziada ya Kukujibu kwani ni Wimbo mtamu, mzuri, umepangika na umeutendea haki na Sauti yako ya Dhahabu.
  15. GENTAMYCINE

    Nina furaha kuwa baada ya Yanga SC Kufuzu CAFCC atakayejadiliwa zaidi Jamiiforums ni GENTAMYCINE na siyo Mwingine

    Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa Talanta Kubwa ya Kujitengenezea Mjadala na niwe Mjadiliwa Mkuu wa Matukio Kinzani hapa Jamiiforums. Watu tokea Saa 4 Kamili Usiku huu baada ya Mechi ya Yanga SC na Club Africaine kumalizika Akili zao zote zilikuwa ziko Jamiiforums na hasa hasa Kwangu Mimi...
  16. GENTAMYCINE

    Natarajia Kuoa rasmi mwaka 2027 na nitapenda Members wote wa JamiiForums muhudhurie

    Naomba anzeni sasa Kupanga Kamati ya Harusi yangu ila Matola atakuwa Bodyguard wangu na LIKUD atakuwa Mpishi wa Chakula cha Harusi yangu. Wengine jipangeni Wenyewe.
  17. GENTAMYCINE

    Legal Guru mlioko hapa JamiiForums Taifa lolote likiwa na yafuatayo kutangaza 'State of Emergency' ni vibaya?

    1. Umeme wa taabu 2. Maji hakuna hata ya Kuchambia Nnya 3. Maharage Bei Juu 4. Condoms za Kuazimana 5. Watu Milioni Saba ni Mataahira 6. Anayetakiwa kutujali Watanzania kipindi cha shida hatujali na ndiyo anataka kwenda Kuchanja tena Uviko 19 kwa Wachina 7. Wananchi hatuaminiani tena...
  18. GENTAMYCINE

    Simba SC tunashinda ila Makocha wa JamiiForums tumsaidie Kocha Mgunda kukipanga Kikosi chake

    Binafsi ningependa zaidi vifuatavyo: Kikosi A 1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Mohamed Hussein 4. Kennedy Juma 5. Joash Onyango 6. Henock Inonga 7. Saido Kanoute 8. Muzamir Yasin 9. Moses Phiri 10. Clatous Chama 11. Augustine Okra Kikosi B 1. Aishi Manula 2. Israel Mwenda 3. Mohamed...
  19. Komeo Lachuma

    Kilichonifanya na aliyenivutia mpaka nikajiunga JamiiForums

    Mimi nlijiunga miaka mingi iliyopita kufuatilia habari za siasa. Ofisi ilinitaka niwe karibu sana na kila habari ya siasa humu ndani hasa kwa kuwa kuna mengi yalikuwa yanaendelea. Miaka hiyo hbr za uchunguzi nyingi na files nyingi za siri zilikuwa zinaibukia humu. Kuna watu walikuwa wanatema...
  20. D

    CR7 afikisha mabao 700 ya timu za klabu

    Sporting Lisbon - Mabao 5 Real Madrid - Mabao 450 Juventus - Mabao 101 Man United - Mabao 144 🐐Goat🙌
Back
Top Bottom