israel

  1. H

    JamiiForums Tanzania Iran Yatangaza Maofisa Wake Wawili Kuuawa na Mashambulizi ya Israel

    Juzi Iran iliishambulia Israel ikidai ni kutokana na kitendo cha Israel kuendelea Kuwashambulia Hezbollah huko Lebanon. Baada ya shambulio la Iran nchini Israel, Rais Trump alimsihi Netanyahu asijibu mashambulizi ili mazungumzo ya kumaliza vita yasiharibike. Lakini Israel iliishambulia Iran...
  2. JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Alihutubia taifa **Tuko Imara kuliko Jana**

    Raia wa Israeli, Mwaka mmoja uliopita, tulizindua shambulio la kihistoria dhidi ya nia ya Iran ya kutuangamiza kwa mabomu ya atomiki. Tuliondoa tishio hilo la haraka, na pia tulimwangamiza mtawala wa kinabavu Gaidi Ayatollah Ali Khamenei. Kama tusingechukua hatua kwa wakati na kwa nguvu...
  3. JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel atoa tamko rasmi 'Hatupangiwi na mtu"-Katz

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli Israel Katz: Hali hiyo inatumika kwa kitongoji cha Dahieh huko Beirut kama ilivyo kwa miji ya kaskazini [nchini Israeli]. Shambulio lolote dhidi ya miji ya kaskazini litasababisha shambulio huko Dahieh. IDF itaendelea kufanya kazi nchini Lebanon dhidi ya shirika la...
  4. JamiiForums Tanzania Pamoja na Tishio la Iran kwa Israel isiipige Hezboullah magaidi hao wanapigika tu!!

    Baada ya Iran kuishambulia Israel usoku kuamkia leo na IDF kujibu mapigo sawasawa Iran imebwaga manyanya kwa kutangaza haitaishambulia tena Israel kama Israel nayo haitawashambulia magaidi hao!! Ombi hilo la Iran limekataliwa kwa vitendo ambavyo Israel imeendelea kuwashambulia Hezbollah ndani...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Kundi la Hezbollah ladaiwa kuanza mashambulizi dhidi ya kambi za jeshi la Israel baada ya Iran kusitisha mapigano

    Ripoti mbalimbali za kimataifa zimedai kuwa ndani ya muda mfupi baada ya kusitishwa kwa mapigano kati ya Iran na Israel, kundi la Hezbollah lilianzisha mashambulizi dhidi ya malengo ya kijeshi ya Israel, hatua iliyoongeza hofu ya kuendelea kwa mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati. Kwa...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Barua yenye hisia kubwa iliyoandikwa kwa mkono na binti wa Lebanon na kuachwa kwa wanajeshi wa Israel kusini mwa Lebanon

    "We are Christians. We love you and thank you for emptying Lebanon of Hezbollah. Please take care of our homes, because no one is helping us restore them." This letter is a reminder that many ordinary Lebanese, including Christians, have suffered under Hezbollah's grip and dream of a different...
  7. JamiiForums Tanzania Magaidi wa Houth waingia vitani rasmi na Israel

    Msemaji wa Houthi wa Yemen, Yahya Saree: Tunatangaza marufuku kamili na kamili ya urambazaji wa baharini wa Israeli katika Bahari Nyekundu, na tunaona harakati zote za adui kuwa malengo halali ya kijeshi kwa Vikosi vyetu vya Jeshi kuanzia wakati taarifa hii tutaanza kuishambulia israel.
  8. JamiiForums Tanzania Iran just launched ballistic missiles directly at Israel

    FOR THE FIRST TIME IN TWO MONTHS. ISRAEL STRUCK BACK INSIDE IRAN WITHIN HOURS. AND AN IRANIAN OFFICIAL JUST SAID THE PEACE DEAL IS "NO LONGER FEASIBLE." --- Here is exactly what happened today: Israel struck a Hezbollah command center in the Dahieh area of Beirut this morning in response to...
  9. JamiiForums Tanzania Israel imeanzisha mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran muda huu

    Israel inaishambulia Iran muda huu kama kujibu mashumbulizi ya iran ambapo, chombo Cha habari cha Israel cha chanel 14 kimeripoti kuwa milipuko ya mabomu imesikika muda huu nchini Iran katika jiji la Tehran
  10. JamiiForums Tanzania Israel Wameshambulia Beirut Lebanon, Iran walisema Beirut Ikipigwa Watajibu

    Masaa machache yaliyopita Israel imefanya mashambulizi ya nguvu Beirut Lebanon Iran walisema kuwa endapo Israel watashambulia Beirut basi wao Watajibu kwa kushambulia ndani ya Israel. Iran sasa tunasubiri wajibu maana walibweka sana. Israel Kila siku wanashambulia kusini mwa Lebanon...
  11. JamiiForums Tanzania Gari moja dogo lakamatwa like Jaribu kuingia a waarabu ki age do nchini Israel kutokea West-Bank!!

    Vikosi vya usalama vya Israeli vilizuia magari yaliyokuwa yamewabeba Waarabu wakijaribu kuingia kinyume cha sheria kutoka Ukingo wa Magharibi kuingia Israeli katika Msalaba wa Maccabim jana. Dereva huyo, kijana kutoka Hebron, alijaribu kujifanya Myahudi kwa kuvaa kippah (Angalia video) na...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Madaktari wa Israel wamfanyia upasuaji mtoto huku akiwa bado tumboni kwa mama yake

    🇮🇱 BREAKING: MADAKTARI WA ISRAEL WAMFANYIA UPASUAJI MTOTO HUKU AKIWA BADO TUMBONI KWA MAMA YAKE. Akiwa na ujauzito wa wiki 25 tu, uchunguzi wa kawaida ulibaini kuwa uvimbe adimu ulikuwa umetokea kwenye kondo la nyuma - na tayari ulikuwa unasababisha moyo wa mtoto ambaye hajazaliwa...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Netanyahu anusurika baada ya shambulio la drone ya magaidi wa Hezbollah wakati wa ziara yake kaskazini ‘ya Israel

    NETANYAHU ANUSURIKA BAADA YA SHAMBULIO LA DRONE YA MAGAIDI WA HEZBOLLAH WAKATI WA ZIARA YAKE KASKAZINI ‘YA ISRAEL. Waziri Mkuu wa 'Israel' Benjamin Netanyahu amenusurika dhidi ya shambulio la ndege isiyo na rubani ya Hezbollah wakati alipotembelea...
  14. JamiiForums Tanzania Israel inawapenda sana wapalestina Tatizo dini yao inawapotosha sana!!!!

    Mwimbaji wa Israeli Idan Raichel alishiriki katika mahojiano jinsi alivyopokea picha yake hivi karibuni kutoka Gaza. Askari wa Israeli alimtumia picha ya zamani ya Idan akiwa na baba kutoka Gaza na mtoto mchanga kwenye kitanda cha mtoto. Raichel alielezea kwamba hii ilipigwa wakati wa kazi...
  15. JamiiForums Tanzania Trump: Bila mimi kusingekuwa na taifa linaloitwa Israel wakati huu

    https://x.com/MOSSADil/status/2062123748199649439?s=20
  16. JamiiForums Tanzania Wanasema kila nchi huwa ina mangenge ambayo yako nyuma serikali yenyewe Ndo yanaenesha USA na ISRAEL

    Najua wengi mnafahamu kwamba Israel wana endesha Rais wa USA kuna madoni yameweka system mkononi sema ya kule yanakula na Wananchi ya kwetu Afrika ni kausha Damu GUPTA na SA
  17. JamiiForums Tanzania Iran yatishia kuishambulia Israel endapo Beirut itashambuliwa na Israel

    Hawa Iran uthubutu wa kumchimba mkwara Netanyahu wanautoa wapi!? Siku zinakimbia sana aisee!!! Kuna kipindi Israel na Marekani walikuwa wanatafuta sababu ya kumtandika Iran, ila sasa hivi Iran ndio anatafuta sababu ya kumtandika Israel.
  18. JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel IDF liliteka tena Ngome ya Beaufort huko Lebanon!!

    Jeshi la IDF liliteka tena Ngome ya Beaufort huko Lebanon ambayo Israel iliikalia kisheria kuanzia 1982 hadi 2000 katika vita vya kwanza vya Lebanon. Safari hii Magaidi wa Hezbollah wanapigwa mpaka chumbani kwao bila huruma yoyote!!
  19. M

    JamiiForums Tanzania Kama kweli tunaipinga Israel, tuache kutumia iPhone. Vinginevyo ni sawa na kulaani kitimoto ila tukijifungia vyumbani twala hadi kujilamba vidole

    Israel imehusika kwa kiwango kikubwa katika teknolojia ya chips (ubongo wa simu) nyingi zilizotumika kwenye iPhone kwa miaka mingi, hasa kupitia vituo vya utafiti vya Apple Inc. nchini Israel Hata iphone 17e chip yake kwa kiasi kikubwa sana imekuwa designed Israel, Mitandaoni imekuwa gumzo...
  20. JamiiForums Tanzania Maajabu ya Umoja wa Mataifa kuhusu Israel

    ⚠️Picha za picha kali sana⚠️ GRAPHIC-VIDEO Umoja wa Mataifa umeongeza vyombo vya Israeli kwenye orodha yake nyeusi ya unyanyasaji wa kijinsia unaohusiana na migogoro kwa mara ya kwanza, ukitaja Huduma ya Magereza ya Israeli katika ripoti ya 2026 na kuweka mamlaka zingine za Israeli chini ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…