Siku za nyuma hapo nimewahi kuunga vifurushi vya wiki mara nne kwa siku kama masihara vile. Nikicheki settings zangu ziko bomba nikipiga huduma kwa wateja wanang'ang'ana na hoja za kukariri tukaenda hivyo hivyo nadhani sijui kwajili nimewasumbia sana wakaacha ujinga wao (au niseme wakapunguza)...
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amesema kuwa miundombinu ya intaneti haipaswi kumilikiwa au kutawaliwa na kampuni binafsi, akisisitiza kuwa udhibiti wa serikali ni muhimu ili kuhakikisha gharama zinabaki kuwa nafuu kwa wananchi.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari...
GT
Majira ya sa tisa kama na nusu hivi Internet kama ilikata mpaka saa kumi na moja alfajiri
Siyo Internet tu lakini hata simu zilikuwa hazitoki. Niliogopa na kufurahi kwa wakati mmoja nikahisi labda Bi kidude kaenda kusalimia malaika
Nimesikia polisi wanasema waandamanaji wanaandamani minara
Niseme ukweli watanzania hawadai minara wala maandamano hayahuusiani na minara ukisikiona minara imeharibiwa ujue polisi ndio wameharibu kama wameuwa watu kuharibu minara hawashindwi ili kukosekana kwa internet
Hata hivyo kuharibu...
UNAWEZA nambia Kuna ulazima WA Mimi KUWA na router ILI KUWA na unlimited?
Je siwezi KUWA monitored nikiwa na unlimited Kwa card ya simu?
Kama router ni Kwa ajili ya ofisini na majumbani vipi Kwa MTU mmoja anayetaka unlimited BILA router ?
Ishakuwa fashion kutembea na mizigo mingi bag Lina...
Wana JF, lHabari za muda huu…
mambo yanavyoenda sasa hivi ni straight up wild, yani pure madness.
Tumeshaambiwa mara kadhaa kuwa internet inaweza kuzimwa and honestly, tujiulize… kwanini? What’s the real play here?
Because hii story yote inanuka agenda za chini ya meza.
Yani unaamka asubuhi...
Wakuu, October mwishoni hadi November mwanzoni internet ilizimwa.
Sasa kuna watumiaji wa unlimited internet kutoka Airtel tulikua tushalipia, lakini kwann ilo week hawajafidia? Tarehe yao ilipofika tu bando limekata?
Maelezo yafuatayo kwa msaada wa Chatgtp yatakuwa msaada mkubwa sana endapo tutarejeshwa tena gizani.
Kama kauli mbiu ya 9D inavosema wakati huu hatuendi kinyonge. Basi ungana nami hatua kwa hatua namna ambavyo kwa upande huu wa mawasiliano haswa kwenye eneo la internet tunavoenda kuwapiga bao...
Sio kwamba starlink ifanyi kazi wala vifaa vya satellite kutokufanya kazi bali ni kutokana sasa wanywa damu wanataka kuonekana wasafi mbele ya kisingizio cha amani Tanzania.
Star link inafanya kazi na ndio maana wageni wanaofiwa sana kuja maana mwenye huduma anaweza kujua watu wake.
Kumbukeni...
Wasalam,
Ni asilimia chache sana ya Watanzania including Mange mwenyewe aliamini kama kuna watanzania watatoka 29 Oct. Kulikua kuna kundi kubwa la vijana lilokuwa linaongezeka kila dk. Kwa trending ile kama sio serikali kuzima internet tungezungumza mengine. Kukatwa kwa internet kuliwaathiri...
Habari wanaJF,
Ni siku nyingi sana sijazungumza humu. Nimekuwa tu zangu macho kufuatilia matokeo ya uchaguzi na ghasia na fujo zilizotokana na uchaguzi huu. Jamani, Mungu awape utulivu waliopoteza wapendwa wao katika matukio haya ya kusikitisha, na amani itawale nchini Tanzania.
Tanzania...
Habarini ndugu watanzania wenzangu. Huu ni uzi wangu wa kwanza tokea niweke uzi wa mwisho hapa kwasababu niliacha kuandika kwa muda ili kupisha harakati na purukushani za uchaguzi kupita.
Nawasalimia nikiwa na huzuni kubwa sana moyoni kutokana na misiba mingi ya ndugu,jamaa, marafiki na...
Hello peeps,
Never written in English on this forum. I'm Tanzanian, and I watched stuff happen during the elections. With respect to the internet, here's is a simple timeline:
October 29, 2025 (Election Day): A major internet blackout started.
Groups that measure the internet (like NetBlocks)...
Mara zote nimekuwa nikiwashauri baadhi ya wanasiasa kwamba, watanzania wa miaka ya 90 sio hawa wa miaka ya 2000. Watanzania wa sasa wamekula 'matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya.' Mema wanayajua na mabaya wanayajua.
Hawa wa sasa sio watanzania wa kanga na chumvi. Wala sio wa kurubuniwa...
Mpaka muda huu machawa wa mama Samuya huko Instagram nikama wamepigwa na ganzi, machawa nikama hawajui watokeje kwenye huu mtumbwi wa kibwengo walioupanda. Pongezi hawatoi Wala salamu kwa mashabiki hawatoi
Ndugu zangu machawa internet imewashwa , na sisi tunasubiri kuona mnakujaje tuwapokee...
Kwanza kabisa nitoe pole kwa changamoto zilizotukumba tangu tarehe 29-10-2025
Kwa upande wa pili hio ni siku ambayo internet ilizimwa hadi siku ya leo.
Kwa mara ya kwanza kwa miaka mitano nimecheza karata
Niliipikia familia yangu siku ya jumamosi chakula cha usiku, hadi wife na housegirl...
Mimi mwenyewe jana sikujua kama nitatoka, ila nilitoka. Hiyo ni baada ya kuzima internet ambayo ilikuwa inanisaidia kufuatilia mambo live online.
Watu wakikosa taarifa ya nini kinachoendelea watafanya kila namna wafike eneo la tukio wakajionee live. Hiyo ndo inafanya watu waunge tela la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.