internet

  1. Mad Max

    PostGE2025 Kwanini Airtel hawafidii zile siku ambazo internet ilizimwa kwa watumiaji wa unlimited internet?

    Wakuu, October mwishoni hadi November mwanzoni internet ilizimwa. Sasa kuna watumiaji wa unlimited internet kutoka Airtel tulikua tushalipia, lakini kwann ilo week hawajafidia? Tarehe yao ilipofika tu bando limekata?
  2. ZVI ZAMIR

    PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Maelezo yafuatayo kwa msaada wa Chatgtp yatakuwa msaada mkubwa sana endapo tutarejeshwa tena gizani. Kama kauli mbiu ya 9D inavosema wakati huu hatuendi kinyonge. Basi ungana nami hatua kwa hatua namna ambavyo kwa upande huu wa mawasiliano haswa kwenye eneo la internet tunavoenda kuwapiga bao...
  3. Fbn

    Unajua kwa nini TCRA inataka kampuni zote za internet zinazotoa huduma zitoke chini ya serikali ndani ya mkonga na sio huduma za satellite

    Sio kwamba starlink ifanyi kazi wala vifaa vya satellite kutokufanya kazi bali ni kutokana sasa wanywa damu wanataka kuonekana wasafi mbele ya kisingizio cha amani Tanzania. Star link inafanya kazi na ndio maana wageni wanaofiwa sana kuja maana mwenye huduma anaweza kujua watu wake. Kumbukeni...
  4. K

    POV: Kama Internet isingezimwa Oktoba 29 tungezungumza mengine

    Wasalam, Ni asilimia chache sana ya Watanzania including Mange mwenyewe aliamini kama kuna watanzania watatoka 29 Oct. Kulikua kuna kundi kubwa la vijana lilokuwa linaongezeka kila dk. Kwa trending ile kama sio serikali kuzima internet tungezungumza mengine. Kukatwa kwa internet kuliwaathiri...
  5. Amba Samedi

    PostGE2025 Hivi internet ikizimwa tena siku za usoni, umejipangaje?

    Habari wanaJF, Ni siku nyingi sana sijazungumza humu. Nimekuwa tu zangu macho kufuatilia matokeo ya uchaguzi na ghasia na fujo zilizotokana na uchaguzi huu. Jamani, Mungu awape utulivu waliopoteza wapendwa wao katika matukio haya ya kusikitisha, na amani itawale nchini Tanzania. Tanzania...
  6. Zemanda

    Hii ni mbaya sana na imetuacha pabaya zaidi kama raia

    Habarini ndugu watanzania wenzangu. Huu ni uzi wangu wa kwanza tokea niweke uzi wa mwisho hapa kwasababu niliacha kuandika kwa muda ili kupisha harakati na purukushani za uchaguzi kupita. Nawasalimia nikiwa na huzuni kubwa sana moyoni kutokana na misiba mingi ya ndugu,jamaa, marafiki na...
  7. Amba Samedi

    Internet Shutdown in Tanzania - What You Need to Know, and Future Preparedness

    Hello peeps, Never written in English on this forum. I'm Tanzanian, and I watched stuff happen during the elections. With respect to the internet, here's is a simple timeline: October 29, 2025 (Election Day): A major internet blackout started. Groups that measure the internet (like NetBlocks)...
  8. Lanlady

    GE2025 Kuwafungia watu ndani na kuwazimia internet ni zaidi ya ukatili

    Mara zote nimekuwa nikiwashauri baadhi ya wanasiasa kwamba, watanzania wa miaka ya 90 sio hawa wa miaka ya 2000. Watanzania wa sasa wamekula 'matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya.' Mema wanayajua na mabaya wanayajua. Hawa wa sasa sio watanzania wa kanga na chumvi. Wala sio wa kurubuniwa...
  9. mwehu ndama

    GE2025 Kwani machawa wa Samia hawajui kama internet imerudi?

    Mpaka muda huu machawa wa mama Samuya huko Instagram nikama wamepigwa na ganzi, machawa nikama hawajui watokeje kwenye huu mtumbwi wa kibwengo walioupanda. Pongezi hawatoi Wala salamu kwa mashabiki hawatoi Ndugu zangu machawa internet imewashwa , na sisi tunasubiri kuona mnakujaje tuwapokee...
  10. M

    GE2025 Ulitumiaje muda wako kwenye lockdown ya uchaguzi na Internet kuzimwa?

    Kwanza kabisa nitoe pole kwa changamoto zilizotukumba tangu tarehe 29-10-2025 Kwa upande wa pili hio ni siku ambayo internet ilizimwa hadi siku ya leo. Kwa mara ya kwanza kwa miaka mitano nimecheza karata Niliipikia familia yangu siku ya jumamosi chakula cha usiku, hadi wife na housegirl...
  11. mwehu ndama

    GE2025 Samia, umeshinda Urais washa internet sasa!

    HOFU ya nini ?si mmekwisha Tangazana kama washindi ?basi washeni internet!
  12. Common Folk

    Kosa la 1 lilikuwa kuzima Internet, kosa la 2 ni kufungia watu wasitoke. Hayo ma-2 yanaleta "UNREST" kwa nature ya binadamu na inafanya damu zichemke

    Mimi mwenyewe jana sikujua kama nitatoka, ila nilitoka. Hiyo ni baada ya kuzima internet ambayo ilikuwa inanisaidia kufuatilia mambo live online. Watu wakikosa taarifa ya nini kinachoendelea watafanya kila namna wafike eneo la tukio wakajionee live. Hiyo ndo inafanya watu waunge tela la...
  13. M

    Asanteni kwa kurudisha huduma za Internet

    tulipata tabu sana kupata taarifa. RIP waliopoteza maisha katika maandamano ya amani
  14. ngara23

    Tumejiandaaje kuishi bila mtandao (internet)🛜 kuanzia kesho hadi tarehe 3 November, 2025

    Wahuni na mafisadi wanampago wa kuzima mtandao ili kufanya uchafuzi wao gizani, wameona kuwa mitandao itaeneza haraka mipango ya maandamano, kura fake, rushwa katika uchafuzi huo, na uonevu na matendo ya kinyama ya poliCCM dhidi ya raia Wema Naona hawa wahuni na mafisadi wanajipalia Mkapa...
  15. I

    Ivii Umewai kujiuliza Internet Shutdown Inavyofanya Kazi Yaani kujiuliza Kwanini ghafla unakuta WhatsApp, Insta au net nzima Imekata Internet Shut

    Ivii Umewai kujiuliza Internet Shutdown Inavyofanya Kazi Yaani kujiuliza Kwanini ghafla unakuta WhatsApp, Insta au net nzima Imekata Internet Shutdowns ni moja ya silaha ya serikali nyingi za Afrika. Hii siyo net tu kukatika, ni maamuzi ya makusudi kudhibiti taarifa au kukata mtiririko wa...
  16. Mkenye Mkuu

    I need to participate in youth meetings through internet

    As the heading states, my intention is to ask anyone who can help to access any of the way that I can participate in youth general meetings and debates through the internet with the intetion of growing my scope of knowlege and obtain new skills from different people across the world. Help me...
  17. QasraNet

    Innovation: Home internet (Fiber) + TV

    Habari wakuu, Ninawazo hapa mahususi kwa sisi wa developing countries. Wazo hili halitokani na Zuku Fiber + TV Device ambayo itakuwa inaweza kupokea signal za internet+tv through Fiber (SFP Slot) or internet only through WAN Port (RJ45) kisha itaweza kutoa LAN through RJ45 pamoja na kutoa...
  18. mngamala

    Msaada Biashara ya Internet

    Naomba kuuliza kama Kuna watalaamu wenye idea na hii biashara mana napenda Sana.
  19. A

    Polepole tusemee na bei internet (bundle), tunapigwa?

    1. Bei ya bundle ni kubwa kuliko Cuba? Maana wanyonge tunateseka kimya kimya hakuna pa kusemea. wengine biashara zetu bila internet tutakufa njaa. 2. Internet ni huduma si biashara Born town mtandao ikiwa wanatufanyia michezo tujue.
  20. stakehigh

    African Internet Exchange System (AXIS) Project ilikua wazo bora sana, sjui kwann haliendelei

    Mwaka 2010, AU(African union) ilipitishiwa wazo bora sana kuanzisha miundo minu kwa ajili ya internet ya kiafrika, wazo hili lililenga afrika kujitoa kwenye makucha ya internet ya kikoloni, kwa wale ambao hawaelewi internet ya kiafrika namanisha ivi fikiria afrika ikaanzisha mtandao mpana wa...
Back
Top Bottom