internet

  1. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda is back on Internet

    As of January 18th 2026, public internet access was restored in Uganda. This follows the announcement of the incumbent president of the country, H.E Yoweri Kaguta Museveni Tibuhaburwa, as the winner of the recently concluded 2026 presidential election with a whooping 71.65%. Making this his...
  2. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Nchi zetu zinataka tutumie internet kuangalia games, mpira, pornography, movies na mambo kama hayo. Ukigusa sensitive issues hawataki kabisa

    Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni kwamba aidha watake au wasitake hawawezi kupambana na teknolojia. Mwanzo walianzaga hivihivi, wakaanza...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 President Samia to Diplomats: We apologize for Internet shutdowns and disruptions. It won't happen again

    President Samia Suluhu Hassan stated that in 2025, Tanzania held its seventh general election, which was highly successful, including achieving 44 percent female representation in parliament and being funded entirely with domestic resources. Despite these successes, President Samia also...
  4. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea Uganda baada ya Internet kuzimwa kinaenda kufanana na kilichotokea Tanzania kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025

    Soma pia: Museveni Vs Bobi Wine: Uzi Maalum wa kinachoendelea kwenye Uchaguzi Mkuu nchini Uganda 2026
  5. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Bora Uganda wametangaziwa kuzimiwa internet, sisi walizima pasipo kumwambia yeyote

    Bora Waganda wametangaziwa kuzimiwa internet, sisi tulikuta tupo korokoroni, wakawaua watoto zetu kama nzige wakachimba mashimo wakawafukia kama takataka. Waganda wamezimiwa huku wakiwa na taarifa lengo ni kuwa wasioneshe vijana waliojitokeza KUCHAGUA Bobi Wine bali watuoneshe mizee ambayo...
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Iran imeua waandamanaji 12,000 baada ya kuzima Internet nchini humo

    Utawala wa Iran chini ya utawala wa jiislamu umewaua waandamaji zaidi ya 12,000 baada tu ya kuzima mitandao nchi nzima Hii inaonyesha ni jinsi gani utawala huo usivyo na huruma jwa watu wake wenyewe!! Na umeonyesha ni jinsi gani utawala huo ni wa kikatili.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Iran yazima Internet wakati maandamano yakiendelea, (Yaani kama yaliyotokea Malawi)

    Maandamano makubwa yalizuka kote Iran huku serikali ikikata huduma ya intaneti karibu nchi nzima, kulingana na makundi ya ufuatiliaji. Hatua hiyo ilikuja wakati wananchi wakipaza sauti wakidai uhuru na kuondoka kwa utawala wa Kiislamu, licha ya onyo kali kutoka kwa viongozi wa vyombo vya usalama...
  8. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Iran Kuzima Internet:

    Huyu aliyezima internet Tanzania ndiyo amemshauri Ayatollah kuzima internet? Mwisho wa utawala wa kidhalimu na kipumbavu umekaribia.
  9. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Oct 29 shughuli zote zilisimama mapema sana asubui, internet ilizimwa asubui, usafiri haukuwepo asubui tume ilipata wapi rais, wabunge na madiwani ?

    Oct 29 shughuli zote zilisimama mapema sana asubui, internet ilizimwa asubui, usafiri haukuwepo asubui tume ilipata wapi rais, wabunge na madiwani ? Moja ya hoja kuu kuwa hakukuwa na uchaguzo kabisa oct 29, ni kwamba internet ilizimwa, usafiri haukuwepo kabisa hakuna shughuli yoyote mpaka mida...
  10. SirAlfred006

    JamiiForums Tanzania What's your internet speed?

  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kujisafisha kwa mataifa mengine zinvyozidi kuonesha udanganyifu wenu serikali ya CCM. Na hili la UN limebuma

    Picha anayoonyesha Kombo baada ya kumbabatiza Katiba Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayosema ni ofisini kwa Katibu Mkuu, siyo kweli. HAIKUWA OFISINI kwa maana nyingi, hakuna, Mkutano rasmi wa Kombo na Katibu Mkuu uliofanyika hili alipokea document tu Mazingira ya ofisi za Katibu Mkuu wa UN ni...
  12. Pakome

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa tetesi ya upatikanaji wa huduma ya Internet inayosambazwa na kampuni ya Starlink kupitia Roaming

    Kwanza kabisa nianze na maana ya Roaming Roaming ni huduma inayoruhusu mteja wa kampuni moja ya mawasiliano kutumia mtandao wa kampuni nyingine, pale ambapo Mtandao wa kampuni yake haupatikani au Yuko nje ya eneo analohudumiwa kawaida (ndani au nje ya nchi) "Unapotumia nyumba ya jirani kwa...
  13. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maelekezo kutoka juu, internet inazimwa saa saba kamili mchana

    Internet accessible inaenda kuwa locked baaada ya nusu saa haya maelekezo kutoka kizimkazi Muwe na wakati mwema mpaka Jumatatu ya tarehe 15
  14. MrKanteChelsea

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Internet ni Issue, mnapataje network?

    Mnapataje network nyie
  15. M

    JamiiForums Tanzania Umejiandaaje kwa siku ya kesho bila internet

    Nje ya agizo alilotoa Waziri Mkuu la kuka ndani, umejiandaaje kuvusha siku bila internet Hakuna jamii forums Hakuna Youtube Hakuna instagram Hakuna Facebook Hakuna whatsapp Hakuna X Hakuna Netflix Hakuna Tiktok Hakuna Chatgpt
  16. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri Simbachawene: Hadi sasa hakuna tishio TCRA kuzima internet

    Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema uamuzi wa kuzima mtandao wa internet ni chaguo la mwisho kabisa pale ambapo hali ya kiusalama inakwa mbaya ambapo amesema hadi kufikia sasa hali ya Tanzania bado ipo shwari na hakuna tishio la kuwafanya TCRA wazime internet kesho December...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Nani anamiliki Internet? (WHO OWNS INTERNET):

    Nani anamiliki Internet3? For an expert in modern communication technology ie.digital communication Seems a silly question, but take your time to think about it! Dictatorial governments normally switch off internet! TCRA can switch off the internet ! Who Owns internet? Is it possible to have...
  18. Huihui2

    JamiiForums Tanzania D09 hakuna maandamano na internet itakuwapo

    Just believe me
  19. technically

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huenda muda wowote internet ikazimwa

    Tujipange haraka Sana internet inazimwa muda wowote Leo
  20. M

    JamiiForums Tanzania Tushauriane vya kudownload kabla ya changamoto za Internet Desemba 9

    Changamoto kama hii ina uwezekano mkubwa sana kutokea na ikawa ya siku nzima hadi wiki kama ilivyokuwa Mo29. Tushauriana vitu vya kudownload na machimbo yake.
Back
Top Bottom