Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema Tanzania imeanza kuuza intaneti nje ya nchi baada ya mkongo wa taifa kuongezewa uwezo.
Kwanza tuelewe kitu kimoja kuhusu PrSM (Precision strike Missile)
Israel aliua viongozi wa juu wa kijeshi wa iran na hii sio kitu cha ajabu mana ni mpango wa US,
kwanini nasema ni mpango wa US?
US huwa anaitisha makubaliano baina ya pande mbili, kama mna mzozo na pia upande ulio pamoja na US...
Kwa watu wa zanzibar naunga unlimited internet ya Vodacom postpaid kwa gharama ya Tsh.70000 (elfu sabini tu) kasi yake ni 10Mbps (postpaid)
Kwa mara ya kwanza utalipia Deposit 140000 hapa unapewa na device ya 5G au 4G na device unapata papo hapo ukilipia haina kusubili
Kwa wale wa bara...
Kuna dalili za kwamba nguvu iliyopo kuwa danganya toto zao za uchaguzi ni za haki watafanya kuzima kabisa.
Sababu za kuzima ili kuzimisha mijadala na yote zaidi mtapewa kisingizio mkongo wa taifa umekatika.
Hakutakuwa na internet mpaka watakapomaliza watakalo.
Vodacom mtandao wenu umetusumbua karibia wiki nzima bila internet na voice calls kususua lakini hata kufidia mmekimbia. Ni aibu sana
Haya mambo tunafanyiwa waafrika haswa sisi wabongo wenye amani na utulivu.
Mustakabali wa intaneti unapokuwa chini ya mamlaka yenye uwezo wa kuzuia mitandao ya kijamii na kuwaruhusu wananchi kuona au kusikiliza kile tu wanachotaka—kama ilivyo kwa China na Korea Kaskazini—huenda ukawa na sifa zifuatazo:
1. Intaneti ya Kitaifa, Siyo ya Dunia
Kutengwa na Dunia...
Mhandisi wa Miundombinu ya Mawasiliano kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Leo Magomba amesema kwamba katika bara la Afrika wanaotumia internet ya uhakika ni asilimia 38 kati ya watumiaji wote, ambapo amedai kuwa zinahitajika juhudi za pamoja kuchochea...
Hahahaaa.
Niliposikia anaenda kuonana na Trump ikulu ya Marekani, nikasema huyo anaenda kufanya nini huko?
Hakuona jinsi vile Zelenskyy alivyofanyiwa.
Haya, leo naye yamemkuta kiaina 🤣.
===============
Donald Trump amemshambulia ghafla Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, wakati wa mkutano...
Nimelipia ili kufungiwa huduma leo ni siku ya tatu hawajanipa huduma, nikiwapigia wanadai kuna tatizo, mbona hela mumechukua kwanza?
Mjini hapa jihadharini na kampuni hizi afadhali sana ya zuku kuliko hawa wapya
Naunganisha YAS POSTPAID BUNDLE kwa uharaka sana
Hakuna gharama za ziada ili upate huduma
Kigezo kikubwa ni Pesa ya kifurushi chako.
UNLIMITED YA 100,000 hii tunakuunga hata kwenye simu yako ya mkononi
Wasiliana nami whatssap
+255 765 991551
Mashirika Saba Yafungua Kesi Mahakamani Kupinga Kukatizwa kwa Intaneti Nchini Kenya
Katika hatua kubwa ya kulinda haki za kidijitali na uhuru wa kikatiba, Shirika la CIPESA (Collaboration on International ICT Policy for East and Southern Africa) kwa kushirikiana na mashirika sita mengine...
Habari Wana JF,
Kunajambo niliiona pale kituo kikuu Cha mabasi Cha magufuli mbezi kwanza nilikipenda kisha kikanishangaza ila kimenishawishi kukifanyia kazi.
Kuna siku nilikuwa safarini kuelekea mkoani nikiwa na kisimu changu mwenyewe maisha yanaenda nilipofika Mbezi nilikuwa nimechelewa sana...
Leo nimejaribu kuingia katika tovuti ya MillardAyo.com na nimepata ujumbe huu:
Overdue Hosting Payment - Site SUSPENDED!
This website is down due to the client's failure to pay for hosting for the past 5 years.
It will be back online once this is resolved!
Kama ni kweli kwanini Millard Ayo...
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb.), akijibu maswali yaliyoulizwa na Wabunge mbalimbali kuhusu sekta hiyo, Bungeni jijini Dodoma, Mei 8, 2025
IoT: Teknolojia Inayounganisha Vitu na Maisha Yetu
Katika dunia ya sasa inayozidi kushikiliwa na teknolojia, kumekuwepo na mabadiliko makubwa ya kiteknolojia yanayobadilisha namna tunavyoishi, tunavyofanya kazi, na hata tunavyolima. Moja ya teknolojia zinazochukua nafasi kubwa kwa sasa ni IoT –...
The rollout will cover Nigeria, Kenya, Malawi, Madagascar, Zambia, Rwanda, Niger, Chad, and the Democratic Republic of Congo, all markets where Airtel is already active
Wakuu Hii deal leo Airtel Africa ame sign na Spacex Lakini Airtel Tanzania naona haiko Included?
Je ili Kuambiwa kuwa Spacex...
Katika ulimwengu wa leo wa kidigitali, njia za kutengeneza pesa zimepanuka sana — na mojawapo ya njia zinazokua kwa kasi zaidi ni kupitia Cryptocurrency. Kama umeona watu wakizungumza kuhusu Bitcoin, Ethereum, au USDT lakini hujui waanzie wapi, basi blogpost hii ni kwa ajili yako.
✅ Crypto ni...
Starlink Tanzania Ltd. Set to Enter the Telecommunications Sector – A Strategic Call for Investment
In response to growing demand for reliable and affordable internet services across the country, Starlink Tanzania Ltd., a proud local company, is making a bold move into the telecommunications...
Nawasalimia kwajina la jamhuri
Naomba kuuliza ivi sipati W-Fi ambayo ni unlimited kwa wastani wakama 30,000 kwa mwezi..?
kama ipo bas naomba msaada wa namna yakuipata maana hizi za 70,000 kwamwezi siziwezi
hata ikiwa ni 50,000 kwamwezi sio mbaya
Kelele zimepigwa sana kuhusiana na huduma ya internet nchini lakini hakuna lolote acha tupige na sisi
Bei juu za huduma ya internet.
Ukizoea line fulani kwa muda kinachotokea bando la internet linaisha mapema isivyo kawaida.
- Wengine ukijiunga bando la internet mtandao unapotea zikikaribia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.