india

  1. H

    JamiiForums Tanzania Watanzania 2 wakamatwa na kilo 15.6 za Heroin nchini India

    Watanzania wawili wamekamatwa na zaidi ya kilo 15 za heroin katika uwanja wa ndege mjini Chennai nchini India. Watanzania hao (Mwanamume na mwanamke) waliofika Chennai kwa ndege ya Qatar Airways 528 kutoka Johannesburg kupitia Doha, kwani hawakupata ndege ya moja kwa moja kwenda Bengaluru...
  2. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Aina ya Virusi vya Corona vya India na Uingereza vyagunduliwa Afrika Kusini

    Aina mpya ya Virusi vya COVID19 kutoka India na Uingereza imegunduliwa nchini Afrika Kusini, Wizara ya Afya imeeleza. Visa 11 vya maambukizi ya aina ya Virusi vya B.1.1.7 (Uingereza) na visa 4 vya B.1.617.2 (India) vimegunduliwa katika majimbo ya Gauteng na Kwazulu-Natal, na waathirika wamekuwa...
  3. beth

    JamiiForums Tanzania COVID19: India yarekodi visa vipya zaidi ya 400,000

    Visa vipya 414,188 na vifo 3,915 vimerekodiwa Nchini humo na idadi ya maambukizi imefikia Milioni 21.49 huku waliopoteza maisha wakifikia 234,083. India imerekodi jumla ya visa Milioni 1.57 na vifo vipatavyo 15,100 kwa wiki hii pekee huku ikiaminika takwimu halisi za maambukizi na vifo ni kubwa...
  4. beth

    JamiiForums Tanzania WHO: 46% ya maambukizi ya Corona wiki iliyopita yametoka India

    Shirika la Afya (WHO) limesema takriban nusu ya maambukizi ya Virusi vya Corona yaliyorekodiwa duniani wiki iliyopita ni kutokea Nchini India WHO imesema India imerekodi 46% ya maambukizi ulimwenguni pamoja na 25% ya vifo vyote vilivyoripotiwa wiki iliyoisha. Katika saa 24 zilizopita, watu...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Meli ya India yawasili Afrika Kusini na kile kirusi Baba lao

    Mabibi na mabwana kutokea Afrika Kusini, kuna habari za meli kuwasili huko ikiwa na mzigo wa hatari na wa kutosha kutokea India: https://www.enca.com/news/vessel-india-docked-durban-crew-tests-positive-covid-19 Huu umewasili kwenye meli. Tena bila shaka kabla ya kutoka India walipimwa dhidi...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Air Tanzania (ATCL) yasitisha safari za Ndege kwenda Mumbai India

    Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limesitisha Safari zake kwenda Mumbai nchini India kuanzia leo Mei 4 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona. Abiria wote walioathiriwa na uamuzi huu watarudishiwa gharama zao za Safari. INDIA: VISA VYAFIKIA MILIONI 20, UPATIKANAJI OXYGEN BADO...
  7. beth

    JamiiForums Tanzania India: Maambukizi ya Corona yafikia Milioni 20

    Hospitali zinaendelea kuomba misaada ya dharura ya Oxygen huku Mamlaka za Mji Mkuu wa Delhi zikitoa rai kwa Jeshi kuwasaidia kukabiliana na mlipuko. Taifa hilo lina maambukizi zaidi ya Milioni 20. India ambayo inashambuliwa vikali na wimbi la pili la maambukizi ya Virusi vya Corona imerekodi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Issue ya Covid-19, Serikali izuie safari za India Mara moja

    Hapa nchini tuna jumuia kubwa ya wananchi wenzetu ambao wana Asili ya India, miongoni mwao huwa wanasafiri kwenda na kurudi Ibdia kwa shughuli za kijamii, kibiashara na Kidini. Na tunajua kuwa hali ya India kwa sasa kutokana na Janga la Covid 19 kuwa ni kubwa Naishauri serikali kufunga mara...
  9. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania New Delhi conspires with Tel Aviv to make India the 2021 poster child forTHE GREAT SCAMDEMIC

    “The NWO Perpetrators of the Coronavirus pandemic hoax have targeted India with the COVID-19 Vaccine Bioweapon to perpetuate the appearance of Global Covid Outbreaks.” — Intelligence Analyst & Former US Military Office The Covid Con criminals did not even try to hide their genocidal deceit...
  10. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Nigeria yapiga marufuku wasafiri kutoka India, Brazil na Uturuki

    Kamati ya rais ya kupambana na janga la Covid-19 nchini Nigeria, imesema taifa hilo litapiga marufuku wasafiri wanaokuja kutoka India, Brazil na Uturuki, kutokana na kuenea pakubwa kwa virusi vya corona katika mataifa hayo. Taarifa ya mwenyekiti wa kamati hiyo Boss Mustapha, imesema watu walio...
  11. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Taiwan yapeleka msaada India

    Shehena ya kwanza ya msaada wa Taiwan kwa India kusaidia nchi hiyo kukabilina na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona imeondoka leo kwenda mjini New Delhi ikiwa na mashine 150 za kupumua na mitungi 500 ya hewa ya Oksijeni. Rais wa Taiwan Tsai Ing-wen Wizara ya mambo ya kigeni ya Taiwan...
  12. beth

    JamiiForums Tanzania Australia yapiga marufuku raia wake wanaotokea India kurejea Nchini humo

    Wakazi pamoja na Raia wa Australia ambao wamekuwa India watapigwa marufuku kuingia Nchini humo kuanzia Mei 03, 2021 na wale watakaokiuka wataadhibiwa kwa kifungo na kutozwa faini. Kuanzia Jumatatu, mtu yeyote ambaye amekuwa India ndani ya siku 14 kutoka tarehe yao ya kuwasili Australia atapigwa...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, hongera kwa uenyekiti CCM. Tafadhali funga mipaka na India

    Nafahamu Rais wetu uko busy Dodoma na masuala ya kichama. Hongera kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM. Sitaki kuingia sana huko na sina maneno mengi kuhusu siasa. Nakuomba ufunge mipaka kati ya Tanzania na India kwa muda hadi pale hali ya corona itakapotulia kule kwa wenzetu. Wanatia...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Corona: India kinaponuka sisi tuna cha kujifunza?

    Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu: https://www.bbc.com/news/world-asia-56919924 Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili? Tume ya Corona ya mama iko wapi...
  15. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya suspends flights from India as Covid cases surge

    Kenya has suspended passenger flight from India to Kenya for the next 14 days, Health CS Mutahi Kagwe has announced. The new directive will take effect in the next 72 hours. This follows a surge in Covid-19 cases in India. Kagwe however said cargo flights will continue upon adherence to the...
  16. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Tanzania - India Relations: Hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee zinatosha sana

    Mambo vp jamiiforums. Mama yetu Liberata Mulamula, hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee (bila kutuma pesa) zinatosha sana. ========== ========== Juhudi za kimataifa zinaendelea katika kujaribu kuisaidia India wakati nchi hiyo inakabiliwa...
  17. beth

    JamiiForums Tanzania CoronaVirus: India yarekodi maambukizi mapya zaidi ya 300,000 kwa siku ya sita

    Ndani ya saa 24 zilizopita, India imerekodi visa vipya 323,144. Ni siku ya sita kwa Taifa hilo kuripoti maambukizi mapya zaidi ya 300,000 na visa vimefikia Milioni 17.64 Hospitali zimekuwa hazipokei Wagonjwa kutokana na uhaba wa vitanda na Oxygen. Vifo 2,771 vimerekodiwa katika siku moja lakini...
  18. BAK

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kibongo wadanganywa na kupelekwa India

  19. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania CORONA toka India, tuchukue tahadhari kubwa!

    Kumbumbu zangu zinasema CORONA iliingia kwa nguvu toka India mwaka jana, baada ya kuwepo tamasha la Diwali lililoalika watu toka India kwa wingi. Tanzania na India tuna mahusiano makubwa ya kibiashara na watu wengi huja na wengine kwenda India. Sasa hivi gonjwa la covid linatesa huko India...
  20. BAK

    JamiiForums Tanzania Nchi nyingi duniani zimewazuia wasafiri toka India kuingia kwenye Nchi zao, Tanzania tunasubiri nini?

    Covid: India on UK travel red list as Covid crisis grows Coronavirus pandemic A medic tests a bus passenger in Jaipur, Rajasthan, India, on Thursday India has joined the UK's travel red list - effectively banning travel - as a deadly second wave of infections sweeps the country. British and...
Back
Top Bottom