india

  1. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania New Delhi conspires with Tel Aviv to make India the 2021 poster child forTHE GREAT SCAMDEMIC

    “The NWO Perpetrators of the Coronavirus pandemic hoax have targeted India with the COVID-19 Vaccine Bioweapon to perpetuate the appearance of Global Covid Outbreaks.” — Intelligence Analyst & Former US Military Office The Covid Con criminals did not even try to hide their genocidal deceit...
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Nigeria yapiga marufuku wasafiri kutoka India, Brazil na Uturuki

    Kamati ya rais ya kupambana na janga la Covid-19 nchini Nigeria, imesema taifa hilo litapiga marufuku wasafiri wanaokuja kutoka India, Brazil na Uturuki, kutokana na kuenea pakubwa kwa virusi vya corona katika mataifa hayo. Taarifa ya mwenyekiti wa kamati hiyo Boss Mustapha, imesema watu walio...
  3. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Taiwan yapeleka msaada India

    Shehena ya kwanza ya msaada wa Taiwan kwa India kusaidia nchi hiyo kukabilina na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona imeondoka leo kwenda mjini New Delhi ikiwa na mashine 150 za kupumua na mitungi 500 ya hewa ya Oksijeni. Rais wa Taiwan Tsai Ing-wen Wizara ya mambo ya kigeni ya Taiwan...
  4. beth

    JamiiForums Tanzania Australia yapiga marufuku raia wake wanaotokea India kurejea Nchini humo

    Wakazi pamoja na Raia wa Australia ambao wamekuwa India watapigwa marufuku kuingia Nchini humo kuanzia Mei 03, 2021 na wale watakaokiuka wataadhibiwa kwa kifungo na kutozwa faini. Kuanzia Jumatatu, mtu yeyote ambaye amekuwa India ndani ya siku 14 kutoka tarehe yao ya kuwasili Australia atapigwa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, hongera kwa uenyekiti CCM. Tafadhali funga mipaka na India

    Nafahamu Rais wetu uko busy Dodoma na masuala ya kichama. Hongera kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CCM. Sitaki kuingia sana huko na sina maneno mengi kuhusu siasa. Nakuomba ufunge mipaka kati ya Tanzania na India kwa muda hadi pale hali ya corona itakapotulia kule kwa wenzetu. Wanatia...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Corona: India kinaponuka sisi tuna cha kujifunza?

    Mabibi na mabwana corona imepiga katika mataifa yote, lakini hili la India ni hatari tupu: https://www.bbc.com/news/world-asia-56919924 Wenzetu India wananyolewa vilivyo hivi sasa. Je sisi tunatahadhari au mikakati ipi kutoangukia kwenye zahama kama hili? Tume ya Corona ya mama iko wapi...
  7. beth

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya suspends flights from India as Covid cases surge

    Kenya has suspended passenger flight from India to Kenya for the next 14 days, Health CS Mutahi Kagwe has announced. The new directive will take effect in the next 72 hours. This follows a surge in Covid-19 cases in India. Kagwe however said cargo flights will continue upon adherence to the...
  8. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Tanzania - India Relations: Hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee zinatosha sana

    Mambo vp jamiiforums. Mama yetu Liberata Mulamula, hakuna msaada wowote tunaweza kuwapa rafiki zetu wa India? Hata kama ni salamu za pole pekee (bila kutuma pesa) zinatosha sana. ========== ========== Juhudi za kimataifa zinaendelea katika kujaribu kuisaidia India wakati nchi hiyo inakabiliwa...
  9. beth

    JamiiForums Tanzania CoronaVirus: India yarekodi maambukizi mapya zaidi ya 300,000 kwa siku ya sita

    Ndani ya saa 24 zilizopita, India imerekodi visa vipya 323,144. Ni siku ya sita kwa Taifa hilo kuripoti maambukizi mapya zaidi ya 300,000 na visa vimefikia Milioni 17.64 Hospitali zimekuwa hazipokei Wagonjwa kutokana na uhaba wa vitanda na Oxygen. Vifo 2,771 vimerekodiwa katika siku moja lakini...
  10. BAK

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kibongo wadanganywa na kupelekwa India

  11. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania CORONA toka India, tuchukue tahadhari kubwa!

    Kumbumbu zangu zinasema CORONA iliingia kwa nguvu toka India mwaka jana, baada ya kuwepo tamasha la Diwali lililoalika watu toka India kwa wingi. Tanzania na India tuna mahusiano makubwa ya kibiashara na watu wengi huja na wengine kwenda India. Sasa hivi gonjwa la covid linatesa huko India...
  12. BAK

    JamiiForums Tanzania Nchi nyingi duniani zimewazuia wasafiri toka India kuingia kwenye Nchi zao, Tanzania tunasubiri nini?

    Covid: India on UK travel red list as Covid crisis grows Coronavirus pandemic A medic tests a bus passenger in Jaipur, Rajasthan, India, on Thursday India has joined the UK's travel red list - effectively banning travel - as a deadly second wave of infections sweeps the country. British and...
  13. T

    JamiiForums Tanzania India: Mlipuko mpya wa Covid-19, UK. USA, zatangaza zuio la safari za India; hapa kwetu wasafiri Wahindi kama kawaida

    UINGEREZA imeiweka India katika orodha nyekundu, red list, ya vikwazo vya safari. Rais wa Uingereza peke yao ndio watakaoruhusiwa kuingia kutoka India. Zuio hilo linaanza kesho Ijumaa. April 23, 2021. Hii ni baada ya mfumuko mpya wa maambukizi na vifo vya COVID-19 nchini India unaoifanya nchi...
  14. beth

    JamiiForums Tanzania India yarekodi visa 200,000 kwa Virusi vya Corona kwa mara ya kwanza

    India imerekodi visa 200,739 ndani ya saa 24 zilizopita huku Hospitali nyingi zenye wagonjwa wa Virusi vya Corona zikiripoti uhaba wa vitanda na Oxygen Taifa hilo linakabiliwa na wimbi jipya la maambukizi ambalo kitovu chake ni Maharashtra, lilipo Jiji la Mumbai. Zaidi ya robo ya maambukizi ya...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania India: Askari 22 wauawa, 30 wajeruhiwa na Chama cha Wakomunisti (maoist)

    Polisi 22 wameuawa na wengine 30 wakijeruhiwa katika jimbo lenye utajiri wa dhahabu la Chhattisgarh, India baada ya kuvamiwa na wafuasi wa Chama cha Kikomunisti cha India (Maoist). Kulikuwa na majibizano ya risasi yaliyodumu kwa saa nne ambapo imepelekea vifo vingi kuliko matukio yaliyowahi...
  16. Shadow7

    JamiiForums Tanzania African tribe, long marginalised in India, seeks sporting glory

    Siddi community is believed to have descended from Bantu peoples of sub-Saharan Africa and mostly live on India’s western coast. Shahnaz Lobi, right, along with other members of Siddi community join an exercise routine during an athletes programme at Jambur village in Junagadh district of...
  17. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania India kutafuta njia mbadala ya kufuatilia mawasiliano ya watumiaji wa WhatsApp

    Moja ya sababu zilizofanya mitandao ya kijamii kuaminiwa zaidi na watumiaji ni kutokana na hakikisho la usalama wa mawasiliano kwa kutumia mfumo wa msimbo fiche wa mwisho hadi mwisho (end-to-end encryption). Huu ni mfumo unaoficha ujumbe uliotumwa kutoka kwa mtumiaji mmoja ili usiweze kusomwa na...
  18. Pinkman

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya 'ziwa la mifupa ya binadamu' India

    CHANZO CHA PICHA,HIMADRI SINHA ROY Juu katika milima ya Himalaya nchini India, ziwa lililo kwenye bonde lenye theluji, limetapakaa mamia ya mifupa ya binadamu. Mto Roopkund uko umbali wa futi 16,500 juu ya usawa wa bahari chini ya mteremko mkali wa Trisul, moja ya milima mirefu, katika jimbo la...
  19. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania India kutunga sheria kubana zaidi mitandao ya kijamii baada ya kutunishiana misuli na Twitter

    Baada ya msuguano baina ya serikali na mtandao wa Twitter kufuatia maandamano ya wanaharakati wanaotaka mageuzi ya kilimo kuhusu kuondolewa kwa maudhui yanayodaiwa kupotosha na kuhatarisha usalama wa taifa, serikali ya India sasa inatunga mswada utakaolazimisha mitandao ya kijamii kukubaliana na...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Report ya Mapigano ya mpaka wa India na China ya 2020

    Chanzo: www.trt.net.tr Wanajeshi 4 wa China wadaiwa kufariki kwenye mapigano ya mpaka wa India mwaka 2020 Wanajeshi 4 wa China wameripotiwa kufariki mwaka jana kwenye mzozo wa mpaka wa India katika Bonde la Galvan. Kulingana na ripoti ya Jeshi la Ukombozi wa Umma (PLA) ya gazeti la siku...
Back
Top Bottom