Ndugu wanajamii naomba nilete shauri
Kwanini biblia imekuwa na tafsiri nyingi kiasi kwamba kuna biblia ya vitabu 88 hiiniya muethiopia,na 78,hii niya kikatoliki,na 66, hii niya king Jemsi ya kianglikana alimaarufu ya kilokore na pia ya siria vitabu 40,
Lakini imeandikwa usiongeze wala...