huwa

Albu Huwa (also: Albu Hawa, Qaryat Albu Hawa) is a village in Iraq, which is located in the Al Anbar Governorate south of the city of Fallujah and north of Amiriyah Fallujah, in a loop of the river Euphrates.In 2016, during the Siege of Fallujah, there was intense fighting in the area between the Iraqi army and ISIL militants. There were reports that 2,000 families were trapped in two villages, Albu Huwa and Hasai, and used as human shields.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    CCM msitupigie kelele mnapo kuwa mnagonga meza kwa shangwe pale bungeni huwa mnaona mnatunga sheria za kuwakomoa CHADEMA na fikra zinakomea hapo

    Mkiwa na viongozi wasio na maono haya ndio madhara yake, mnapo kuwa kwenye vikao vya chama mnapitisha mambo huwa hamuwazi nje ya kikao hicho , na manapo kuwa mnapitisha sheria za hovyo pale bungeni kwa umoja na mshikamano mkubwa kabisa huwa hamuwazi nje ya pale.sasa mnatulalamikia nini huku...
  2. M

    Kuzoea kushinda kwa kulazimisha ushindi kuna hasara zake, na zaidi ushindi wa kishindo athari zake kwa mshindi huwa ni kuogopa vishindo

    Hakika ya ushindi wa namna hii ni kwamba, ushindi huo hauwezi kumwondolea mshindi huyo hofu ya kwamba naye anaweza kuondolewa kwa kishindo Hofu ya kulazimisha ushindi huwapokonya washindi bandia waliopo madarakani imani ya wapiga kura. Hivyo basi, washindi bandia hujitahidi kujijengea imani kwa...
  3. K

    Unaamini Marais wa kiafirika huwa wanawaroga wananchi wao ili wawe makondoo wawafanye wanavyotaka

    Yaani kuna wachawi wanaroga wananchi wa inchi nzima halafu mnakuwa kama maiti zirizo lala hakuna wa kuhoji wala kuuliza, wale wazee wenzangu mliokuwepo wakati wa utawala wa nyerere mtakuwa mnalikumbuka hilo Yaani Rais inchi nzima inaiweka kwenye kiganja chake anawafanya anavyotaka, ngoja...
  4. Holoholo-Baba Kijacho

    Huwa unafanya kitu/jambo gani kabla haujalala??

    Kwa upande wangu napenda kuangalia movie,naoga,kama mke wangu atahtaji huduma nitampa Kisha nalala,huu ndio utaratibu wangu wa Kila siku kabla ya kalala, Mdau,utaratibu wako ni upi before haujalala???
  5. kyagata

    Baada ya Aggrey kushinda tuzo ya mwanaume bora wa mwaka. Naomba kufahamishwa alikuwa anashindanishwa nani?

    Eti mwanaume bora wa mwaka? Wametumia metrics zipi kumuita mwanaume bora wa mwaka? Alikua anashindanishwa na nani?
  6. N

    Mdau Huwa unasalimia mtu unayekaa naye siti moja kwenye daladala au unakaushaga

    Habari wakuu Binafsi mimi huwa na mikausho mikali sana ili kutojipa stress maana wengi kwenye dala dala wanakuwa kama wamevurugwa hivi, unaweza kusalimia mtu halafu akakunyamzia. Vipi Wewe unatabia gani kwenye daladala ? #Oktoba_tunatoka
  7. FK21

    Hatima huwa haikimbiwi kamwe

    Nimejifunza haya kutoka kwa Polepole na Tundu Lissu hatima uliyo pangiwa na MUNGU huwezi kuikimbia Kuna watu huwa wanasema kwanini wasinyamaze Hapana kila mtu Kuna namna kaumbwa Tundu Lissu na Polepole wa sasa starehe Yao haikuwa pesa Bali ni kuwa wakweli na wapinga uovu no matter what...
  8. baz kaiza

    GE2025 Duniani kote wenye Mamlaka ya mwisho juu ya Nchi yao huwa wananchi

    Mamlaka ya mwisho kabisa iko kwa wananchi siku wananchi wa Tanzania wakijitambua dharau za Viongozi zitaisha viongozi wamejaa dharau sana kudharau wananchi kuwaona kama takataka. Hiyo inatokana na wananchi kutojua kwamba wao ndo wenye mamlaka ya mwisho ya kuweza kuondoa yale yanayowaumiza...
  9. Simeone

    Je, nini huwa kinatokea pale mtu anapokaribia kufa?

    Hilo swali niliuliza CHATGPT na haya ndiyo majibu yake.... Simulizi za watu waliokaribia kufa (Near-Death Experiences - NDEs) kwa kweli ni za kuvutia sana na mara nyingi huwa na mambo yanayofanana sana ulimwenguni kote. Watu hawa huripoti uzoefu ambao kwa ujumla unaweza kugawanywa katika...
  10. Chizi Maarifa

    GE2025 Mara nyingi sisi CCM Vijana huwa tunachagua viongozi wa aina hii. Sijui kwanini?

    Nimeona wamekuwa wakijipenyeza sana hawa watu kwenye uongozi miaka ya hivi karibuni. Najua watasema nao ni haki yao lakini inaleta picha mbaya sana kwa jamii. Tukumbukeni yule mama wa Tanga alisema kitu kuhusu hawa watu kuwa wanajiingiza sana kwenye uongozi. Na kwa sasa ndo wanapata sana...
  11. kyagata

    Ni misemo gani ya watu wa kariakoo ukiisikia huwa unacheka sana?

    Mimi binafsi nikipita kariakoo kwenye yale spika zao nikisikia hii misemo minne huwa nacheka sana. 1.Boss kalewa 2.Boss kasahau bei. 3.Boss kavurugwa 4.Boss kapandwa na kichaa
  12. baz kaiza

    Kama jambo dogo tu kusimamia Mwendokasi tumeshidwa ni kitu gani tunaweza kufanya kwa 100% ?

    Mfano suala ili la Mwendokasi serikali ambayo ina kila kitu lakini Imeshindwa kabisa kuendesha mwendo kasi waafrika hasa Watanzania ni kitu gani tunaweza. Kama jambo dogo tu kusimamia Mwendokasi tumeshidwa ni kitu gani tunaweza kufanya kwa 100% Come on Oneni aibu basi
  13. Evelyn Salt

    Hivi huwa yana kazi gani?

    Katika vitu sipendi katika mwili ni mvvvz, hivi huwa yana kazi gani? Yani yaliwekwa kwaajili gani? Any scientific or moral explanation??? Yani ikifika muda wa kuyanyoa ndo kabiiisaaa naboreka mno. Siyapendi kuyaona. Wapi nitapata huduma ya kwenda kuchanua yatolewe sinza au tabata naomba nitajie...
  14. Financial Analyst

    Kuna vijana fulani humu basi wakionaga huu muunganiko huwa wanatetemeka balaa

  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    VIDEO: JWTZ mnapoimba nyimbo za kizalendo kama ..."Sitasimama maovu yakitawala" huwa mnamaanisha maovu gani labda?

    Huwa naona kwenye mazoezi yenu mnaimba nyimbo kama hii "Naapa Naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakurinda mpaka kufa" "Sita simama maovu ya kitawala......" Ukizingatia kwa kile tunachokiona watu wakitekwa na kuuawa ufisadi na machukizo kama yote halafu bado mnaomba nyimbo zinazoamsha hisia...
  16. Oscar Lyrics

    Umewahi kuuziwa kiwanja ambacho kina mgogoro?

    Ni mara chache hutokea ukanunua kiwanja kwa ajili ya ujenzi kisiwe na migogoro, aidha kwa aliyekuuzia au jirani yako akasogeza mpaka ili mradi mgogoro utokee, Wakati mwingine unaweza kuuziwa kiwanja kumbe ni cha mtu mwingine pasipo wewe kujua, Mimi binafsi jirani yangu alisogeza mpaka kisa...
  17. Mwanamke wa mithali 31

    Ni kweli huwa mnapata wenza humu?

    Mbona hamjawahi kuleta mrejesho ? Mkipata wenza jaman, mrudi kuleta feedback na wengine wahamasike
  18. Scared

    Sijui kwanini nikiona picha za gen z Kenya huku nikisikiliza ngoma za lucky dube huwa Kuna vibe flani hivi la uzalendo embuu jaribuni na nyie

    Nikiona picha za gen z Kenya halafu mda huo nasikiliza Ngoma za lucky dube huwa Kuna vibe flani hivi la kuingia rodi hiyo tarehe 29 nikikumbuka asili ya mtanzania ni uoga mpaka mtandaoni nachoka
  19. Common Folk

    Mitandao huwa haisahau, Diamond mwaka 2013 ulikuwa unalalamikia yaleyale ambayo raia wengi wanayalalamikia leo hii

    Masikini akipata matako hulia mbwata!
  20. M

    Hivi mstaafu Kikwete huwa haambiwi na kupewa taarifa kuwa watu wanamsema vibaya na kumchukia?

    Mimi nashangaa na kujiuliza sana. Hizi lawama zote anazopewa mtaafu Jakaya huwa hazipati? Wasaidizi wake huwa hawamuambii? Kila kona sasa hivi utasikia maeneo. Hii nchi inakwenda vibaya sababu ya huyu mstaafu, ufisadi, kuharibu chama chao hadi kifo cha Magufuli na wasaidizi wake. Yupo kimya.
Back
Top Bottom