HUYU DADA ANAOMBA USHAURI
Jamani naombeni ushauri wenu, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa tatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikua na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu...