Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 810
- 2,039
Mnamo Sikukuu ya Krismasi mwaka 1971, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Wilbert Kleruu, aliuawa na mkulima Said Mwamwindi huko Isimani.
Tukio hilo lilitokea wakati wa utekelezaji wa sera za serikali za kutaifisha mashamba makubwa, baada ya kuzuka mgogoro mkali kati yao.
Mwamwindi alijisalimisha polisi mara baada ya tukio na baadaye alihukumiwa kunyongwa mwaka 1972.
Kifo cha Kleruu kilibaki kuwa miongoni mwa matukio yaliyotikisa sana historia ya Tanzania baada ya uhuru.
Soma