Fuatilia mdahalo huu kwa faida yako na faida ya watoto wako.
View: https://www.youtube.com/live/ns5m5m5-20o?si=hLRnoSO87jjQU2b0
View: https://www.youtube.com/live/ns5m5m5-20o?si=hLRnoSO87jjQU2b0
Nadhani kupitia PPP tunamaliza hii shidaBlah blah tuu! Hayo maji toka uhuru wanahangaika nayo na vipara vyao hivyo!
Nadhani kupitia PPP tunamaliza hii shida
Lakini shida ya MAJI imepunguaa sanaHazijaanza leo hizo ngonjera mkuu! 😁
Walishindwa akina Mwandosya, wasomi na mawaziri wa maji, wataweza hao wachumia tumbo wenye vipara! 😁
Lakini shida ya MAJI imepunguaa sana
Ppp si watu wale wale ccm? Au ni wazungu?Nadhani kupitia PPP tunamaliza hii shida
Ni wapi huko watu wanakunywa Maji na Wanyama?Maji hayakupaswa kuwa "nightmare" kwa taifa hili kwa miaka zaidi ya 60 uhuru! Bado watu wanakunywa maji na wanyawa kwenye mito na mabwawa vijijini. Bado mamilioni ya wanawake wanatembea umbali mrefu kufuata maji, maji yanachukua muda mwingi wa mwanamke vijijini huko.
Tunatofautiana mtazamoPpp si watu wale wale ccm? Au ni wazungu?
Ni wapi huko watu wanakunywa Maji na Wanyama?
Aisee basi ni hatari sanaNenda mkoa wa Katavi, wilaya ya Mpimbwe.
Aisee basi ni hatari sana
Je ukiacha huku Mpanda Kuna sehemu nyingine unajua?Maji bado ni mtihani tajiri. Watu wanateseka, watu wanahangaika na maji hayo. Hizo blah blah za maji hazijaanza leo.
Je ukiacha huku Mpanda Kuna sehemu nyingine unajua?
Fuatilia mdahalo huu kwa faida yako na faida ya watotio wako.
View: https://www.youtube.com/live/ns5m5m5-20o?si=hLRnoSO87jjQU2b0
Nadhani ungekwenda moja kwa Moja kwenye maeneo yenye shidaSehemu zipo nyingi, maji yapo mijini tuu. Mkoa wa Rukwa pia una shida ya maji baadhi ya wilaya. Vyanzo vingi vinategemea mvua, kipindi cha kiangazi maji hayatoki kabisa.
Lakini kwenye umeme na Maji tutafanya vizuri sanaMbona tuna JNHPP na extra Megawatts zaidi ya 1600 lakini kuna sehemu umeme hakuna na kwa walionao kila siku unakatika? TZ inahitajika kiongozi mzalendo hasa kuthibiti WAHUNI....Matatizo ya maji ,umeme ,maendeleo duni ni kwasababu WAHUNI wanahondomola ,wanatindinganya ,wanabananga mali za umma.
Lakini kwenye umeme na Maji tutafanya vizuri sana
Ni wapi huko watu wanakunywa Maji na Wanyama?