HII MBEYA UMEME VIPI?
Ndagafijo
Nimetoka zangu huko visiwani nyumbani kwa mama wa nchi nikasema walau nijivinjari huku bara, ili kusaka tonge ili yule bidada mrembo asiye na doa, nimmilikiye asije nikimbia licha ya subra na uvumilivu alojaliwa na manaan.
Sio hilo tu je huyu binti yake ambaye...