Kuna hoja na mada mbalimbali humu zinazotolewa na members, na members hawa wengi nimeona ni wataalamu wa kitu wanachokiongea, utaalamu si tu wa darasani ila pia kupitia experience ya jambo lake analozungumzia.
My concern ni kwamba, kuna mtu anaanza poa kabisa kutoa hoja yake (au just...