Nchi inaharibiwa sana na utawala wa awamu hii

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
473
1,450
Nazungumza hili nikiwa na hasira kidogo, kwa wale tunaofanya biashara tuwe wakweli awamu hii tunaombwa rushwa kinguvu na mafisa wa serikali, jana nilikuwa napambania passport ofisi za uhamiaji, kilichonishangaza ni kijana mdogo tu ananiambia" bros ukitoa kama laki mmoja mimi nakupambania chap, ukifuata utaratibu bros itakuchuka muda" nimejiuliza sana huyu hanifahamu, ni mgeni pale uhamiaji lakini ana confidence, haoni noma yoyote.

Ni kweli kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaombwa rushwa lakini sio kishamba hivi, sometimes unakwenda ofisini unawachimba mkwara tu na vitu vinaenda haraka hujatoa hata mia, saizi wanaitoa wapi hii confidence, nini kimefanyika hadi wasiwe wanaona aibu, nikiwaza mimi ni mwalimu sina mahali pa kuchukua rushwa, naumia nenda mipakani pitisha mizigo yako halafu huna mtu utaona moto.

Maafisa hawawazi kukusumbua na kukuomba rushwa, nini kimetokea serikalini hadi imekuwa hivi, ni magizo toka juu au loophole tu imekuwa hivi, serikali inachuka hatua gani au ndio kila mtu ajiapambanie, NB sina chuki na samia wala sikuwahi kumpenda magufuli ila nahisi kuna jambo lipo hovyo awamu hii.
 
Uko tayari kushirikiana na vyombo vya usalama kutokomeza hili tatizo?
Vyombo vipi vya usalama?
Kuna wakati umaskini unakulazimisha kuishia kulalamika tu hapa jf.Ukiwa mjuaji watakutafutia angle nyingine utajuta hata kwa nini ulijifanya kudai haki.
 
Nazungumza hili nikiwa na hasira kidogo, kwa wale tunaofanya biashara tuwe wakweli awamu hii tunaombwa rushwa kinguvu na mafisa wa serikali, jana nilikuwa napambania passport ofisi za uhamiaji, kilichonishangaza ni kijana mdogo tu ananiambia" bros ukitoa kama laki mmoja mimi nakupambania chap, ukifuata utaratibu bros itakuchuka muda" nimejiuliza sana huyu hanifahamu, ni mgeni pale uhamiaji lakini ana confidence, haoni noma yoyote.

Ni kweli kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaombwa rushwa lakini sio kishamba hivi, sometimes unakwenda ofisini unawachimba mkwara tu na vitu vinaenda haraka hujatoa hata mia, saizi wanaitoa wapi hii confidence, nini kimefanyika hadi wasiwe wanaona aibu, nikiwaza mimi ni mwalimu sina mahali pa kuchukua rushwa, naumia nenda mipakani pitisha mizigo yako halafu huna mtu utaona moto.

Maafisa hawawazi kukusumbua na kukuomba rushwa, nini kimetokea serikalini hadi imekuwa hivi, ni magizo toka juu au loophole tu imekuwa hivi, serikali inachuka hatua gani au ndio kila mtu ajiapambanie, NB sina chuki na samia wala sikuwahi kumpenda magufuli ila nahisi kuna jambo lipo hovyo awamu hii.
Inaharibiwa kwa kujengwa hospitali mpya za rufaa mikoani?

1695706912318.png


Hospitali mpya ya rufaa - Mara.
 
Nazungumza hili nikiwa na hasira kidogo, kwa wale tunaofanya biashara tuwe wakweli awamu hii tunaombwa rushwa kinguvu na mafisa wa serikali, jana nilikuwa napambania passport ofisi za uhamiaji, kilichonishangaza ni kijana mdogo tu ananiambia" bros ukitoa kama laki mmoja mimi nakupambania chap, ukifuata utaratibu bros itakuchuka muda" nimejiuliza sana huyu hanifahamu, ni mgeni pale uhamiaji lakini ana confidence, haoni noma yoyote.

Ni kweli kipindi cha Magufuli tulikuwa tunaombwa rushwa lakini sio kishamba hivi, sometimes unakwenda ofisini unawachimba mkwara tu na vitu vinaenda haraka hujatoa hata mia, saizi wanaitoa wapi hii confidence, nini kimefanyika hadi wasiwe wanaona aibu, nikiwaza mimi ni mwalimu sina mahali pa kuchukua rushwa, naumia nenda mipakani pitisha mizigo yako halafu huna mtu utaona moto.

Maafisa hawawazi kukusumbua na kukuomba rushwa, nini kimetokea serikalini hadi imekuwa hivi, ni magizo toka juu au loophole tu imekuwa hivi, serikali inachuka hatua gani au ndio kila mtu ajiapambanie, NB sina chuki na samia wala sikuwahi kumpenda magufuli ila nahisi kuna jambo lipo hovyo awamu hii.
Wewe unaombwa rushwa badala ya kwenda takukuru wakupe pesa zao uwape wakamatwe unakuja JF?

Hivyo ndivyo akili yako inavyokutuma kupambana na rushwa?
 
Passport ni laki na nusu ila kuna wahindi na waarabu waliozaliwa Tanzania wanatoa laki tatu wanaondoka siku hyo hyo na passport kirahisi tu kipindi cha magu pia rushwa ilikuwepo japo ilikuwa ya chini chini lakini ilikuwepo sema sasa hivi ni dhahiri shahiri.
 
Mbona ile awamu iliyopita ghafla mlisema imeharibu nchi na hii iliyopo ndiyo inajenga na kuponya majeraha yaliyosababishwa na awamu iliyopita? Subirini kampeni za uchaguzi mkuu ujao huenda mkapatiwa mnachokitaka
 
Back
Top Bottom