Story hii itakusisimua kuliko zote, utatumia dakika 2

Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
12,125
25,361
Nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu, niliyekuwa nikimuita “Bestfriend” nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu, lakini yeye hakuwa akitamani hilo na nilikuwa nikilitambua hilo.

Baada ya leacture, alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita. Baada ya kumpa akasema “asante” na kushikana mikono na mimi. I wanted to tell her, i want her to know that i don’t want us to be just friends, i love her but i’m just to shy, and i don’t know why

2nd year
Simu yangu iliita, kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart, she asked me to come over because she didn’t want to be alone, kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji, as i sat next to her on the sofa, nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu.

Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida, hivyo akaamua kwenda kulala,before akaniangalia na kuniambia “asante” na kunipa tabasamu tamu, i want to tell her to know that i don’t us to be just friends, i love her but i’m just too shy, and i dont know why.

3rd year
Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia “Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku” kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku-date nae basi tutaenda pamoja just as “bestfriends”. hivyo tukaenda.

Katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa,nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake, she saw me looking to her she smiled at me, i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo,then she said to me “nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana” and she gave me a sweet smile.I want to tell her to know that i don’t us to be just friends, i love her but i’m just too shy, and i dont know why.

Graduation Day
Siku, wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo, akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile, i wanted her to be mine, but she didn’t notice me like that, and i knew it.

Kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao, alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali, na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia “you are my bestfriend asante sana” i want to tell her to know that i don’t us to be just friends, i love her but i’m just too shy, and i dont know why.

Miaka michache baadae
Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa,nilimuangalia akisema “ndiyo nakubali ” and drive off to new life, kaolewa na mwanaume mwingine, i wanted her to be mine, but she didn’t see me like that, and i knew it.

But before she drove away, alikuja kwangu na kusema “asante sana” and kissed me on the cheek. I want to tell her to know that i dont us to be just friends, i love her but i’m just too shy,and i dont know why.

Kwenye Mazishi
Miaka ilipita i looked down katika jeneza lilokuwa na msichna ambaye alikuwa ni “bestfriend” wangu,Katika Service ya mazishi wakasoma diary ya Bestfriend ambayo alikuwa akiiandika enzi za maisha ya chuo’

Diary yake ilikuwa Ilikuwa ikisomeka hivi
I stare at him napenda awe wangu, but he doesn’t notice me like that, and i know it, i want to tell him,i want him to know that i dont want us to be just friends, i love him but i’m just to shy, and i dont know why. I wish he would tell me he loved me!

Nilipiga magoti huku nikilia nikijisemea moyoni i wish ningemwambia tu ukweli,nimeshachelewa sipo nae tena katangulia mbele za haki i cried!!

Vunja ukimya
 
Mtafute Dr Lizzy anajua namna ya kufikisha ujumbe wako
Hmmm...naogopa kumshauri amfungukie moja kwa moja.😁

Unapompenda mtu, kuna vitu huja vyenyewe bila hata kulazimishwa. Things like wanting to spend time together, wanting to talk to him/her mara kwa mara, etc....atumie vitu hivyo hivyo kumvuta mshkaji karibu.

So....badala ya kumsubiria mshkaji, moneytalk anzishe maongezi, amualike out/home for a meal, amsifie kwa vile vitu ambayo anavutiwa navyo kwake, wakikutana ajitahidi kumaintain eye contact mara kwa mara huku akitabasamu, kumgusa kidogo hapa na pale katikati ya maongezi, kumgeukia ili awe ana mtazama moja kwa moja hata kama wamekaa upande mmoja & facing the same side, being there for him, etc. etc.

Anaweza pia kumuuliza tricky questions..
- Anapenda mwanamke wa aina gani?
- Values & principles gani anavutiwa nazo na zipi ni big NO!
- Expectations zake kwenye mahusiano..
- Utayari wake wakuingia kwenye mahusiano...
-Vipaumbile vyake...
Etc....etc..
Kama akiona ana-fit humo basi na yeye ahakikishe jamaa anajua she is that woman kupitia maongezi yao.
 
Hmmm...naogopa kumshauri amfungukie moja kwa moja.😁

Unapompenda mtu, kuna vitu huja vyenyewe bila hata kulazimishwa. Things like wanting to spend time together, wanting to talk to him/her mara kwa mara, etc....atumie vitu hivyo hivyo kumvuta mshkaji karibu.

So....badala ya kumsubiria mshkaji, moneytalk anzishe maongezi, amualike out/home for a meal, amsifie kwa vile vitu ambayo anavutiwa navyo kwake, wakikutana ajitahidi kumaintain eye contact mara kwa mara huku akitabasamu, kumgusa kidogo hapa na pale katikati ya maongezi, kumgeukia ili awe ana mtazama moja kwa moja hata kama wamekaa upande mmoja & facing the same side, being there for him, etc. etc.

Anaweza pia kumuuliza tricky questions..
- Anapenda mwanamke wa aina gani?
- Values & principles gani anavutiwa nazo na zipi ni big NO!
- Expectations zake kwenye mahusiano..
- Utayari wake wakuingia kwenye mahusiano...
-Vipaumbile vyake...
Etc....etc..
Kama akiona ana-fit humo basi na yeye ahakikishe jamaa anajua she is that woman kupitia maongezi yao.
Ashindwe yeye sasa codes zote zishafunguka.

moneytalk njoo uchukue hii kutoka kwa mtaalam wa hizi kazi Dr Lizzy anayo experience ya kutosha 10+ yrs.
 
Hmmm...naogopa kumshauri amfungukie moja kwa moja.😁

Unapompenda mtu, kuna vitu huja vyenyewe bila hata kulazimishwa. Things like wanting to spend time together, wanting to talk to him/her mara kwa mara, etc....atumie vitu hivyo hivyo kumvuta mshkaji karibu.

So....badala ya kumsubiria mshkaji, moneytalk anzishe maongezi, amualike out/home for a meal, amsifie kwa vile vitu ambayo anavutiwa navyo kwake, wakikutana ajitahidi kumaintain eye contact mara kwa mara huku akitabasamu, kumgusa kidogo hapa na pale katikati ya maongezi, kumgeukia ili awe ana mtazama moja kwa moja hata kama wamekaa upande mmoja & facing the same side, being there for him, etc. etc.

Anaweza pia kumuuliza tricky questions..
- Anapenda mwanamke wa aina gani?
- Values & principles gani anavutiwa nazo na zipi ni big NO!
- Expectations zake kwenye mahusiano..
- Utayari wake wakuingia kwenye mahusiano...
-Vipaumbile vyake...
Etc....etc..
Kama akiona ana-fit humo basi na yeye ahakikishe jamaa anajua she is that woman kupitia maongezi yao.
umemaliza 🫡hakika wewe ni dr hapa nishindwe mwenyewe
 
Unajua

Kuna jambo nimejifunza unapompenda mtu sana na kumuwaza sana wakati huo huo na yeye hiyo hali humtokea!mara nyingi aibu,uoga na kutojistahi na kujiona usiefaa kitu Huwa ni ukuta kati yetu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom