Leo kila mtu ana simu, data na account ya TikTok, YouTube, Instagram au Facebook. Hilo ni jambo zuri kwa uhuru wa taarifa. Lakini pia limeleta tatizo kubwa:
Watu wengi wanafundisha mambo nyeti bila ujuzi wowote.
Tunashuhudia:
Watu wanafundisha uwekezaji wa uongo
Watu wanashauri dawa bila...