Salaam,
Je, wewe ni Mchungaji au una ndoto ya Kumiliki Kanisa?
Basi huitaji kutumia Nguvu nyingi, Pesa nyingi wala Muda mwingi kuzunguka huko duniani ukitangaza neno.
Unachopaswa kufanya sasa:
1. Acha kabisa kukemea dhambi kanisani.
2. Jitahidi kuchekesha wakati wa ibada.
3. Jenga urafiki...