GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 109,002
Rais Samia alituambia kwa uhakika kuwa hadi Mwezi ujao Machi Mgawo hautokuwepo tena na TANESCO nao wakasema hadi Mwezi huu wa Februari kutakuwa hakuna tena Mgawo wa Umeme na hatimaye jana nimesikia ( labda niwe nimesikia vibaya ) kuwa sasa Mgawo wa Umeme tutaenda nao na utaisha Mwezi June,. 2024.
Taifa lenye Watu Werevu na Wanaojitambua na Baba wa Mapinduzi duniani la Ufaransa ( France ) mwaka 1789 Raia ( Wananchi wa nchi hiyo ) walifanya Mapinduzi makubwa yaliyoibadili Ufaransa na kuleta Adabu kwa Watawala wa Taifa baada ya Bei ya Mikate iliyokuwa ikiliwa na Watu wengi wa Kawaida ( Masikini ) kama GENTAMYCINE huku kwa Dharau Kubwa Mke wa aliyekuwa Mfalme ( Kiongozi ) wa Ufaransa King Louis XV1 aitwae Marie Antoinette akiwaambia Wafaransa kwa Kejeli kuwa kama wanaona Bei ya Mkate ni Kubwa basi wanunue / wale Keki ambayo ni ya Gharama Kubwa na wanaomudu kula Keki ni Matajiri pekee.
Taifa lenye Watu ( Raia ) wa hovyo hovyo ( Going Goi ) popote pale duniani ( Tanzania haimo kwani ina Watu Werevu na Rais Mchapakazi kuliko wote duniani ) hata wakiwa wanakatiwa Umeme, bei ya Sukari kuwa juu, Maji yakiwa ni ya Mgawo,. Mfumuko wa bei kuwa juu, Elimu yao kuwa Duni na wanatumia Siku Tatu, Tano hadi hata Saba za Kumsifu na Kumuombea Fisadi Mfalme na Mafia kamwe usitegemee likawa na Maendeleo sana sana Taifa hilo kila Siku tu litakuwa linaongeza Wajinga na Wapumbavu.
Natamani sana kumjua ni Rais gani wa Afrika ( sasa Mstaafu aliyekuwa na Sifa ya kutokuwa na Akili ila aliyekuwa na Sifa ya Usanii ) kwa Dharau kabisa aliambiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame 'Genius, Military and Intelligence Expert' kuwa ANAONGOZA MAITI ndiyo maana WANAWAFANYA watakavyo.
Taifa lenye Watu Werevu na Wanaojitambua na Baba wa Mapinduzi duniani la Ufaransa ( France ) mwaka 1789 Raia ( Wananchi wa nchi hiyo ) walifanya Mapinduzi makubwa yaliyoibadili Ufaransa na kuleta Adabu kwa Watawala wa Taifa baada ya Bei ya Mikate iliyokuwa ikiliwa na Watu wengi wa Kawaida ( Masikini ) kama GENTAMYCINE huku kwa Dharau Kubwa Mke wa aliyekuwa Mfalme ( Kiongozi ) wa Ufaransa King Louis XV1 aitwae Marie Antoinette akiwaambia Wafaransa kwa Kejeli kuwa kama wanaona Bei ya Mkate ni Kubwa basi wanunue / wale Keki ambayo ni ya Gharama Kubwa na wanaomudu kula Keki ni Matajiri pekee.
Taifa lenye Watu ( Raia ) wa hovyo hovyo ( Going Goi ) popote pale duniani ( Tanzania haimo kwani ina Watu Werevu na Rais Mchapakazi kuliko wote duniani ) hata wakiwa wanakatiwa Umeme, bei ya Sukari kuwa juu, Maji yakiwa ni ya Mgawo,. Mfumuko wa bei kuwa juu, Elimu yao kuwa Duni na wanatumia Siku Tatu, Tano hadi hata Saba za Kumsifu na Kumuombea Fisadi Mfalme na Mafia kamwe usitegemee likawa na Maendeleo sana sana Taifa hilo kila Siku tu litakuwa linaongeza Wajinga na Wapumbavu.
Natamani sana kumjua ni Rais gani wa Afrika ( sasa Mstaafu aliyekuwa na Sifa ya kutokuwa na Akili ila aliyekuwa na Sifa ya Usanii ) kwa Dharau kabisa aliambiwa na Rais wa Rwanda Paul Kagame 'Genius, Military and Intelligence Expert' kuwa ANAONGOZA MAITI ndiyo maana WANAWAFANYA watakavyo.