WeedLiquorz
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 3,287
- 5,466
Salaam,
Je, wewe ni Mchungaji au una ndoto ya Kumiliki Kanisa?
Basi huitaji kutumia Nguvu nyingi, Pesa nyingi wala Muda mwingi kuzunguka huko duniani ukitangaza neno.
Unachopaswa kufanya sasa:
1. Acha kabisa kukemea dhambi kanisani.
2. Jitahidi kuchekesha wakati wa ibada.
3. Jenga urafiki mzuri na kina Mama, watoto na Vijana hasa wa Kike.
4. Ondoa mipaka na Sheria zote ndogo ndogo.
5. Wafanye waumini wako wajisikie kama wapo nyumbani.
Kwa kufanya hivyo tu kanisani kutafulika wimbi la Waumini kuliko Ukubwa wa Imani yako.
Ukifanikiwa nikumbuke na mimi.
Je, wewe ni Mchungaji au una ndoto ya Kumiliki Kanisa?
Basi huitaji kutumia Nguvu nyingi, Pesa nyingi wala Muda mwingi kuzunguka huko duniani ukitangaza neno.
Unachopaswa kufanya sasa:
1. Acha kabisa kukemea dhambi kanisani.
2. Jitahidi kuchekesha wakati wa ibada.
3. Jenga urafiki mzuri na kina Mama, watoto na Vijana hasa wa Kike.
4. Ondoa mipaka na Sheria zote ndogo ndogo.
5. Wafanye waumini wako wajisikie kama wapo nyumbani.
Kwa kufanya hivyo tu kanisani kutafulika wimbi la Waumini kuliko Ukubwa wa Imani yako.
Ukifanikiwa nikumbuke na mimi.