Samahani wa ungwana ni mara ya tatu tena nakuja kwenu. Bado nauguza vidonda nilivyovipata huko nyuma kwa matibabu ya bawasiri yasio sahihi.
Nataka nikipona vidonda niende hospital kwa matibabu zaidi lkn.
Kilichonileta kwenu tena ni hii picha ambayo nimewaletea wale watalaamu wa kujua aina za bawasiri ya ndani (internal hemorrhoids) maana ziko grade nne.
Nataka kujua je hii ni grade ya ngapi ktk zile nne maana nahisi nimefikia hatua km hii picha inavyoonyesha.
Lkn kutaka kujua tena je huwa wanafanyaje upasuaji wa bawasiri ya ndani?
Samahani kwa usumbufu
Naomba kuwasilisha.
Nataka nikipona vidonda niende hospital kwa matibabu zaidi lkn.
Kilichonileta kwenu tena ni hii picha ambayo nimewaletea wale watalaamu wa kujua aina za bawasiri ya ndani (internal hemorrhoids) maana ziko grade nne.
Nataka kujua je hii ni grade ya ngapi ktk zile nne maana nahisi nimefikia hatua km hii picha inavyoonyesha.
Lkn kutaka kujua tena je huwa wanafanyaje upasuaji wa bawasiri ya ndani?
Samahani kwa usumbufu
Naomba kuwasilisha.