Sijajua kama ni awamu ya sita au saba, ila nachojua ipo kama jike la hayawani lililopo kwenye joto. Inatafuta mkunaji ila haiko tayari kukunwa.
Bado haijapata beberu sahihi kufanya hiyo kazi, maana mabeberu wanaojitoa wanapata changamoto isiyo kawaida.
Nahisi yupo beberu mmoja anatafutwa...