4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,394
- 13,130
Wana wa Mungu jf , heri ya mwaka mpya
Nipo na ujumbe muhimu sana kutoka kwa yuleyule atupae pumzi, na yule yule ajuae lini tutatoweka katika ulimwengu wa anasa n.k
Nataka kutana na uongonzi wa taifa ,namanisha top 3 .
Nimepeni utaratibu namna ya kuwaona ila mambo ya kutekana, kupotezwa sitaki, kama alivyosema yule ( lijasusi la mbinguni) na hapa ndo mtiani ulipo.
Nataka kutana nao live wote top 3 kwa siku moja .
Hawataki, shauri zao.
Nataka wanihakikishie sitotekwa na kuuwawa.
Thanks
Nipo na ujumbe muhimu sana kutoka kwa yuleyule atupae pumzi, na yule yule ajuae lini tutatoweka katika ulimwengu wa anasa n.k
Nataka kutana na uongonzi wa taifa ,namanisha top 3 .
Nimepeni utaratibu namna ya kuwaona ila mambo ya kutekana, kupotezwa sitaki, kama alivyosema yule ( lijasusi la mbinguni) na hapa ndo mtiani ulipo.
Nataka kutana nao live wote top 3 kwa siku moja .
Hawataki, shauri zao.
Nataka wanihakikishie sitotekwa na kuuwawa.
Thanks