hela

  1. T

    Naomba niweke wazi kwa wale wanaodhani ya kwamba hela iliyopo NSSF ni ya Serikali

    Habari, fedha anayokwatwa mwanachama wa NSSF siyo ya serikali bali serikali inaisimamia tuu mifuko hii. hii fedha ni fedha ya wanachama. Nashindwa kuelewa pale Mtu anaposema watanzania tunapenda vitu vya bure. Naomba nikuelimishe kidogo wewe unayesema tunapenda vitu vya bure. Kama kazini...
  2. Viwanja vyote vilivyomilikishwa kimakosa kupigwa mnada ili Serikali ipate hela

    Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ametanza rasmi kuanzia July 01 2021, kuanza kwa zoezi la Kitaifa la uhakiki wa umiliki wote wa ardhi kwa kutumia kitambulisho cha NIDA kwa Nchi nzima. “Tunataka Wamiliki wote hewa waliomilikishwa kimakosa, kiwizi, kiutapeli na...
  3. Anakotupeleka Rais Magufuli ni kuzuri; Serikali itakuwa na uwezo wa kumlipa hela kila asiye na kazi

    Wengi hushangaa wakisikia mtu asiye na kazi nchi zilizoendelea kuwa hulipwa posho kila mwezi na serikali Siri yake ndogo tu ni kuwa miradi mikubwa ya maendeleo mila pesa nyingi kama mabarabara, hospitali, Shule, njia za reli, umeme, maji nk yote ilishaisha kujengwa. Hivyo serikali zingine...
  4. Waziri wa Miundombinu unapigwa hela barabara Mwenge - Tegeta inayofanyiwa marekebisho Lugalo

    Wana jf, Waziri wa miundombinu kakague lami inayojengwa Lugalo jeshini, sehemu iliyomalizika ina mawimbi ya kufa mtu. Watanzania wa sasa tuko macho hatuibiwi kodi, Lami mbovu mno haitamaliza mwaka, waoondoeni au wairudie. Ushahidi nenda mkajionee msijesema hamkuona.
  5. Msinipigie simu, na hizo hela msinipe

    Achana na hustles za mtaani ndugu zangu, Jamaa yangu alihudhuria mafunzo ya ujasiriamali SIDO ili aweze kupata hela za mkopo ambazo kwa kipindi kile zilikuwa nafuu sana. Basi jamaa alitoa hela ya mafunzo akitegemea hela nyingi sana. Mafunzo yalikwenda kwa miezi miwili walipomaliza akaambiwa...
  6. F

    Yanga mchawi wetu ni hela, wachezaji wa bei rahisi hatuwezi kufanana na mtani ambaye hana ubahili

    Habari wadau, Kama mwanayanga nina huzuni na matokeo ya mbeya.. na pia nina huzuni ya wivu wa mafanikio ya mtani simba. Natambua kabisa mchawi wetu yanga ni hela kama kuna mwanayanga hatambui hilo naomba alitambue. Kikosi cha simba kina watu wa gharama wengi tu. Ndio maana ana uwezo wa kupata...
  7. Kuna aina tatu ya wanawake wanaoomba hela

    Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Kwakua Ana Shida.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukukomoa.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukupima..
  8. Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

    Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela. Wadada...
  9. Ukiwa huna hela hata ukienda beach kuogelea Mawimbi yanakuja kukusomba Maana yanafikiri umekuja kujiua

    Habari za mida hii wadau!? Yani nipo napiga hesabu nifanyeje haya Maisha naona yanazidi kupiga chenga tu halo inakuwa ngumu, ukimuomba mtu hela anasema mitano tena sasa hiyo mitano tena ndo ntashiba ama au ni hela, Tufike muda tuoneane huruma jamani. 🤦🤪🏃
  10. Ndugu zetu Watanzania, mtaacha kuwa shamba la bibi lini? Watu wanapiga hela kupitia kila kitu chenu, hadi vinyonga

    Naona hizi taarifa jamaa amekamatwa na furushi la vinyonga alilokua anasafirisha kimagendo kutokea Tanzania kupitia Ethiopia, yaani huko nje vitu kama hivi ni dili la kupiga hela, ila wenzetu wa kusini wao wapo wapo tu. Mambo kama haya yangetendeka enzi za mababu ingeeleweka, ila yanatendeka leo...
  11. K

    Jafo aagiza walimu wapya walipwe Fedha za kujikimu ndani ya siku 7

    Posho za Kujikimu kwa Ajira Mpya za Walimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe. Selemani Jafo amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanawalipa walimu wote wa ajira mpya walioripoti kwenye Halmashauri zao posho za kujikimu ndani ya muda wa wiki moja kuanzia leo...
  12. K

    Ikiwa umpewa bili kubwa na slay queen baa na huna hela...

    Na pia kama huyo Dada kaja na pisi nyenzake kibwena na wamekula vyakutosha . Halafu salio lako linasoma kidogo. Tafadhali Tupigie tutakuja na polisi kukukamata kama muhalifu. Na ikiwa kuna mwingine yupo jirani nae ana msala kama wako. Aseme tu "mnampeleka wapi jamaa yangu jamani?" Nae...
  13. Kuombwa hela, kutoa hela na kuhonga katika mapenzi

    Habari wadau. Kitendo Cha kuhonga katika mapenzi Ni kitendo Cha asili.toka zama za mababu wanaume walikua wakiwahonga wapenzi wait vitu mbalimbali mfano khanga,vitenge,nguo,viatu,vipodozi,hell na Vito vya thamani. Mambo haya yalifanyika kabla ya kumpata mwanamke na baada ya kumpata mwanamke...
  14. M

    Hivi ni kweli wanaume hawapendi kuombwa hela?

    Wanaume hii tabia ya kuombwa hela ni wote hampendi au wale walala hoi tu? Naomba kujua kwanini wanaume hawapendi kuombwa hela.
  15. Dadadeki!! Kwa mwezi wa Desemba tu KRA imekusanya Ksh166 billion, kwa hela madafu hizo ni kama Tshs 3,652,000,000,000 yaani Trilioni 3.6

    Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo... =============================== Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic...
  16. C

    Halotel wameshikilia hela yangu nimekusudia kwenda kushtaki

    Nilimtumia mtu fedha kutoka kwenye akaunti yangu ya halopesa Ile hela haikufika ila kwenye akaunti yangu wakaikata! Niliwasiliana na huduma kwa wateja bila mafanikio! Ni wiki sasa ile hela bado hawajanirejeshea! Wadau ninataka kwenda kuwashtaki.
  17. Tabia ya vodacom kichukua hela ya muda wa maongezi bila idhini ya mteja na kituma ujumbe "samahani umefanikiwa kununua tiketi lakini hukiweza kishinda

    Kama umewahi kukumbwa na kitu kama hiki karibu tushauriane nn tatizo la huu mtandao au ndo namna ya kujiongezea kipato chao
  18. Ukijengea nyumba kwa hela ya kuhemea ni ujinga

    Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, Je anatesaje wanae? Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
  19. Ukituma hela utume na ya kutolea

    Habari za humu wajameni!? Kila kitu kipo good oke. Wajameni naona siku hizi kuna huu msemo sio kwa wanaume wala wanawake tena kwao ndo umezidi kwamba ukituma hela utume na ya kutolea. Sasa sijajua hiyo huduma ya ukituma utume na ya kutolea ipo katika mitandao yetu hii tunayotumia pia kama...
  20. Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

    Wajuzi naomba msaada. Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa. Msaada
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…