Shunroku Hata (畑俊六, Hata Shunroku, July 26, 1879 – May 10, 1962) was a Field Marshal (Gensui) in the Imperial Japanese Army during World War II. He was the last surviving Japanese military officer with a marshal's rank. Hata was convicted of war crimes and sentenced to life imprisonment in 1948, but was paroled in 1954.
Wakuu, kuna tabia moja nimekuwa nikiiona humu ambayo inachekesha kidogo, lakini pia inanifanya nijiulize.
Unafungua ID mpya, halafu ghafla watu wanakuangalia kama umetua leo kutoka sayari nyingine! 😂
Ukiandika hoja yenye kueleweka wanaanza:
«“Wewe ID mpya, unajua nini kuhusu JF?”»
Sasa ngoja...
Akizungumza leo, Agosti 28, 2026, katika Mkutano wa Wadau wa Masuala ya Kidemokrasia uliofanyika kwenye makao makuu ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema aliyekuwa makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa hajawai kuwa chawa
"Kwa sababu mimi nasema...
Hii kesi ilipofikia hata kijana anayesoma Diploma ya sheria IJA (Institute of Judicial Administration, Lushoto anaweza kuandika hukumu ya KWELI. Reasoned judgement!
Naishia hapa
NB: Nina Akili Ndogo Sana
Kama kuna mtu aliwahi kufanya jaribio lolote ambalo halihatarishi maisha yako, hakuna sida.
Kama kuna mtu yeyote aliwahi Fanya jaribio la kutaka kukua (kukutoa uhai), usimsamehe hata siku moja. Akijaa katika mfumo, mpe zawadi yake, kama sio yeye personally, basi mpe...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali...
Japo najua mtu ukiwa mkweli sana, sometimes ukweli unaweza kukuponza!, ila nilidhani ukweli una wacost malofa tuu na makapuku, sikujua kama unaweza kuwaponza wakubwa kama Balozi Polepole,
Polepole alipoanza kuusema ukweli wake, mimi nilimshauri sana tuu...
Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na kipofu.
Kwa ufupi, hao hapo juu ndo napendekeza wateuliwe mmojawapo tumalizane na kianze kuumana kwenye...
Wakuu, huyu ni professor wa nini na yupo wapi sasa?
Nimesikia sehemu Rais anamtafuta mtu weak mno ampe Nafasi ya Nchimbi.
Mtu asiyemsumbua na kuilenga 2030 na amepanga kwenda na mtu huyu.
Nchi hii tutaona mengi wallahi
Tusikwepe kuiona picha kubwa inayochezwa na mihimili ya serikali haramu ya Tanzania dhidi ya raia, wakosoaji na wanaharakati wa Haki na Demokrasia nchini
Mahakama inapopokea kuendesha kesi za kisiasa dhidi ya wapinzani ni ushahidi kuwa mahakama imekubaliana na Executives kubaka Katiba, Haki na...
Kuliko kufikiri mambo ya lissu na mdomo wake ambao ndiyo umemponza ni bora twende na wazo zuri la kibiashara tunajua tuna 🍅 paste!,lakini pia tunaweza kupata 🍅 powder tukaokoa nyanya nyingi aww ambazo huozea mashambani!.......
Hapa suala ni kuzingatia usafi tu,
Ongeza Ginger,garlic kidogo...
Unaposema utakwenda kuzuia uchaguzi Mkuu wa kikatiba unaoipatia Jamhuri yetu viongozi wake wakuu kama Rais, Mkuu wa nchi na Amirijeshi Mkuu, Makamu wa Rais, wabunge na madiwani usifanyike maana yake unadhamiria nchi ama iendelee kuongozwa na viongozi batili ambao muda wao kwa mujibu wa katiba...
Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba.
Hela zoooooote alizotoa Mo kwa Simba zimetumika tayari kumtangaza mo, makampuni yake na bidhaa zake sokoni. Matangazo...
Dj Choka kwa sasa anasumbuliwa na figo, hivyo anahitajika mara kwa mara kufanya dialysis kusudi aweze kuishi.
Kumchangia afanyiwe dialysis ni jambo zuri sana pia ni thawabu kwa Mwenyezi Mungu.
Ila shida ya huyu jamaa omba yake ni kama ana lazimisha , hana ile hekima ya kumuomba mtu na mara...
Nimejikuta na kutana na clip ya jembe maghufuli mtandaoni.
Na Hakika alikuwa ni mtu wa kipekee sana. It was once in a lifetime.
Watanzania sisi hakika tumerogwa.. Na huu ndo ukweli Mchungu. Yaani kipindi kile waliokuwa wanamuunga mkono magu walikuwa watu hali ya chini. Maana alifanya juhudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.