hata

Shunroku Hata (畑俊六, Hata Shunroku, July 26, 1879 – May 10, 1962) was a Field Marshal (Gensui) in the Imperial Japanese Army during World War II. He was the last surviving Japanese military officer with a marshal's rank. Hata was convicted of war crimes and sentenced to life imprisonment in 1948, but was paroled in 1954.

View More On Wikipedia.org
  1. life255

    JamiiForums Tanzania ID yangu ni mpya, lakini usinichukulie kama mgeni—nimekuwa humu kabla hata ya wewe kufungua uzi wako!

    Wakuu, kuna tabia moja nimekuwa nikiiona humu ambayo inachekesha kidogo, lakini pia inanifanya nijiulize. Unafungua ID mpya, halafu ghafla watu wanakuangalia kama umetua leo kutoka sayari nyingine! 😂 Ukiandika hoja yenye kueleweka wanaanza: «“Wewe ID mpya, unajua nini kuhusu JF?”» Sasa ngoja...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kwa ninavyomfahamu Nchimbi siyo chawa, hata kwa matamko aliyokuwa akitoa

    Akizungumza leo, Agosti 28, 2026, katika Mkutano wa Wadau wa Masuala ya Kidemokrasia uliofanyika kwenye makao makuu ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema aliyekuwa makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa hajawai kuwa chawa "Kwa sababu mimi nasema...
  3. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Watawala wa kiafrika noma sana. Yaani hata kama haukubaliki unalazimisha kwa kuteka

    There is no good politics in Africa👇
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mwanamke hata kujinunulia Vocha hawezi alafu analazimisha akushauri. Ujinga mtupu!

    MWANAMKE HATA KUJINUNULIA VOCHA HAWEZI ALAFU ANALAZIMISHA AKUSHAURI. UJINGA MTUPU! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nyie dada zangu. Nilishawaambia mfanye kazi. Baadhi yenu bado vichwa ngumu. Hamtaki kujishughulisha. Alafu ninyi ninyi ndio wakwanza kulalamika waume zenu hawawasikilizi...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Hapa tulipofikia hata kijana wa IJA anaweza kuandika hukumu ya haki-Reasoned Judgement

    Hii kesi ilipofikia hata kijana anayesoma Diploma ya sheria IJA (Institute of Judicial Administration, Lushoto anaweza kuandika hukumu ya KWELI. Reasoned judgement! Naishia hapa
  6. N

    JamiiForums Tanzania Aliyefanya jaribio la kukua, usimsamehe hata siku moja

    NB: Nina Akili Ndogo Sana Kama kuna mtu aliwahi kufanya jaribio lolote ambalo halihatarishi maisha yako, hakuna sida. Kama kuna mtu yeyote aliwahi Fanya jaribio la kutaka kukua (kukutoa uhai), usimsamehe hata siku moja. Akijaa katika mfumo, mpe zawadi yake, kama sio yeye personally, basi mpe...
  7. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kuwa Mkweli Kunaponza!, Nilidhani Unawa Cost Malofa na Makapuku Tuu, Kumbe Hata Vigogo Wakubwa kama Huyu!. Kosa Lake Nini?, Au ni Kuwa Mkweli Sana?!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali... Japo najua mtu ukiwa mkweli sana, sometimes ukweli unaweza kukuponza!, ila nilidhani ukweli una wacost malofa tuu na makapuku, sikujua kama unaweza kuwaponza wakubwa kama Balozi Polepole, Polepole alipoanza kuusema ukweli wake, mimi nilimshauri sana tuu...
  8. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Maulidi yangu Leo hata sijaifurahia 🥲🥲

    Maulidi yangu Leo hata sijaifurahia 🥲🥲
  9. F

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Samia ateue aidha Mchengerwa, Wanu siyo Tulia

    Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na kipofu. Kwa ufupi, hao hapo juu ndo napendekeza wateuliwe mmojawapo tumalizane na kianze kuumana kwenye...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Professor Elisante Gabriel!!! Hata sijui ni nani huyu.

    Wakuu, huyu ni professor wa nini na yupo wapi sasa? Nimesikia sehemu Rais anamtafuta mtu weak mno ampe Nafasi ya Nchimbi. Mtu asiyemsumbua na kuilenga 2030 na amepanga kwenda na mtu huyu. Nchi hii tutaona mengi wallahi
  11. idiomer

    JamiiForums Tanzania Kabla kesi hata haijasikilizwa... Mshtaki huwa anaamini mshtakiwa ana makosa

    Ni ngumu sana mshtaki kuamini mshtakiwa hana hatia !
  12. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania Watekaji watakufuata hata ukiwa nje ya nchi ukiwa mkosoaji.

    https://www.facebook.com/share/v/18PhWwfhPp/
  13. G

    JamiiForums Tanzania Hakuna muwekezaji afungue hospital ukanda wa Ubungo, Kimara, Mbezi yote basi hata Kibaha

    .
  14. Msanii

    JamiiForums Tanzania Siyo Samia pekee, hata mahakama imejipanga kushughulikia wakosoaji

    Tusikwepe kuiona picha kubwa inayochezwa na mihimili ya serikali haramu ya Tanzania dhidi ya raia, wakosoaji na wanaharakati wa Haki na Demokrasia nchini Mahakama inapopokea kuendesha kesi za kisiasa dhidi ya wapinzani ni ushahidi kuwa mahakama imekubaliana na Executives kubaka Katiba, Haki na...
  15. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Hakuna hata nyanya moja itatupwa 🍅 🍅 🍅!

    Kuliko kufikiri mambo ya lissu na mdomo wake ambao ndiyo umemponza ni bora twende na wazo zuri la kibiashara tunajua tuna 🍅 paste!,lakini pia tunaweza kupata 🍅 powder tukaokoa nyanya nyingi aww ambazo huozea mashambani!....... Hapa suala ni kuzingatia usafi tu, Ongeza Ginger,garlic kidogo...
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania Hata kama Jaji ningekuwa mimi Kavulata angekutwa na kesi ya kujibu

    Unaposema utakwenda kuzuia uchaguzi Mkuu wa kikatiba unaoipatia Jamhuri yetu viongozi wake wakuu kama Rais, Mkuu wa nchi na Amirijeshi Mkuu, Makamu wa Rais, wabunge na madiwani usifanyike maana yake unadhamiria nchi ama iendelee kuongozwa na viongozi batili ambao muda wao kwa mujibu wa katiba...
  17. kavulata

    JamiiForums Tanzania MO haidai Simba hata shilingi moja, inamdai yeye

    Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba. Hela zoooooote alizotoa Mo kwa Simba zimetumika tayari kumtangaza mo, makampuni yake na bidhaa zake sokoni. Matangazo...
  18. mwaibile

    JamiiForums Tanzania Hata saa mbovu ipo wakati husema ukweli

    Tuwe na siku njema
  19. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Dj Choka hana busara hata kidogo. Maradhi yake isiwe sababu ya kuwahukumu watu

    Dj Choka kwa sasa anasumbuliwa na figo, hivyo anahitajika mara kwa mara kufanya dialysis kusudi aweze kuishi. Kumchangia afanyiwe dialysis ni jambo zuri sana pia ni thawabu kwa Mwenyezi Mungu. Ila shida ya huyu jamaa omba yake ni kama ana lazimisha , hana ile hekima ya kumuomba mtu na mara...
  20. KanyeWest_Tz

    JamiiForums Tanzania Kila nikiona yanayo tokea sasa hivi, hata sishangai

    Nimejikuta na kutana na clip ya jembe maghufuli mtandaoni. Na Hakika alikuwa ni mtu wa kipekee sana. It was once in a lifetime. Watanzania sisi hakika tumerogwa.. Na huu ndo ukweli Mchungu. Yaani kipindi kile waliokuwa wanamuunga mkono magu walikuwa watu hali ya chini. Maana alifanya juhudi...
Back
Top Bottom