harakati

The National Revival Movement Party (Azerbaijani: Milli Dirçəliş Hərəkatı Partiyası) is a political party in Azerbaijan. The party's leader is Faraj Guliyev, who is well-known politician. At the 2010 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats. In the 2015 parliamentary elections, it won 1 out of 125 seats.

View More On Wikipedia.org
  1. Bullshit

    JamiiForums Tanzania Katika harakati za kusaidia jamii ya Afrika

    Habari za majukumu wanaJF Leo ningependa kutambulisha tovuti zangu Katika harakati za kusaidia jamii ya kiafrica kujiajiri au kutumia mitandao kujipatia kipato, niliamua kuanzisha tovuti mbali mbali ili kusaidia jamii ya africa kujiari, lengo langu kubwa ni watu kutumia mitandaon kujipatia...
  2. Maleven

    JamiiForums Tanzania Leo tangu asubuhi sijaingiza hata mia katika harakati zangu

    Mambo ya kutafuta bwana, leo ninetoka kapa katika harakati za kutafuta, kifupi sijaingiza hela yoyote leo.
  3. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania John Mnyika, ni bora muwe gerezani wote au Katiba Mpya?

    Siwezi kusema sana na wewe kama mtendaji mkuu wa Chama tikasikia kesi ya Ugaidi kama alivyo kwa mwenyekiti wako. Mwambie yupo ndani wewe hujashtakiwa na mtu. Wakati mnahangaika na mashtaka yake lazima muendelezo suala la madai ya Katiba Mpya. Naamini kusudi zima la kumkamata Mbowe ni kufifisha...
  4. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Nashtushwa sana na uwepo wa wananchi wanaobeza harakati za kudai haki

    Wasalaam wana JF Ushaidi wa mtu kuwa na akili ni pamoja na kujitambua na kujua haki zake. Haki ni kama wembe zinakata pande zote, inapopokonywa kwa mwenzako wewe una uhakika gani utaipata? Kila nikisoma uzi humu ndani naona wapo watu wanaofurahia kuona wananchi wenzao wakionewa na kunyimwa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Swali fikirishi: CHADEMA ni chama cha Siasa, Harakati au Haki za Binadamu?

    Jina lake kamili ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo na kifupi chake ni CHADEMA kifupi ndani ya ufupi wa jina ni CDM, lakini kuanzia ngazi ya msingi ya hiki chama hakihakisi kabisa jina la chama hichi , sasa maswali yanakuja mengi na kutaka kujua hivi hiki chama ni cha mlengo gani? Kuna wakati...
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Harakati za kudai uhuru wa Tanganyika

  7. technically

    JamiiForums Tanzania Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote

    Ndugu zangu nimekuwa na nyie hapa kwa zaidi ya miaka 7 sasa. Kulingana na mwenendo wa siasa za nchi hii naomba niachane kabisa na siasa, ni kujipa presha na usumbufu usio na faida. Mwanzo nilifikiri tatizo ni Marais wanaotawala hii nchi kumbe tatizo sio Marais wanaotawala hii nchi bali ni...
Back
Top Bottom