Molleli
Senior Member
- Aug 29, 2020
- 178
- 160
Wakuu nimeona nipite na hii sababu naona kama viongozi wetu sometimes wanakua wamekosa kazi za kufanya na kuanza kuyasakama mambo ambayo yapo toka enzi na hata wao pia ni wateja wazuri wa ao watu wanao wahita makahaba.
Kwanza kabisa biashara ya ukahaba kwa jiji la Dar ni biashara ya Muda mrefu na wengi wamejaribu kuivunja bila mafanikio sababu hata ao wanaujiuza ni watanzania wenzetu waliokosa ajira katika nyanja mbali mbali na wengine pia wana Familia zinazowategemea Sasa binti anaona kwenye ukahaba kunalipa na Familia inapata mahitaji anaamua kujiuza kwa njia mbali mbali ilimradi apate pesa ya kujikimu katika maisha.
Mimi ningependa kumshauri mkuu wa mkoa wa dar angekomalia swala lingine lakini sio hili la kutaka kukomesha biashara ya ukahaba kwa kweli ni vigumu Sana Wana Dar es Salam wanapitia changamoto nyingi zinazohitaji nguvu zaidi kutoka serikalini kuzidi hata hii ya makahaba.
Asanteni Sana na muhimu kupata kura zenu wakuu.
Kwanza kabisa biashara ya ukahaba kwa jiji la Dar ni biashara ya Muda mrefu na wengi wamejaribu kuivunja bila mafanikio sababu hata ao wanaujiuza ni watanzania wenzetu waliokosa ajira katika nyanja mbali mbali na wengine pia wana Familia zinazowategemea Sasa binti anaona kwenye ukahaba kunalipa na Familia inapata mahitaji anaamua kujiuza kwa njia mbali mbali ilimradi apate pesa ya kujikimu katika maisha.
Mimi ningependa kumshauri mkuu wa mkoa wa dar angekomalia swala lingine lakini sio hili la kutaka kukomesha biashara ya ukahaba kwa kweli ni vigumu Sana Wana Dar es Salam wanapitia changamoto nyingi zinazohitaji nguvu zaidi kutoka serikalini kuzidi hata hii ya makahaba.
Asanteni Sana na muhimu kupata kura zenu wakuu.