Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Siwezi kusema sana na wewe kama mtendaji mkuu wa Chama tikasikia kesi ya Ugaidi kama alivyo kwa mwenyekiti wako. Mwambie yupo ndani wewe hujashtakiwa na mtu. Wakati mnahangaika na mashtaka yake lazima muendelezo suala la madai ya Katiba Mpya.
Naamini kusudi zima la kumkamata Mbowe ni kufifisha juhudi za kudai Katiba Mpya, itakua jambo la ajabu endapo utakaa kimya na uhalisia unauona. Movement ya Katiba inatakiwa kua hot na dunia ijue.
Sasa una jambo la kuchagua, kukubali kuwa mpole au muwe jela wote wewe na mwenyekiti wako.
Naamini kusudi zima la kumkamata Mbowe ni kufifisha juhudi za kudai Katiba Mpya, itakua jambo la ajabu endapo utakaa kimya na uhalisia unauona. Movement ya Katiba inatakiwa kua hot na dunia ijue.
Sasa una jambo la kuchagua, kukubali kuwa mpole au muwe jela wote wewe na mwenyekiti wako.