Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo:
Brands: Dell au Hp
Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi
Ram: 4gb au zaidi
Hard drive disc: angalau 500gb
Screen size: 15" au zaidi
Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
Mimi ni kijana na hadi leo nimetazama nakala ya Cheti changu cha kuzaliwa nitatimiza miaka 31 mapema mwezi March lakini jambo la kushangaza mipango yangu inazunguka nainuka kwa muda kisha narudi tena kuanza moja maisha yangu hayaendi mbele.
Ipo hivi.
Nilihitimu Chuo cha Mafunzo ya ualimu kwa...
Biashara ni ni kazi nzuri sana lakini inahitaji akili nyingi sana ili uweze kuifanya kwa mafanikio ukafikia ukaipenda na kuona maisha yako bila biashara nikazi bure,yahitaji ujue kufikiri sana sana kabla hujaianza au kuingia. (Usikurupuke)
Leo nataka nitoe siri 1 ya mafanikio ya waliofanikiwa...
Ndugu waungwana, nakuja mbele yenu ili kuomba msaada wa haraka na nini nifanye
mapema mwaka 2014 niliajiriwa kama mwalimu katika halmashauri moja hapa nchini Tanzania.
Hata hivyo, kwa kupatwa na tatizo lililo nje ya uwezo wangu nilipata matatizo yaliyopelekea kuondolewa kwenye mfumo wa malipo...
Picha Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum Dkt. Dorothy Gwajima, amesema, masuala ya changamoto za Machinga ikiwemo kuhamahama, watazungumza na Mamlaka za Mikoa ili kuona namna Bora ya kutatua tatizo hilo, na hii itakuwa ni kwa nchi nzima.
Waziri...
Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni.
Sina Deni songesha Wala nipige tafu.
Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku.
By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na...
Let me cut the bullshit and hit the point.
Leo nimepokea simu kutoka nyumbani, Napewa taarifa kuwa mdogo wangu wakiume amepata matatizo anapoteza fahamu.
Tatizo limeanza siku chache zilizopita( yani ijumaa ya tarehe 04.02.2022). Kijana aliondoka asubuhi sana kwenda shule, mashuhuda wanasema...
Ofisi ipo Mbezi Goba.
AWE MA SIFA ZIFUATAZO
1. Awe anaweza kutype kwa spidi.
2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet
3. Awe ana uwezo wa kudesign.
4. Awe anaweza kuprint.
5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy.
6. Awe anaweza kuscan.
7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe.
8. Awe anaweza...
Habari za muda huu matumaini yangu nyote ni wazima wa afya,
SIFA ZA MWANAUME LIJALI NA MUOAJI
KAZI : Mini ni kijana Mchapakazi nimejiajili kwanye sekta Binafsi
UMRI : 30
MAKAZI : Dar es salaam
SIFA ZA MCHUMBA / MKE MTALAJIWA
Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine.
Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza...
Natumia tigo na voda. Naweza nikanunua GB tatu za Voda na zikakaa muda mrefu hadi unaridhika, hata siku tatu zinafika. Naingia Ista, YouTube nk. Lakini nikinunua GB 3 za tigo hata siku zinaweza zisimalize kwa matumizi hayohayo.
Na wewe umeexperience hii ya kifurushi cha Tigo kuisha haraka...
Hello!
Leo bila shaka mshahara kwa watumishi wa umma utaingizwa kwenye akaunti zao.
Sasa sisi wa CRDB mzigo unachelewa kidogo, basi nyie wa NMB mkiuona mnishtue haraka ili nivae suti yangu nikachukue nijipongeze.
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.
Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi...
Wadau nafasi ya Spika ndio hivyo iko wazi. Na kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba (iliyopo) mgombea nafasi ya uspika sharti apendekezwe na chama ni muafaka kwa vyama hususan vyenye wabunge kupendekeza majina ya wagombea kupitia vyama vyao.
Nawashauri ACT Wazalendo waitishe press chap watutaarifa jina...
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona
Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa'
Aidha amesema suala la...
Sihitaji kueleza stori ndeefu,mpira unachezwa hadharani.
Uwepo wake mpaka muda huu pengine kocha na uongozi wana maslahi naye.Ila kwa sisi mashabiki BIG NO.
Ni hivi,mashabiki kwa umoja wetu tunasema hili ni garasa. Najitahidi kuandika kwa staha.
Mkataba uvunjwe mara moja kwa maslahi ya sisi...
Wasalaam
Mimi ni muhitimu Bachelor wa fani ya IT. Nimeajiriwa na kampuni binafsi iliyopo Dar es Salaam since 2019. Nina mkataba wa kudumu.
Nahitaji mkopo wa kiasi cha Tshs 2,000,000 kuna project nahitaji kuifanyaa kwa uharaka. Nitawezaa kurudisha ndan ya muda wa miezi 7, kwa riba ya 20% ya...
kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako
details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity 2360cc na ni ya mwaka 2004
kwa picha karibu inbox au whatsapp us kwa namba hii 0737 881 888
NOTE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.