haraka

Dupuya haraka is a species of legume in the family Fabaceae. It is found only in Madagascar.

View More On Wikipedia.org
  1. Ndebile

    Laptop Used Inahitajika Haraka

    Nahitaji kompyuta mpakato yenye sifa zifuatazo: Brands: Dell au Hp Processor: Core i3 2.2Ghz au zaidi Ram: 4gb au zaidi Hard drive disc: angalau 500gb Screen size: 15" au zaidi Ukiwa kanda ya ziwa kwa maana ya Mwanza, Shinyanga, Geita itakuwa poa zaidi
  2. M

    Ushauri wa haraka na Dharura wadau

    Mimi ni kijana na hadi leo nimetazama nakala ya Cheti changu cha kuzaliwa nitatimiza miaka 31 mapema mwezi March lakini jambo la kushangaza mipango yangu inazunguka nainuka kwa muda kisha narudi tena kuanza moja maisha yangu hayaendi mbele. Ipo hivi. Nilihitimu Chuo cha Mafunzo ya ualimu kwa...
  3. CONTROLA

    Namna ya kujiajiri ukafanikiwa kwa haraka (kwa wenye mitaji)

    Biashara ni ni kazi nzuri sana lakini inahitaji akili nyingi sana ili uweze kuifanya kwa mafanikio ukafikia ukaipenda na kuona maisha yako bila biashara nikazi bure,yahitaji ujue kufikiri sana sana kabla hujaianza au kuingia. (Usikurupuke) Leo nataka nitoe siri 1 ya mafanikio ya waliofanikiwa...
  4. Mnyuke Jr

    Samsung S9 inahitajika haraka sana

    Offer yangu ni 280,000/= Chapu kwa haraka njoo tufanye biashara
  5. M

    Muda gani huchukua kukubaliwa kurudi kwenye utumishi wa umma?

    Ndugu waungwana, nakuja mbele yenu ili kuomba msaada wa haraka na nini nifanye mapema mwaka 2014 niliajiriwa kama mwalimu katika halmashauri moja hapa nchini Tanzania. Hata hivyo, kwa kupatwa na tatizo lililo nje ya uwezo wangu nilipata matatizo yaliyopelekea kuondolewa kwenye mfumo wa malipo...
  6. Suley2019

    Waziri Dkt. Gwajima: Machinga wanasaidia mahitaji ya haraka

    Picha Dkt. Dorothy Gwajima Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maaalum Dkt. Dorothy Gwajima, amesema, masuala ya changamoto za Machinga ikiwemo kuhamahama, watazungumza na Mamlaka za Mikoa ili kuona namna Bora ya kutatua tatizo hilo, na hii itakuwa ni kwa nchi nzima. Waziri...
  7. LIKUD

    Vodacom hiki mnachokifanya kwa wateja wenu ni uhuni wa hali ya juu sana. Jirekebisheni haraka iwezekanavyo

    Kwa wiki nzima Sasa Voda wamekuwa wakinifanyia Huu uhuni. Sina Deni songesha Wala nipige tafu. Nimeweka Bando la sh elfu 2 Na Mia tano ili nijiunge Na kifurushi cha internet cha siku. By the time namaliza kujiunga naambiwa salio halitoshi. Natazama salio nakuta lipon2400 au 2300 ikiwa Na...
  8. Saa 7 mchana

    Msaada wa haraka kwenye tatizo hili la kiafya/ Ulozi

    Let me cut the bullshit and hit the point. Leo nimepokea simu kutoka nyumbani, Napewa taarifa kuwa mdogo wangu wakiume amepata matatizo anapoteza fahamu. Tatizo limeanza siku chache zilizopita( yani ijumaa ya tarehe 04.02.2022). Kijana aliondoka asubuhi sana kwenda shule, mashuhuda wanasema...
  9. Ferruccio Lamborghini

    Mdada wa Stationery anahitajika haraka

    Ofisi ipo Mbezi Goba. AWE MA SIFA ZIFUATAZO 1. Awe anaweza kutype kwa spidi. 2. Awe ana uwezo wa kutumia Inteernet 3. Awe ana uwezo wa kudesign. 4. Awe anaweza kuprint. 5. Awe anaweza kutumia mashine ya photocopy. 6. Awe anaweza kuscan. 7. Awe anaweza kutumia software ya Adobe. 8. Awe anaweza...
  10. X

    Mchumba wa ( kike ) anahitajika ndoa ni haraka iwezekanavyo

    Habari za muda huu matumaini yangu nyote ni wazima wa afya, SIFA ZA MWANAUME LIJALI NA MUOAJI KAZI : Mini ni kijana Mchapakazi nimejiajili kwanye sekta Binafsi UMRI : 30 MAKAZI : Dar es salaam SIFA ZA MCHUMBA / MKE MTALAJIWA
  11. Planet FSD

    January Makamba ni tatizo linalohitaji kushughulikiwa haraka sana

    Wakuu sijui huyu waziri ana shida gani. Alikuwa very promising kule wizara ya mazingira. Lakini tangu aletwe huku wizara ya nishati imekua ni kituko baada ya kingine. Kulikuwa hakuna tatizo la kukatika umeme kipindi chote cha magufuli. Ila baada ya tu ya January kuletwa huku umeme ukaanza...
  12. Lycaon pictus

    Vifurushi vya Tigo vinaisha haraka kuliko vya voda

    Natumia tigo na voda. Naweza nikanunua GB tatu za Voda na zikakaa muda mrefu hadi unaridhika, hata siku tatu zinafika. Naingia Ista, YouTube nk. Lakini nikinunua GB 3 za tigo hata siku zinaweza zisimalize kwa matumizi hayohayo. Na wewe umeexperience hii ya kifurushi cha Tigo kuisha haraka...
  13. Samia atosha tukutane2030

    Ukitoka mshahara tushituane haraka. Sio kwa Januari hii

    Hello! Leo bila shaka mshahara kwa watumishi wa umma utaingizwa kwenye akaunti zao. Sasa sisi wa CRDB mzigo unachelewa kidogo, basi nyie wa NMB mkiuona mnishtue haraka ili nivae suti yangu nikachukue nijipongeze.
  14. GENTAMYCINE

    Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

    "Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako. Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi...
  15. Kipunga

    Ushauri wa haraka unahitajika

    Unamshauri nini jamaa yetu
  16. dudus

    ACT Wazalendo tumeni haraka jina la Mgombea Uspika kutoka chama chenu

    Wadau nafasi ya Spika ndio hivyo iko wazi. Na kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba (iliyopo) mgombea nafasi ya uspika sharti apendekezwe na chama ni muafaka kwa vyama hususan vyenye wabunge kupendekeza majina ya wagombea kupitia vyama vyao. Nawashauri ACT Wazalendo waitishe press chap watutaarifa jina...
  17. W

    Askofu Gwajima: Spika Ndugai ni boss wangu lakini namshangaa sana, ajiuzulu haraka sana

    Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa' Aidha amesema suala la...
  18. Kipenzi Changu

    Mkataba wa Bocco uvunjwe haraka kwa maslahi ya sisi mashabiki

    Sihitaji kueleza stori ndeefu,mpira unachezwa hadharani. Uwepo wake mpaka muda huu pengine kocha na uongozi wana maslahi naye.Ila kwa sisi mashabiki BIG NO. Ni hivi,mashabiki kwa umoja wetu tunasema hili ni garasa. Najitahidi kuandika kwa staha. Mkataba uvunjwe mara moja kwa maslahi ya sisi...
  19. JGimbuya

    Nahitaji mkopo wa haraka Tshs. 2,000,000

    Wasalaam Mimi ni muhitimu Bachelor wa fani ya IT. Nimeajiriwa na kampuni binafsi iliyopo Dar es Salaam since 2019. Nina mkataba wa kudumu. Nahitaji mkopo wa kiasi cha Tshs 2,000,000 kuna project nahitaji kuifanyaa kwa uharaka. Nitawezaa kurudisha ndan ya muda wa miezi 7, kwa riba ya 20% ya...
  20. jahanbaksh

    Car4Sale Harrier kwa 5000 USD Gari ipo bandarini sasa hivi

    kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity 2360cc na ni ya mwaka 2004 kwa picha karibu inbox au whatsapp us kwa namba hii 0737 881 888 NOTE...
Back
Top Bottom