gwajima

Dorothy Onesphoro Gwajima also known Gwajima Dorothy is a Tanzanian CCM politician and a nominated cabinet member since 2020. She was appointed by President John Magufuli into the Magufuli cabinet and still presenlty serves as a Minister of Health, Community Development, Gender, Elders and Children under Suluhu Cabinet.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    JamiiForums Tanzania Tulizani ni binadamu wenzetu kumbe baadhi yao ni wanyama kiasi hiki? Sakata la Gwajima limefunua roho mbaya za watu

    Sikutarajia kabisa kuona Mwanamke asimame kushangilia utekaji na mauaji! Mwanamke halisi anaejua uchungu wa mtoto hawezi kufurahi kuona watu wakiuwawa! Hata kama kuna makosa ndiyo maana kila nchi ina sheria na mahakama! Sasa unapoona mwanamke anasimama bungeni anasema ALIYETEKWA AKOME AKOME...
  2. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Gwajima ameweka bendera ya Israel Kanisani kwake

    Sasa Ile bendera ya Israel inaonyesha nini kuhusu imani yake Gwajima.? Waisraeli anadhani wana Dini gani? Askofu Gwajima anataka aonekane kwamba yeye peke yake ndiye mtetezi wa wanyonge. Hao Waisraeli ndio wanaishambulia Gaza sasa hivi? Nani anapenda kuona Wagaza wanashambuliwa namna ile...
  3. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kiukweli Gwajima katuvuruga sana. Tunawaza na kuwazua

    Huyu jamaa halafu anajiamini nini? Haogopi hata. Yupo free na wala hana woga. Akiongea wanatumwa watu na kujituma kumjibu yeye ana wacheck tu halafu anapita kibabe mbele yao.
  4. Mzee wa Code

    JamiiForums Tanzania GWAJIMA atimba mjengoni anawasikiliza

    Mbunge wa Kawa Josepht Gwajima akishiliki kikao cha Bunge leo Jioni Jijini Dodoma, wabunge kimya wameufyata awamtaji wamekimbia kwenye neno maadili
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua Watanzania ni wajinga,angalia jinsi wanavyomjibu Gwajima

    Ukisikiliza wote wanaomjibu Gwajima,hawajibu yale aliyoyauliza muhusika,lakini wanakimbilia kumuatack muhusika,wamesahau hiki kizazi cha sasa siyo wajinga,bali wajinga ni wale wanaomjibu Gwajima kwa kutumia ujinga wao na ndiyo kundi kubwa linalowakilishwa na wana CCM kuanzia Viongozi,wanafunzi...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwani kosa la Gwajima lipi? Naombeni mnieleweshe

    Yaani kwamba amekosea kuongea ukweli? au alitakiwa kukaa kimya aache tu watu waendelee kutekwa na kushambuliwa?
  7. Nehemia Kilave

    JamiiForums Tanzania Ukitoa Askofu Gwajima ni wanasiasa au watu wapi maarufu hawajabadilika kimitazamo tangu Hayati Magufuli mpaka sasa ?

    Habari wanaJF , Ni siku nyingine tena Mwenyenzi Mungu anatupa nafasi ya kuendelea kupambana na katafuta Maisha . Binafsi namuona Askofu Gwajima ni yule yule alichoamini jana ndicho anachoamini leo . https://youtu.be/8meTag4tsR4?si=_cIUS_w1pGQCI6Z9...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Polisi Songwe: Mauaji ya Katekista wa Kanisa Katoliki yametokana na wivu wa mapenzi, alituhumiwa kutembea na mke wa mtu

    Jeshi la Polisi limesema linamshikilia Mtu mmoja kwa tuhuma za mauaji ya Katekista wa Kanisa Katoliki, Vincent Mwenda ambaye alifariki Mei 10, 2025 kwa kushambuliwa na kitu chenye ncha kali. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa, Augustino Senga amesema wanamshikilia Lameck Mwamlima (29), Fundi...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Dkt. Gwajima: Vitendo vya Ubakaji na Ulawiti vimepungua kwa asilimia 6.3 na 19 mwaka 2024

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia nchini vimeanza kupungua, hususan matukio ya ubakaji na ulawiti, kufuatia juhudi mbalimbali za Serikali na wadau kuelimisha jamii. Akiwasilisha makadirio ya...
  10. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 KUMBUKIZI: Gwajima awajibu Machawa: Silaha ya Wajinga ni Kujipendekeza

    Askofu Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe; "Silaha ya wajinga ni kujipendekeza, mtu asiyejua kitu silaha yake kubwa ni kujipendekeza na kuwasemea wengine mambo mabaya. Vijinga vinajua kuji-position. Mwenye uwezo analindwa na uwezo wake haitaji kujipendekeza kwasababu uwezo wake unambeba"
  11. Baba jayaron

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Askofu Gwajima kufutwa uanachama, kugombea Urais...

    Good morning wadanganyika, Ni mwendelezo ule ule kutoka kwenye chumba kidogo cha mikutano ya siriiiiiií Kali mnoooo. Atalazimishwa kuomba msamaha na kufuta kauli, atakaza fuvu, atakaza fuvu shujaa huyu wa wadanganyika atapokelewa kishujaaa kama mgombea Urais jasiri mwenyekukijua vizuri chama...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa la Gwajima ni lipi?

    Wakati alipokuwa na kashfa ya ngono kipindi kile.. ccm walisimama naye kumtetea mpaka wakapovuka... Yalitokea mazonge yake mengi tu lakini walifunika kombe mwana haramu akapita... Nyakati zikapita.. Watu wameumbiwa kusahau maisha yakasonga.. Yalaendelea kuwatokea Watanganyika mengi mabovu ya...
  13. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya awalia: Gwajima 3, Chawa 0

    Mpaka sasa Gwajima anaongoza kwa magoli 3. Mashambulizi toka ile timu nyingine ni makali lakini kutokana na kuwa katika hali ya panick wamekuwa wakiupiga mpira nje mara kwa mara! Nini kitajiri baada ya dakika tisini! Macho na masikio yetu uwanjani!!!
  14. technically

    JamiiForums Tanzania Je Gwajima katumwa kuzima ajenda ya NO REFORM NO ELECTION?

    Ukiangalia hoja za Gwajima kweli Zina mashiko lakini kwa sisi wenye jicho la tatu tunajuwa ametumwa kuzima ajenda ya no reform no Election. Nikikumbuka jinsi Jk alivyomtumia kumleta Lowassa Chadema usishangae akawa anatumika pia kutaka kuzima ajenda ya no reform no Election. Kwanini anavitetea...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Gwajima ni Ndesamburo mpya hazuiliki

    Marehemu Ndesamburo alikuwa hazuiliki kwasababu alikuwa tajiri na pesa yake haikutegemea serikali alikuwa na viwanda muhimu na biashara za utalii pesa yake ilikuwa ndefu huwezi kuizuia na nyingine inabaki huko huko wanakotoka wazungu wageni wake Gwajima anapesa kwanza za kanisa na misaada...
  16. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bunge lajipanga kumuita Gwajima kwenye kamati kujieleza!

    Kuna tetesi zimeanza kuzagaa kutoka viunga vya bunge jijini Dodoma kuhusu baadhi ya wabunge wakinong'ona kuwa, vifungu vitafutwe kwa lazima ili kulazimisha Gwajima kuitwa kwenye kamati ya bunge (kinga na haki) kama njia ya haraka haraka kumtisha au kumpiga break Gwajima na hapo hapo kumtia moyo...
  17. chiembe

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jerry Murro: Gwajima njoo jimbo la Kawe ueleze wananchi boti za uvuvi ulizoahidi Kawe ziko wapi, amtaka aachane na kuandaa michezo ya rede jimboni

    Wapiga kura wameanza kuitisha majalada yao. Gwajima aliahidi kuwapeleka Birmingham wakazi wote wa Kawe ambao kwa idadi ni malaki. Mpaka leo hajawapa hata passport. Akaahidi boti za uvuvi kwa kila mtu, bahari iko palee, haina hata boti moja. Aliahidi kuwapeleka vijana Japan, mpaka leo hakuna...
  18. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Kesho nitatoa mfano wa jinsi gani ambavyo ingepaswa Gwajima ajibiwe

    Nimeona watu wakijibu hoja za Gwajima kwa mihemuko bila kuja na hoja kinzani ukilinganisha na Gwaji boy. Nahitaji maandalizi na sio kukurupuka, jamaa amepiga kwenye mshono, tukubali tusikubali.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amepoteza kanda ya ziwa- Gwajima apigilia msumari

    Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa. 1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa. Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu...
  20. Determinantor

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Unafiki wa media za Bongo kuhusu Gwajima, zimejikita kwa Jerry utafikiri hawakuona ya Gwajima

    Baada ya Gwajima kuwapiga za chembe, hakuna media yoyote ukiacha "THE CHANZO" walioripoti Ile issue but baada ya empty headed baboons kuanza kujibu, naona kila media imeripoti "majibu" kwa Gwajima. Swali, media zinaripoti "majibu" based on Which story?? KAZI ipo
Back
Top Bottom