Wanasimbaaa,
Kwa ufupi Yanga tumewashindwa! Hata hizi danki danki za majuzi ni uoga wetu tu.
Fact ni tuache janja janja GSM atatufanya anachotaka hadi tupate uwekezaji serious ili tujenge timu ya maana.
Tuache maneno mengi, Yanga hawakujenga timu kwa kuleta watoto, walileta watu wa kuwapa...