group

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Recovery Agent Job at Eezy Group – August 2025

    Job Overview Eezy Group is currently seeking a qualified Recovery Agent to join our team. This role involves asset recovery and debt collection, ensuring targets are met, and adhering to company processes and procedures. Duties and Responsibilities Recover assets assigned and collect debts as...
  2. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Why TTCL Should Be Transformed to Tanzania Telecoms Group

    Tanzania stands on the cusp of a digital revolution, with a strategic vision to become a major player in the regional and global digital economy. At the core of this transformation lies the Tanzania Telecommunications Corporation (TTCL), our nation's foundational telecommunications company. To...
  3. D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Hospitali ya JKCI-Dar Group mnaihujumu Serikali kwa Kukiuka makubaliano ya Serikali na wafanyakazi mliowakuta

    Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa Taasisi ya moyo JKCI , pia ilichukua rasilimali zote ikiwemo majengo, vifaa tiba , pesa na...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Polepole, POWER is invariably personal; there is no group power! Ilibidi umtaje anayeamrisha/anayebariki UHUNI kwenye CCM

    HAKUNA GROUP POWER , hasa kwenye nchi zetu hizi za kishenzi! CCM inapokuwa kweye vikao, kuna mtu yuko juu. Kila member humo, particularly vinavyoendeshwa na Samia, kila mshiriki anaangali mdomo wa rais unacheza vipi, naye anafuatisha humo humo. Au anamtuma mtu aweke agenda inayomhusu na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Access Group: Rais Samia mwanamke mwenye nguvu zaidi Africa

    RAIS SAMIA ATUNUKIWA TUZO YA WANAWAKE WENYE NGUVU AFRIKA Rais Samia apokea tuzo maalumu ya wanawake 100 wenye nguvu kutoka kwa Access Bank Group. Tuzo hiyo imewasilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Access Tanzania Protase Ishengoma ikulu, Dar es Salaam. Tuzo hiyo imetambua mchango wa mageuzi ya...
  6. Uvimo Civil Group

    JamiiForums Tanzania Uvimo Civil Group Builders

    Je, unsatafuta team ya ufundi kukamilisha furaha yako kupitia nyumba yako? Uvimo Civil Group sasa ni suruhisho. Pia tunapatikana katika mitamdao ya kijamii, fatilia kazi zetu Kisha bofy mara moja tu kwenye 0692806544 ili asiliana na timu yetu ya ushindi na ufanisi.
  7. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Mali Vs Tanzania | 2025 Women’s Africa Cup of Nations | Group C | 07.07.2025

    Wakuu hamjambo, Usiku wa leo Saa 4:00 kwa masaa ya Afrika Mashariki, Timu yetu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) itashuka dimbani dhidi ya Mali katika mchezo wa AFCON ya Wanawake huko nchini Morocco. Huo utakuwa mchezo wetu wa kwanza katika kundi C ambalo pia kuna timu za South Africa pamoja...
  8. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from King Jada Hotel Morocco DSM: Kikao Kazi Shirikana Jukwaa la Wahariri, TEF

    Wanabodi Niko hapa King Jada Hotel Morocco DSM: Kikao Kazi Kati ya Shirika la Nyumba la Taifa, NHC na Jukwaa la Wahariri, TEF. Tuanze na wasilisho WASILISHO KUHUSU UTENDAJI WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA KWA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI Hamad Abdallah Hamad Mkurugenzi Mkuu Shirika la Nyumba la...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Site HR Officer at CSI Energy Group June 2025

    If you’re passionate about people, thrive in dynamic environments, and value structure and support, we want you on our team. As a Site HR Officer, you’ll be the key connector between the field and our people-first values, managing everything from onboarding and payroll to compliance and...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Sales and Marketing Personnel (25 Positions) at Beauty Group Tanzania May 2025

    Sales and Marketing Personnel (25 Positions) at Beauty Group Tanzania Background Angela Peace and Love Company Limited (Beauty Group Tanzania) is a company registered under the laws of Tanzania, specializing in selling used clothes, shoes, bags, new shoes, and towels. The company headquarters...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kuna siri gani ya Introverts wengi kutokea Blood Group O

    Kwanza kabisa Intorverts wana tabia zao za kipekee, wasichanganywe na wakimya au wapole, hayo ni makundi mengine. Introvert anafurahi zaidi akiwa peke yake ila haimaanishi hawezi kujimix. Introvert hapendi sana kujulikana, n.k. anaweza kuwa tajiri ila anavaa simple, simu ya kawaida, n.k...
  12. Mwakawasila

    JamiiForums Tanzania Jifunze uwekezaji kwenye Group hili la HISA bure kabisa

    https://chat.whatsapp.com/EESLRXNogcqAmV06QeCNBE Humu utajifunza Namna ya kuifanya pesa ikuletee pesa zaidi Kwenye HISA, UTTAMIS, HATIFUNGANI, Real estate nk Bonyeza link uje whatsap Au nidm Kwa 255744980339 Mwakawasila Financial consultant
  13. dr namugari

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje nileft group bila watu kugundua kuwa nimeleft?

    Kuna ka group ka darasa la saba nimewekwa hata sielewi lengo ni ipi! Sasa wakati mwingine inakuwa active sana lakini inaweza kata miezi kadha bila kuwa active. Sasa naona kero sana halafu itoshe kusema mimi sipendi mambo chat chat na ishu ambazo ni petty ishu ambako pia ndio group hilo...
  14. Maganjila tz

    JamiiForums Tanzania Najenga mashimo ya choo ya kisasa yasio jaa walakutoa halufu kali Pia tunatoa ushaui

  15. RALO

    JamiiForums Tanzania Je hili group la Telegram la Aliexpress 605 si la kitapeli?

    Mambo vipi wadau? Heri ya pasaka pili! Kuna group moja la telegram lenye hilo jina la Aliexpress 605 ambalo linatoa kazi za online hasa kuhusu bidhaa zinazopostiwa kwenye website au app ya Aliexpress ambapo kwa maelezo yao ukikamilisha kazi fulani kama labda kulike bidhaa fulani na kuiweka...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Electrical Engineer at Derm Group (T) Ltd April 2025

    Job Description Project location : Dar es salaam Nature of project : Substation Responsibilities Design and develop electrical substation layouts and specifications. Perform engineering calculations for equipment sizing and system performance. Oversee construction, installation, and...
  17. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania 𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐚𝐩𝐩 𝐥𝐚 𝐌𝐨𝐬𝐡𝐢 𝐲𝐞𝐭𝐮: Kuna Mjinga mmoja atishia kuwafuta wanachama wenzake kwa ujinga wake kwenye group!

    𝐊𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐌𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐃𝐢𝐠𝐢𝐭𝐚𝐥 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐚 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐳𝐢𝐬𝐢𝐳𝐨 𝐳𝐢𝐧𝐠𝐚𝐭𝐢𝐚 𝐤𝐚𝐧𝐮𝐧𝐢 𝐳𝐚 𝐮𝐚𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐡𝐨𝐣𝐢 𝐩𝐚𝐧𝐝𝐞 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐳𝐢𝐧𝐚𝐳𝐨𝐡𝐮𝐬𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢, 𝐀𝐧𝐚𝐩𝐞𝐰𝐚 𝐚𝐝𝐡𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐮𝐩𝐨𝐬𝐭 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐲𝐨𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐠𝐫𝐨𝐮𝐩 𝐥𝐚 𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐚𝐩𝐩 𝐥𝐚 𝐌𝐨𝐬𝐡𝐢 𝐲𝐞𝐭𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐩𝐢𝐧𝐝𝐢 𝐜𝐡𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 90 𝐤𝐮𝐚𝐧𝐳𝐢𝐚 𝐥𝐞𝐨 27/3/2025 - 26/6/2025, 𝐡𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐲𝐞𝐲𝐨𝐭𝐞 𝐚𝐭𝐚𝐤𝐚𝐲𝐞 𝐭𝐮𝐦𝐚...
  18. Madwari Madwari

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa Oya group (kampuni baba ya oya microfinance Tanzania) ajinunulia buggati na ndege

    Richard Nii-Armah Quaye (Raia wa Ghana)mmiliki wa Bills Micro Credit au Quick Credit ambayo ni kampuni Baba ya OYA Microfinance amejinunulia private Jet na Buggati. ☝️ ☝️ ☝️ Akipokea ndege yake nchini Ghana. ☝️☝️☝️Post ikionesha maandalizi ya Bugatti yake kubebwa na ndege mpaka Ghana...
  19. O

    JamiiForums Tanzania APPLICATION YA AVN NUMBER , LOSS REPORT, HELSB NA CHUO. RESEARCH REPORT CORRECTION AND WRITTING, KUJISAJILI KWA AJILI YA TIN NUMBER JOIN WATSP GROUP:

    https://chat.whatsapp.com/KA3AX3bEdT55pjq7Ws2yCL
  20. T

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kumuondoa Admin aliyetengeneza Group la whatsapp,

    Wakuu kuna mtu amehack group langu la whatsapp la muhimu sana. Naombeni kufahamu inawezekanaje hii, mtu umemuamini na kumpa uadmin halafu unaamka unakuta "You're no longer an admin" wakati wewe ndiye whatsapp group creator. Naombeni kufahamishwa wajuzi wa mambo Teknolojia ni Yetu sote
Back
Top Bottom