A girl is a young female human, usually a child or an adolescent. When she becomes an adult, she is described as a woman. The term girl may also be used to mean a young woman, and is sometimes used as a synonym for daughter. Girl may also be a term of endearment used by an adult, usually a woman, to designate adult female friends.
The treatment and status of girls in any society is usually closely related to the status of women in that culture. In cultures where women have a low societal position, girls may be unwanted by their parents, and the state may invest less in services for girls. Girls' upbringing ranges from being relatively the same as that of boys to complete sex segregation and completely different gender roles.
Meneja Mahusiano ya Nje wa Yas, Bi. Rukia Mtingwa (wa tatu kushoto), akikabidhi cheti cha kuhitimu programu ya Jovia kwa Bi. Martha Chomola. Programu hiyo inayoratibiwa na Taasisi ya Apps and Girls kwa udhamini wa Yas, inatoa mafunzo kwa mabinti katika nyanja ya teknolojia. Hafla hiyo imefanyika...
Uongozi wa Shule na Wanafunzi wa Sekondari ya Wasichana ya Nachingwea iliyopo Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wamemshukuru Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa kwa kuwapa kiasi cha Shilingi Milioni 4 kwa ajili ya futari
Soma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa Milioni 4 kwa wanafunzi wa...
Sisi Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO)Tulipata nafasi ya kutembelea Iringa Girls, shule ya mjumuisho inayowakaribisha Wanafunzi wa kawaida na wale wenye mahitaji maalum. Ni jambo la kuvutia kuona jinsi shule hii inavyokuza usawa na mshikamano kupitia elimu.
Wakati wa kutoa...
In 2022, Fendi (pseudo name) a young girl from Kigoma faced a life-altering challenge. After sitting for her Mock exams, a practice test before the form IV national exams, she discovered she was pregnant. The news led to her dismissal from school, and she returned home. Soon after, she suffered...
Ni shule ya wasichana iliyo katika halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara.Inamilikiwa na kanisa la Anglican dayosisi ya Mara.
Taaluma katika shule hii ni ya wastani sana ukilinganisha na hadhi yenyewe ya "u private".
Kwa kifupi inazidiwa kiwango cha Taaluma na shule nyingi tu kata zilizo...
Binafsi Mimi ni kati ya wadau wa elimu katika Taifa langu la Tanzania.Napenda kutumia wasaa huu kuushauri uongozi wa juu wa kanisa la Anglikana ngazi ya Taifa kuhusu Shule ya wasichana ya Bunda girls ambayo wao ni wamiliki wakuu.
1. Eneo la Taaluma
Katika eneo hili Taaluma ya Shule bado...
Karibuni humu kutuma picha Yako yoyote ya kuvutia, kufarahisha, pia hata kupunguza msongo wa mawazo. Mfano ukiwa na stress au msongo wa mawazo unaweza kutembea sehemu yenye miti au maua au misitu na mito kwa ajili ya kupata hewa Safi na Kufanya meditation (fikra kwa kuvuta hisia Fulani). Hata...
MWAKIBETE AONGOZA HARAMBEE NDOGO BUSOKELO GIRLS SEC, ATOA MILIONI 15
Mbunge wa Jimbo la Busokelo Atupele Fredy Mwakibete ameongoza harambee ndogo ya wazazi na walimu katika mahafali ya Tano ya shule ya Sekondari ya Wasichana Busokelo.
Akiwa kama Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Kidato cha Nne...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kiasi cha Sh30 milioni baada ya kutwaa ubingwa wa Unaf huko Tunisia wiki iliyopita.
Fedha hizo zimekabidhiwa Septemba 11, 2024 na Waziri wa Utamaduni...
Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika shamba la shule na mbaya zaidi watu wale wameanza kutembelea nyumba za waalimu ili kuiba chchote...
Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la
Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga
Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu...
Position Overview
The social mobilizer is responsible for the implementation, coordination development and reporting of the Girls’ Education program in the respective school (s). She would serve as the first point of contact for the school, parents and scholars. This position will be field...
Wakuu.
Kiukweli hapo nyuma nilikuwa si mtu wa mademu kabisa.
Nimesoma o level na a level fresh , nilipomaliza six , nilijitahidi kutongoza girls angalau namimi nichakate mbususu bila mafanikio.
Sasa nimeenda chuo the same girls na wengine wengi nimejaribu kuwatongoza hawakatai,
Ninawaza...
Habari wakulu.
Bila shaka wengi wetu tunatamani watoto.wetu wasome shule sahihi, salama na hatimaye ahitimu katika ubora.
Ni kawaida kuona kuwa mwanenu amehitimu shule zake na akaamua kuingia kitaani kuhulsle hata kama hatapata best job ila apate kaelimu kamtoe tongo.
Ka uzungu akajue, vijana...
Position: Project And Community Engagement Officer
Reporting to: Executive Director
Salary Range: Negotiable
Location: Dar es Salaam
Travel: Occasionally
The Position:
The Programs Officer will support the program team to manage relationships and activities with partners and members, support...
Position: Programme Specialist, Ending Violence Against Women and Girls (EVAWG)
Location: Zanzibar, TANZANIA
Type of Contract: FTA Local
Post Level: NO-D
Language Required: Englinsh
Duration of Initial Contract: One year
Expected Duration of Assignment: One year
Duties and Responsibilities...
Kuna mtu mwenye ufahamu na hii shule ? Inaonekana ni mpya na mwanangu amepangiwa hapo form five PCM, chakushangaza wenyeji wa manispaa ya shinyanga mjini hawaijui, kama kuna Mwenye uelewa wa sehemu ilipo..na taarifa zizote zitakazosaidia kujua tunwamishe mapema au Laa. Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.