girls

A girl is a young female human, usually a child or an adolescent. When she becomes an adult, she is described as a woman. The term girl may also be used to mean a young woman, and is sometimes used as a synonym for daughter. Girl may also be a term of endearment used by an adult, usually a woman, to designate adult female friends.
The treatment and status of girls in any society is usually closely related to the status of women in that culture. In cultures where women have a low societal position, girls may be unwanted by their parents, and the state may invest less in services for girls. Girls' upbringing ranges from being relatively the same as that of boys to complete sex segregation and completely different gender roles.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Apps and Girls na Yas Tanzania Waadhimisha Mahafali ya Wahitimu wa Jovia 2025

    Meneja Mahusiano ya Nje wa Yas, Bi. Rukia Mtingwa (wa tatu kushoto), akikabidhi cheti cha kuhitimu programu ya Jovia kwa Bi. Martha Chomola. Programu hiyo inayoratibiwa na Taasisi ya Apps and Girls kwa udhamini wa Yas, inatoa mafunzo kwa mabinti katika nyanja ya teknolojia. Hafla hiyo imefanyika...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Nachingwea Girls wamshukuru Waziri Mkuu kwa fedha ya futari

    Uongozi wa Shule na Wanafunzi wa Sekondari ya Wasichana ya Nachingwea iliyopo Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wamemshukuru Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa kwa kuwapa kiasi cha Shilingi Milioni 4 kwa ajili ya futari Soma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa Milioni 4 kwa wanafunzi wa...
  3. JanguKamaJangu

    Taasisi ya ZAMHSO yatembelea Iringa Girls, yaelezea kuguswa na ushirikiano wanaopata wenye mahitaji maalum

    Sisi Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO)Tulipata nafasi ya kutembelea Iringa Girls, shule ya mjumuisho inayowakaribisha Wanafunzi wa kawaida na wale wenye mahitaji maalum. Ni jambo la kuvutia kuona jinsi shule hii inavyokuza usawa na mshikamano kupitia elimu. Wakati wa kutoa...
  4. Amani Girls Organization

    A Safe Haven for Dreams: A story of Fendi from Kigoma

    In 2022, Fendi (pseudo name) a young girl from Kigoma faced a life-altering challenge. After sitting for her Mock exams, a practice test before the form IV national exams, she discovered she was pregnant. The news led to her dismissal from school, and she returned home. Soon after, she suffered...
  5. The Philadelphia finest

    Shule ya Sekonari ACT Bunda Girls inavyopoteza muelekeo wake

    Ni shule ya wasichana iliyo katika halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara.Inamilikiwa na kanisa la Anglican dayosisi ya Mara. Taaluma katika shule hii ni ya wastani sana ukilinganisha na hadhi yenyewe ya "u private". Kwa kifupi inazidiwa kiwango cha Taaluma na shule nyingi tu kata zilizo...
  6. The Philadelphia finest

    Kanisa la Anglican Church of Tanzania(ACT) nina ushauri kuhusu Shule yenu ya Wasichana Bunda Girls iliyopo wilayani Bunda

    Binafsi Mimi ni kati ya wadau wa elimu katika Taifa langu la Tanzania.Napenda kutumia wasaa huu kuushauri uongozi wa juu wa kanisa la Anglikana ngazi ya Taifa kuhusu Shule ya wasichana ya Bunda girls ambayo wao ni wamiliki wakuu. 1. Eneo la Taaluma Katika eneo hili Taaluma ya Shule bado...
  7. proton pump

    Uzi wa kutuma picha za kuvutia, kuchekesha, na kutoa stress pia ili wenye stress ziishe

    Karibuni humu kutuma picha Yako yoyote ya kuvutia, kufarahisha, pia hata kupunguza msongo wa mawazo. Mfano ukiwa na stress au msongo wa mawazo unaweza kutembea sehemu yenye miti au maua au misitu na mito kwa ajili ya kupata hewa Safi na Kufanya meditation (fikra kwa kuvuta hisia Fulani). Hata...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mwakibete Aongoza Harambee Ndogo Busokelo Girls Sekondari, Atoa Milioni 15

    MWAKIBETE AONGOZA HARAMBEE NDOGO BUSOKELO GIRLS SEC, ATOA MILIONI 15 Mbunge wa Jimbo la Busokelo Atupele Fredy Mwakibete ameongoza harambee ndogo ya wazazi na walimu katika mahafali ya Tano ya shule ya Sekondari ya Wasichana Busokelo. Akiwa kama Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Kidato cha Nne...
  9. Waufukweni

    Rais Samia ameizawadia Serengeti Girls Milioni TSh 30 kwa Kutwaa Ubingwa wa Unaf

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameizawadia timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Girls’ kiasi cha Sh30 milioni baada ya kutwaa ubingwa wa Unaf huko Tunisia wiki iliyopita. Fedha hizo zimekabidhiwa Septemba 11, 2024 na Waziri wa Utamaduni...
  10. secretarybird

    DOKEZO Kondoa Girls High School waalimu wa field wamegeuka walinzi wa shule, usiku kucha hawalali

    Juzi nilipata taarifa kutoka Kwa mwalimu mwenyeji wa shule ya Kondoa girls kuwa kuwa katika shule yao wizi umekithiri sana, mwalimu yule alidai kuwa watu wasiojulikana wanaenda kuiba mbaazi katika shamba la shule na mbaya zaidi watu wale wameanza kutembelea nyumba za waalimu ili kuiba chchote...
  11. J

    Inawezekana kweli Katiba mpya ni Kitabu tu, Kenya Rais wao amegoma Kabisa kuitii Mahakama na hawana la kumfanya!

    Tanzania tumekuwa na hamu sana ya kutengeneza Katiba mpya bila kujali kama Wananchi wanajua maana ya Katiba ama la Kenya Wana Katiba mpya lakini Rais Ruto amesema Mahakama inamuhujumu hivyo hataisikiliza bali ataendelea na KAZI zake kama alivyopanga Ruto amesema Mahakama ni kakikundi la Watu...
  12. Jamii Opportunities

    Social Mobilizer, Girls’ Education Program-4 at Room to Read April, 2024

    Position Overview The social mobilizer is responsible for the implementation, coordination development and reporting of the Girls’ Education program in the respective school (s). She would serve as the first point of contact for the school, parents and scholars. This position will be field...
  13. M

    Ipi ni Shule Bora ya girls advance mkoa wa Dodoma

    Viongozi naombeni mnisaidie kujuwa Shule ipi ya girls ni Bora kweny ufaulu ya advance combination HGE au HGL. Location Dodoma:
  14. T

    Nini inaweza kuwa hatima ya kijana anayewekeza muda na girls

    Wakuu. Kiukweli hapo nyuma nilikuwa si mtu wa mademu kabisa. Nimesoma o level na a level fresh , nilipomaliza six , nilijitahidi kutongoza girls angalau namimi nichakate mbususu bila mafanikio. Sasa nimeenda chuo the same girls na wengine wengi nimejaribu kuwatongoza hawakatai, Ninawaza...
  15. Mama Edina

    Naomba kujua shule nzuri kwa wasichana

    Habari wakulu. Bila shaka wengi wetu tunatamani watoto.wetu wasome shule sahihi, salama na hatimaye ahitimu katika ubora. Ni kawaida kuona kuwa mwanenu amehitimu shule zake na akaamua kuingia kitaani kuhulsle hata kama hatapata best job ila apate kaelimu kamtoe tongo. Ka uzungu akajue, vijana...
  16. Jamii Opportunities

    Project And Community Engagement Officer at Girls First Initiative (GFI) November, 2023

    Position: Project And Community Engagement Officer Reporting to: Executive Director Salary Range: Negotiable Location: Dar es Salaam Travel: Occasionally The Position: The Programs Officer will support the program team to manage relationships and activities with partners and members, support...
  17. Jamii Opportunities

    Programme Specialist, Ending Violence Against Women and Girls (EVAWG) at UN Women

    Position: Programme Specialist, Ending Violence Against Women and Girls (EVAWG) Location: Zanzibar, TANZANIA Type of Contract: FTA Local Post Level: NO-D Language Required: Englinsh Duration of Initial Contract: One year Expected Duration of Assignment: One year Duties and Responsibilities...
  18. C

    What do girls actually mean when they say “Sipendi uongo”?

    Morning folks.. What do ladies actually mean when they say;- Sipendi uongo Sipendi mwanaume muongo What kind of lies do they actually signify?
  19. Ndengaso

    Mwenye ufahamu na Shinyanga Girls

    Kuna mtu mwenye ufahamu na hii shule ? Inaonekana ni mpya na mwanangu amepangiwa hapo form five PCM, chakushangaza wenyeji wa manispaa ya shinyanga mjini hawaijui, kama kuna Mwenye uelewa wa sehemu ilipo..na taarifa zizote zitakazosaidia kujua tunwamishe mapema au Laa. Asante.
Back
Top Bottom