A girl is a young female human, usually a child or an adolescent. When she becomes an adult, she is described as a woman. The term girl may also be used to mean a young woman, and is sometimes used as a synonym for daughter. Girl may also be a term of endearment used by an adult, usually a woman, to designate adult female friends.
The treatment and status of girls in any society is usually closely related to the status of women in that culture. In cultures where women have a low societal position, girls may be unwanted by their parents, and the state may invest less in services for girls. Girls' upbringing ranges from being relatively the same as that of boys to complete sex segregation and completely different gender roles.
[Habari wanajukwaa!
Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu!
Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge.
Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya.
Ndio...
KARIBU SHULE YA SEKONDARI JOY GIRLS' ILIYOPO MKOANI MBEYA KWA KIDATO CHA KWANZA 2023.
INTERVIEW ZITAKUA ZIKIFANYIKA KUANZIA MWEZI WA KUMI.
MTOTO ATAPATIWA:
1) ELIMU BORA 2) CHAKULA BORA NA MALAZI 3) KITANDA NA GODORO BURE 4) CHUMBA SAFI CHA KUISHI WANAFUNZI WANNE TU KATIKA KILA CHUMBA 5)...
Mbona hii shule haifanyi vizuri? Wale Waturuki bado wapo? Siku hizi ada kubwa na extra curricula kibao ila matokeo zero. Nasikia walimu wako shallow sana. Hadi wa O-level wanafundisha A-level. Enzi mamsapu akisoma pale shule ilikuwa moto sana. Uongozi wa sasa ni wa watanzania? Nasikia matokeo ya...
Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys, Kibaha sekondari, Uwata sekondari nk. Je tatizo ni nini? Mkeka huu hapa:
Kemebos Sekondari, Kagera -...
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,
Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,
Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu
Lakini wizara ikawatupa Iringa...
Serengeti Girls imekuwa timu ya kwanza kukaa eneo maalum wanalokaa wabunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 7, 202
Timu hiyo imealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India Oktoba 2022.
Leo Waziri ametoa ombi la kuvunja kanuni na kuruhusu timu ya Serengeti girls na viongozi wake kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge.
Bunge limechukua hatua hiyo ili kuwapongeza baada ya kufuzu kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa wanawake chini ya miaka 17 yatakayofanyika nchini India.
Spika...
Serengeti Girls wanakwenda India kucheza kombe la dunia na ni mara ya kwanza katika historia ya Tanzania.
Bravo sana makocha, bravo wachezaji wote mliopambana mpaka kupata ushindi wa kishindo wa magoli 5-1 tena ugenini dhidi ya timu yenye uzoefu mkubwa ya hadhi ya Cameroon,
Mmefuta aibu ya...
Am almost 35 and my daughter is 15 (kidato cha pili) Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto.
I think She now takes me as her brother (Nimelihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address agemates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema...
Applications are invited from suitable qualified female candidates to fill the Headmistress vacancy.
Introduction and Background
Established In 2000, the Barbro Johansson Model Girls’ Secondary School (Barbro School) Is now In Its 22nd year, running from Form 1 to Form VI with a total capacity...
Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “Project designing, costing,
permitting, registrations, construction and commissioning of a New 2 Storey Biology
Laboratory for St Jude’s Girls’ Secondary School, Sisia Campus Moshono, Arusha”.
Tender Reference: TENDER NO...
That little space
Make your smile so golden,
Like perfect cleavage demonstrated
in shining mineral.
They its sign of fertility
Like a vale of happiness
When your face shows that flowery laughter.
Those little holes
Define the margin of your beuty
Like hotsprings pouring cheeriness
They say its an angelic deformation,
With little holy ditches on your cheeks
Kisses deep down their perimeters,
Make the heart skip its beats
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote...
Naingia kwenye mada moja kwa moja. Dada wa kazi wa kizazi hiki ni zaidi ya majanga. Ndugu zangu, wasichana wa kazi za ndani (house girls/maids) ni hitaji muhimu sana kwa familia nyingi za mijini, hasa wale wanafamilia wanaofanya kazi zinazowalazimu kuamka asubuhi na kurejea jioni. Ni kwa sababu...
Kwa bahati nzuri kila mwanamke anapenda uzuri, na sifa ya wanaume ni kupenda wanawake wazuri,na uzuri wa kuwa mzuri ni uzuri wa kusifiwa kwa maneno mazuri kutoka kwa wanaume wazuri yakwamba wewe ni mzuri.
Wakati ule 'ninaimba jua lile literemke mama' pale shule ya msingi miaka kadha iliyopita...
Habari wana jf,
Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada.
Naomba mwenye mawasiliano ya shule tajwa hapo juu ya St Teresa of avila girls Secondary iliyopo MWANGA, KILIMANJARO.
Nimejaribu kutafuta address zao kwenye website nimepata namba ambazo hazitumiki kwa Sasa.
Naomba...
The question that persisted in my mind, and I believe was the case in the minds of a number of these ladies, was "When is he going to come?" There are ladies who heard the "Mr Right is on his way" narrative when they were 27 years old; they are now 33 years old and he has not yet arrived. So...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.