girls

A girl is a young female human, usually a child or an adolescent. When she becomes an adult, she is described as a woman. The term girl may also be used to mean a young woman, and is sometimes used as a synonym for daughter. Girl may also be a term of endearment used by an adult, usually a woman, to designate adult female friends.
The treatment and status of girls in any society is usually closely related to the status of women in that culture. In cultures where women have a low societal position, girls may be unwanted by their parents, and the state may invest less in services for girls. Girls' upbringing ranges from being relatively the same as that of boys to complete sex segregation and completely different gender roles.

View More On Wikipedia.org
  1. Khadija Mtalame

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa kike kidato Cha 6 kanifata kanambia Ana MIMBA Ina wiki 3(ushauri hapo)

    [Habari wanajukwaa! Mwalimu mmoja amenifata kuniomba nimshauri kitu! Kuna mwanafunzi kamfata leo, kamwambia Ana tatizo kwamba Ana MIMBA Ina wiki 3, hivyo anaomba msaada wa kununuliwa vidonge. Ila mwl. kagoma kunijua vidonge, na akamjibu kwamba atampatia jibu baaae na Cha kufanya. Ndio...
  2. Engineer Az

    JamiiForums Tanzania Joy Girls' school Mbeya

    KARIBU SHULE YA SEKONDARI JOY GIRLS' ILIYOPO MKOANI MBEYA KWA KIDATO CHA KWANZA 2023. INTERVIEW ZITAKUA ZIKIFANYIKA KUANZIA MWEZI WA KUMI. MTOTO ATAPATIWA: 1) ELIMU BORA 2) CHAKULA BORA NA MALAZI 3) KITANDA NA GODORO BURE 4) CHUMBA SAFI CHA KUISHI WANAFUNZI WANNE TU KATIKA KILA CHUMBA 5)...
  3. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Feza Girls ilitaifishwa?

    Mbona hii shule haifanyi vizuri? Wale Waturuki bado wapo? Siku hizi ada kubwa na extra curricula kibao ila matokeo zero. Nasikia walimu wako shallow sana. Hadi wa O-level wanafundisha A-level. Enzi mamsapu akisoma pale shule ilikuwa moto sana. Uongozi wa sasa ni wa watanzania? Nasikia matokeo ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Shule 10 bora matokeo ya Kidato cha Sita: Zimo shule 7 za serikali. Wakongwe Marian Girls, Feza Boys, Kibaha Sekondari, Ilboru Sekondari watupwa mbali

    Kuna mabadiliko makubwa sana katika ushindani wa matokeo ya kidato cha sita. Wakongwe waliotesa kwa miaka mingi wamepigwa mweleka mkali wakiwemo Marian Girls, Feza boys, Marian boys, Feza boys, Kibaha sekondari, Uwata sekondari nk. Je tatizo ni nini? Mkeka huu hapa: Kemebos Sekondari, Kagera -...
  5. Amina68

    JamiiForums Tanzania Hongereni sana Machame girls, hakika Mmeng'aa Sana Matokeo ACSEE 2022,Marium na Stella mmeipaisha Serikali ya awamu ya 6

    Hongereni sana Machame girls, hakika Mmeng'aa Sana Matokeo ACSEE 2022, https://matokeo.necta.go.tz/acsee2022/index.htm
  6. Amina68

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

    Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu, Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu, Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu Lakini wizara ikawatupa Iringa...
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Timu ya Serengeti Girls yaweka rekodi Bungeni leo Juni 07, 2022

    Serengeti Girls imekuwa timu ya kwanza kukaa eneo maalum wanalokaa wabunge kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 7, 202 Timu hiyo imealikwa bungeni baada ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia litakalofanyika India Oktoba 2022.
  8. Replica

    JamiiForums Tanzania Bunge latengua kanuni kuruhusu Serengeti Girls kutinga mbele ya Bunge

    Leo Waziri ametoa ombi la kuvunja kanuni na kuruhusu timu ya Serengeti girls na viongozi wake kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge. Bunge limechukua hatua hiyo ili kuwapongeza baada ya kufuzu kushiriki michuano ya kombe la dunia kwa wanawake chini ya miaka 17 yatakayofanyika nchini India. Spika...
  9. P

    JamiiForums Tanzania Serengeti Girls mmetuheshimisha sana Watanzania, pokeeni pongezi za dhati kabisa

    Serengeti Girls wanakwenda India kucheza kombe la dunia na ni mara ya kwanza katika historia ya Tanzania. Bravo sana makocha, bravo wachezaji wote mliopambana mpaka kupata ushindi wa kishindo wa magoli 5-1 tena ugenini dhidi ya timu yenye uzoefu mkubwa ya hadhi ya Cameroon, Mmefuta aibu ya...
  10. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baba wenye 30s wenye mabinti teenagers njooni hapa (Huyu binti yangu nimpeleke Feza Girls au Makongo Sec?)

    Am almost 35 and my daughter is 15 (kidato cha pili) Nahisi kama vile sina tena uwezo wa kum control huyu mtoto. I think She now takes me as her brother (Nimelihisi hili kwa kuangalia jinsi aanavyo wa address agemates wangu ) Hawezi kusema kuna mbaba mmoja au uncle mmoja, atasema...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Headmistress at Barbro Johansson Model Girls Secondary School

    Applications are invited from suitable qualified female candidates to fill the Headmistress vacancy. Introduction and Background Established In 2000, the Barbro Johansson Model Girls’ Secondary School (Barbro School) Is now In Its 22nd year, running from Form 1 to Form VI with a total capacity...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Request for Proposal (RFP) - DESIGN AND BUILD A NEW BIOLOGY LABORATORY FOR ST JUDE’S GIRLS’ SECONDARY SCHOOL SISIA CAMPUS, MOSHONO, ARUSHA

    Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “Project designing, costing, permitting, registrations, construction and commissioning of a New 2 Storey Biology Laboratory for St Jude’s Girls’ Secondary School, Sisia Campus Moshono, Arusha”. Tender Reference: TENDER NO...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Ipi bora kati ya St. Francis Girls Mbeya na FEZA Girls Dar es Salaam?

    Msaada. Binti yangu amechaguliwa shule zote mbili, ipi shule bora na sababu na mapungufu Ahasante.
  14. Da Vinci XV

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Girls with 'mwanya''

    That little space Make your smile so golden, Like perfect cleavage demonstrated in shining mineral. They its sign of fertility Like a vale of happiness When your face shows that flowery laughter.
  15. Da Vinci XV

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Girls with 'dimples'

    Those little holes Define the margin of your beuty Like hotsprings pouring cheeriness They say its an angelic deformation, With little holy ditches on your cheeks Kisses deep down their perimeters, Make the heart skip its beats
  16. J

    JamiiForums Tanzania Manyoni : TZS 3.5BL za Rais Samia kujenga shule ya "Singida Girls"

    Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote...
  17. tpaul

    JamiiForums Tanzania Ushahidi kuntu kuhusu utapeli uliojificha ndani ya biashara ya dada wa kazi (house girls)

    Naingia kwenye mada moja kwa moja. Dada wa kazi wa kizazi hiki ni zaidi ya majanga. Ndugu zangu, wasichana wa kazi za ndani (house girls/maids) ni hitaji muhimu sana kwa familia nyingi za mijini, hasa wale wanafamilia wanaofanya kazi zinazowalazimu kuamka asubuhi na kurejea jioni. Ni kwa sababu...
  18. Da Vinci XV

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manii huboresha ngozi za wanawake

    Kwa bahati nzuri kila mwanamke anapenda uzuri, na sifa ya wanaume ni kupenda wanawake wazuri,na uzuri wa kuwa mzuri ni uzuri wa kusifiwa kwa maneno mazuri kutoka kwa wanaume wazuri yakwamba wewe ni mzuri. Wakati ule 'ninaimba jua lile literemke mama' pale shule ya msingi miaka kadha iliyopita...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu St Teresa of avila girls Secondary school

    Habari wana jf, Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba mwenye mawasiliano ya shule tajwa hapo juu ya St Teresa of avila girls Secondary iliyopo MWANGA, KILIMANJARO. Nimejaribu kutafuta address zao kwenye website nimepata namba ambazo hazitumiki kwa Sasa. Naomba...
  20. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 8 Reasons why bad girls get married and Good girls remain sngle.

    The question that persisted in my mind, and I believe was the case in the minds of a number of these ladies, was "When is he going to come?" There are ladies who heard the "Mr Right is on his way" narrative when they were 27 years old; they are now 33 years old and he has not yet arrived. So...
Back
Top Bottom