ghetto

A ghetto (Italian pronunciation: [ˈɡetto]; from Venetian ghèto, 'foundry'), often the ghetto, is a part of a city in which members of a minority group live, especially as a result of social, legal, or economic pressure. Ghettos are often known for being more impoverished than other areas of the city. Versions of the ghetto appear across the world, each with their own names, classifications, and groupings of people.
The term has deep cultural meaning in the United States, especially in the context of segregation and civil rights; as such, it has been widely used in the country to refer to inner-city neighborhoods that are mainly African American and/or poor. It is also used in some European countries such as Romania and Slovenia to refer to poor neighborhoods.The term was originally used for the Venetian Ghetto in Venice, Italy, as early as 1516, to describe the part of the city where Jews were restricted to live and thus segregated from other people. However, early societies may have formed their own versions of the same structure; words resembling ghetto in meaning appear in Hebrew, Yiddish, Italian, Germanic, Old French, and Latin. During the Holocaust, more than 1,000 Nazi ghettos were established to hold Jewish populations, with the goal of exploiting and killing the Jews as part of the Final Solution.

View More On Wikipedia.org
  1. Mturutumbi255

    Drama za Utotoni: Kisa cha Leah na Ghetto la Mchongo

    Eee bwana eeh, stori za mtaa ni noma sana! Basi ebwana, ulikua utotoni kwetu mtoto wa kike mrembo alikua mmoja tu, Leah yule kapisi keupe, si unajua tena sisi wanaume tulivyokuwa tunamuwania. Sasa Leah huyu alikuwa ndo kidume, yeye ndiye anachagua leo rafiki yake awe nani. Na ikifika zamu yako...
  2. KatetiMQ

    Unaweza kulala nje kisa mshikaji wako kaingiza demu gheto?

    Kuna mambo yanafurahisha na kusikitisha kwa pamoja Kuna vitu havikwepeki hasa suala mbususu Yani utajizuia lakini kwa mwanaume ngumu pamoja na ugumu huo na tunaweza kumudu kufanya starehe ya namna hiyo kwenye mazingira magumu watoto wa mjini wanasema poa tu hiki ndicho kilichomkuta kijana huyu...
  3. KIBUGAmk

    Mwanamke wangu kaja ghetto na rafiki yake

    Kuna demu nimemtongoza akanikubali basi baada ya muda akawa ananiuliza " Baby unaish wap Natalie Nike kukuona honey Wang" basi kidume kdume nikamwambia " usijali malaika wangu muda si vilee utaiona kambi yang".. Basi demu akawa anafurahi kweli anasema " jamani we honey utaniandalia zawadi...
  4. The dumb Professor

    Kwa bajeti ya milion 2 niwekeje ghetto liwe Kali?

    Wataalam, Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko. Sasa kwa hasira nachofanya mshahara...
  5. RoadLofa

    Album kali ya kusikiliza ukiwa na Mpenzi wako room au ghetto

    Kati ya album ambayo unatakiwa kuisikiliza ukiwa na Mtoto mzuri Ghetto nakushauri uweke album ya Ed Sheeran -Divide umo ndani Albino kaimba mapenzi balaa yaani Mtoto atajikuta karopoka I love you na kapanda kitandani bila Kutumia nguvu. Umo ndani Kuna mikwaju hatari sana kama vile 1. Perfect...
  6. Brain Kingdom

    Kuna wadada wakija ghetto wanachukua kitu chochote cha kwenda kuturogea. Nimefunga camera wameanza kuumbuka vibaya kabla hawajaondoka najisanua

    Wasalaam, Nawakumbusha tena camera ambazo ni ngumu mtu kujua zimejaa tele , kuondokana na hii vita ya wadada ama wanawake kuwa na mpango wa kuturogea kimapenzi. Mimi najisanua kila mara nawaumbua, mpaka sasa wengi wanashangaa maana hakuna dalili za kuona camera popote pale, kamanda nimefunga...
  7. Analogia Malenga

    Kaja ghetto kapigwa mande

    Tunapenda muziki lakini mara nyingine kunakuwa na mistari ya kudhalilisha wanawake au kuchochea ukatili dhidi ya wanawake. "Kaja gheto kapigwa mande" ni mistari inayopatikana kwenye wimbo wa wapolo wa Weusi, hayo maneno yakiwa ni maneno ya G-Nako, ambayo kimsingi yanasifia ubakaji Serikali...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Ghetto langu lilinisaliti; Mrembo akanikimbia

    GHETTO LANGU LILINISALITI; MREMBO AKANIKIMBIA! Anaandika, Robert Heriel Vijana jijengeni! Wekeni mambo yenu Sawa kama mnataka hizi pisikali! Wanawake hawana Jema! Wengi ni materialists. Hakikisheni mnaishi sehemu nzuri na vitu vya ndani viwe vimenyooka. Mnyamwezi kama kawaida yangu ikifika...
  9. Brain Kingdom

    Onyo Kali: Mwanaume usithubutu kuacha ghetto lako na kuhamia kwa Mwanamke. Ni hatari, utaumbuka mbeleni

    Hi, Ni onyo kali hata iweje usiache ghetto ukahamisha vitu vyako ukaenda kuishi na mwanamke kwake awe amejenga au amepanga, au kama mmepanga yeyw mwanamke ndiye awe anafahamika kwa mwenye nyumba ni kosa kubwa. Kwa asili wanawake hawatabiriki na hawana upendo wa kudumu, mwanamke anataka kitu...
  10. Brain Kingdom

    Wanawake wakija ghetto kwa kazi maalumu wakiona mafuta ya kila aina wanafurahia sana

    Hello hello JF! 👇👇👇 Katika hali ya kuduwaza na kufurahisha, kitambo sasa nashuhudia wanawake wanaokuja ghetto kwangu kwa kazi maalumu ya kitume na kimaombezi nimeona kuna jambo linawafurahisha sana hasa tu wakiona mafuta ya aina nyingi ya kupaka kwenye dressing table. 1.Lotion aina 4 2. Mafuta...
  11. BARD AI

    Ghetto Kids washindwa kutamba fainali ya Britains Got Talent

    Kundi hilo la Watoto 6 wenye miaka 6 hadi 13 limepata upinzani mkali kutoka kwa Mshindi wa kwanza #ViggoVenn kutoka #Norway akifuatiwa na #LillianaClifton pamoja na mshindi wa 3 mwanamazingaombwe #CillianOConnor. Licha ya kushindwa, #GhettoKids walifanikiwa kuweka historia ya kupewa heshima ya...
  12. BARD AI

    Ghetto Kids kuweka historia mpya fainali za Britain's Got Talent?

    Kundi hilo linaloundwa na Watoto wenye vipaji vya kucheza na kuimba kutoka #Uganda limefanikiwa kuingia Fainali za mashindano ya vipaji ya #BritainsGotTalent ambayo kilele chake ni Juni 4, 2023. Waliofanikiwa kuingia Fainali ni #MusaMotha, Amy Lou, #ViggoVenn, Olivia Lynes, #GhettoKids, Travis...
  13. Brain Kingdom

    Wanawake: Kweli mke wa mtu uniombe uje uangalie movie ghetto kwangu?

    Wanawake chonde chonde tupunguzieni kesi na lawama, mko siriazi kweli? Mke wa mtu analazimisha aje aangalie movie za karate na Judo ghetto kwangu hivi hii ni nini? Maadili yameenda wapi heshima imeuzwa wapi. Uchumi wa Dunia uyumbe na umakini pia wa kujiheshimu nao uyumbe. Tafadhali tuyaepuke...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Wakati wa kufurahi tufurahi pamoja; Kundi la Ghetto Kids la Uganda laweka HISTORIA na Golden Buzzer kwenye British's Got Talent

    Kundi la Ghetto Kids la Uganda laweka HISTORIA na Golden Buzzer kwenye British's Got Talent: Britain’s Got Talent ilirejea kwa msimu wake wa 16 siku ya Jumamosi ambapo kundi la densi la Uganda - GhettoKids - lilipata tuzo ya Golden Buzzer. BritainsGotTalent ni shindano la vipaji...
  15. Mwl.RCT

    Dear Mama: A Tale of Love, Struggle, and Appreciation in the Ghetto

    This is the story of a young man who grew up in the ghetto with his mother. As a child, he didn't understand the struggles his mother faced to raise him and his siblings on her own. He caused her a lot of stress, including getting suspended from school and getting into trouble with the police...
  16. GENTAMYCINE

    Kuanzia sasa ukija Ghetto Kwangu kutizama Tv njoo na ama Tsh 1,000 yako au Tsh 3,000 huna kaangalie kwa Mama au Nchemba sawa?

    Nadhani tumeshaelewana sasa Wewe njoo Kwangu kwa Mazoea ya Kutizama Taarifa za Habari utaishia Mlangoni.
  17. KENZY

    Tom boy ndani ya ghetto langu!

    Tarakimu hii "12",imenifanya niukumbuke mwezi wa kumi na mbili mwaka jana katika moja ya mtaa niliokuwa naishi nilikuwa na washkaji zangu kadhaa ambao tulipata kufahamiana katika jioni tulivu,wakati tunapiga stori simu yangu mfukoni ikavibrate kuashiria Kuna mtu ameni sms. Sikuifungua haraka...
  18. LIKUD

    Makosa wafanyayo wanaume katika kutuma nauli ili mwanamke aje ghetto ambayo husababisha mwanamke kutokuja ghetto licha ya kutumiwa nauli

    Kama umetuma nauli Na mwanamke hajaja ghetto basi wewe ndio mwenye makosa Na sio mwanamke ambae hajaja ghetto. IPO namna ya kutuma nauli ambayo uki I apply mwanamke lazima aje ghetto. ( HAPA NAMZUNGUMZIA MWANAMKE AMBAE NDIO ANAKUJA GHETTO KWAKO KWA MARA YA KWANZA. ) Kabla sija elezea mbinu...
  19. demigod

    Ghetto la Bernard Morrison ni hatari

    Hivi ndivyo wenzetu wanavyojali wachezaji wao... Ona ghetto la mchezaji wao wa kimataifa linavyo fanana. Yanga SC mna mengi sana ya kujifunza...kutoka kwa Boss Mo Dewji.
  20. B

    Men's talk: Kwenye kupanga first date, mualike mdada ghetto kwako, kama hataki muache

    Ukikutana Na mdada Ukachukua namba yake, mkafahamiana kidogo, huna haja ya kumpeleka kwenye migahawa ghali, au kumlipia nauli, vocha, au kumpa pesa alizokuomba. Wewe mueleze sehemu unapokaa, Na mda utakaokuwa free, Jibu pekee utakalotakiwa ulikubali, ni yeye kuja ghetto kwako, aje umvue nguo...
Back
Top Bottom