Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam,
Nawakumbusha tena camera ambazo ni ngumu mtu kujua zimejaa tele , kuondokana na hii vita ya wadada ama wanawake kuwa na mpango wa kuturogea kimapenzi. Mimi najisanua kila mara nawaumbua, mpaka sasa wengi wanashangaa maana hakuna dalili za kuona camera popote pale, kamanda nimefunga nimeunganisha kwenye simu yangu.
Nawashukuru sana wanasayansi wenzangu kwa hili. Camera ni mkombozi mbali na hilo nina machale mwili unasisimka nikiwa na demu mwenye hila, akiwa anawaza hila tu nywele husimama. Sasa na huyu mzungu camera ndio nimeua walakini.
Ukiwa kaksi shida ukiwa na roho nzuri wanakuona fala na bwege, sasa potelea mbali maisha ni roho mbaya na ukaksi basi.
Tumieni hizi camera kuwaepuka hawa wanawake wachawi.
Ni hayo tu
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz
Nawakumbusha tena camera ambazo ni ngumu mtu kujua zimejaa tele , kuondokana na hii vita ya wadada ama wanawake kuwa na mpango wa kuturogea kimapenzi. Mimi najisanua kila mara nawaumbua, mpaka sasa wengi wanashangaa maana hakuna dalili za kuona camera popote pale, kamanda nimefunga nimeunganisha kwenye simu yangu.
Nawashukuru sana wanasayansi wenzangu kwa hili. Camera ni mkombozi mbali na hilo nina machale mwili unasisimka nikiwa na demu mwenye hila, akiwa anawaza hila tu nywele husimama. Sasa na huyu mzungu camera ndio nimeua walakini.
Ukiwa kaksi shida ukiwa na roho nzuri wanakuona fala na bwege, sasa potelea mbali maisha ni roho mbaya na ukaksi basi.
Tumieni hizi camera kuwaepuka hawa wanawake wachawi.
Ni hayo tu
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz