gesi

The GESIS – Leibniz Institute for the Social Sciences is the largest German infrastructure institute for the social sciences. It is headquartered in Mannheim, with a location in Cologne. With basic research-based services and consulting covering all levels of the scientific process, GESIS supports researchers in the social sciences. As of 2017, the president of GESIS is Christof Wolf.
GESIS is part of the Leibniz Association and receives federal and state funding.

View More On Wikipedia.org
  1. Meneja Wa Makampuni

    Uzi maalum: Madini, gesi na mafuta 2025 - 2050

    🛢️⛏️ UZI MAALUMU: MADINI, GESI NA MAFUTA ⛏️🛢️ Karibu kwenye uzi huu maalumu ambao utakuwa mahususi kwa mambo yote yanayohusu madini, gesi, na mafuta. Hapa tutaangazia: ✅ Fursa zilizopo kwenye sekta hizi ✅ Changamoto zinazokumba wawekezaji na wananchi ✅ Taarifa na sheria muhimu kuhusu umiliki...
  2. Miss Natafuta

    Huu Mtungi wa gesi uko sawa wakuu?

    Siku za karibuni nimegundua gesi inaisha haraka Sana nyumbani Wakati matumizi ni Yale Yale na watu ni wale wale Sasa Leo nimenunua Nimefunga Tu mshale unasoma hivo Hii ni sawa wakuu?? Maana kwenye bili za maji ndo usiseme Naona kama watanzania tunaonewa kila mahali jamani. Wale wataalamu...
  3. F

    Mtungi mdogo tupu wa Gesi unauzwa TSh 22,000 (O GAS)

    MTUNGI MDOGO WA GESI UNAUZWA KWA SHILINGI 22 000TU WAHI MAPEMA, MWANANYAMALA CALL 0748984948
  4. Q

    Nauza Friji, Mtungi wa gesi mkubwa na Jiko.

    🧊 Friji zuri - Tsh 120,000 🔥 Mtungi wa gesi (full) + jiko lake - Tsh 120,000 Viko katika hali nzuri kabisa. 📞 Wasiliana nami kwa maelezo zaidi: 0685063688 📍 Mahali: [Tegeta] Karibuni sana.
  5. DuaZaMama

    Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya Moshi wa Gesi ya kutoa machozi

    Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya moshi wa gesi ya kutoa machozi katika mitaa ya Nairobi wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Juni 25. Tukio hilo lilitokea katikati ya maandamano ya kitaifa yaliyoongozwa na vijana, hasa kizazi cha Gen Z, waliokusanyika kuadhimisha mwaka mmoja...
  6. Winniek

    Maumivu ya shingo gesi kupanda shingoni

    Hello wanajukwaa, nimekuja ndugu yenu ninahitaji msaada wenu. Mume wangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa miaka sasa na ameshatumia dawa za kila aina. Changamoto ya sasa anasema anapata maumivu shingoni, kuna muda mdomo unakuwa mchachu kama ana homa. Kaenda hospitali, kapigwa X-ray na...
  7. PendoLyimo

    Ukataji wa miti sasa basi, REA yarahisisha upatikanaji wa gesi vijijini

    UKATAJI WA MITI SASA BASI, REA YARAHISISHA UPATIKANAJI WA GESI VIJIJINI Imeelezwa kuwa, mradi wa usambazaji wa mitungi ya gesi kwa bei ya ruzuku katika maeneo ya vijijini na pembezoni imelenga kuchochea, kuwezesha na kuboresha upatikanaji wa huduma za nishati safi ya kupikia ili kuchochea...
  8. Mende mdudu

    Kabla ya kwenda kwenye uzalishaji wa nyuklia tunge focus na ujenzi wa vitalu vya kuchakata gesi

    Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada nipongeze ujasiri wa mueshimiwa Raisi mama samia kuhusu mradi wa nyuklia na kupendekeza itunufaishe wenyewe kwanza iyo uraniam. Ushauri wangu kabla ya kwenda kwenye uo mradi tunge anza na kipaumbele cha kujenga vitalu vya kuchakata gesi tuwe na unafuu wa...
  9. PendoLyimo

    PreGE2025 Wananchi wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga waipongeza REA kwa usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo sita kwa bei ya ruzuku

    WANANCHI WA WILAYA YA HANDENI MKOANI TANGA WAIPONGEZA REA KWA USAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI YA KILO SITA KWA BEI YA RUZUKU 📌REA yaendelea na usambazaji wa mitungi ya gesi ya kilo sita kwa bei ya ruzuku wilaya ya Handeni mkoani Tanga. 📌Mitungi ya gesi ya kilo sita 26,040 kusambazwa mkoani...
  10. S

    Gastric na gesi tumboni inavyoniua

    Habari wakuu Nimetafuta japo uzi wenye kuelezea dawa kwa aliyekwishanza kuathirika na gastric. Naombeni msaada naishu kwa kutafuna tangawizi usiku kucha
  11. Roving Journalist

    Dar: Kapinga azindua Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG), kitajaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku

    Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku huku kikifanya kazi kwa muda wa saa 24. Kapinga amezindua kituo hicho tarehe 9 Mei, 2025 jijini Dar es Salaam akimwakilisha...
  12. sanalii

    Gesi ya Mtwara inatumika wapi?

    Watu walipigwa huko mtwara kuhakikisha gesi inakuja dar, hata baada ya hapo 1. Umeme ulikua bado unasumbua 2. Bei ya gas majumbani haijashuka 3. Na bei ya umeme haijashuka, hata baada ya bwawa la Rufiji nalo kukamilika,. Anaenufaika na hii gesi ni nani?
  13. Mr Why

    DOKEZO Umeibuka wizi mpya wa gesi za kupikia, baadhi ya wauzaji gesi wanatumia gesi za wateja baada ya hapo wanafunika na kuwauzia pungufu

    Umeibuka wizi mpya wa gesi za majumbani za kupikia, baadhi ya wafanyabiashara waovu wanatumia gesi za wateja na baadaye wanafunika na kuuza Changamoto hii imetokea leo baada ya kununua gesi ya Kg 8.4 nikatilia mashaka na kuipima zikapatikana Kg 6.6Kg nilipotizana seal nikagundua ilifunguliwa na...
  14. cold water

    Naomba kujua kimo Cha jiko la gesi lenyew oven

    Nimechonga kabati fundi anashindwa kujua vipimo vya iyo ovena yenye jiko la gesi Kwa anaejua upana na urefu msaada plz nalitamani kitchen kabati langu fundi kizingizio chake ndo icho tu Kila ukimuuliza kabati tayari anakujibu anashindwa kumalizia ajui vipimo vya iyo gesi oven,nahitaji Ile yenye...
  15. Big Fat Lady

    INAUZWA Seti ya jiko used (jiko, kabati na gesi) Tsh 210,000/=

    SOLD
  16. Waufukweni

    PreGE2025 Mabasi mapya ya Mwendokasi yanayotumia gesi kuwasili Aprili

    Mabasi mapya ya Mwendokasi yanayotumia gesi yatawasili Aprili mwaka huu, lengo ni kuongeza matumizi ya nishati safi. Kampuni ya Mabasi yaendayo Haraka (UDART), imesema kuanzia Aprili mwaka huu watapokea mabasi mapya yanayotumia gesi asilia iliyosindikwa (CNG). Aidha, hatua hiyo ni mkakati wa...
  17. Just Pray

    Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli yaongeza jitihada kufungamanisha sekta ya mafuta na gesi na sekta ya elimu nchini

    Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeendelea kutekeleza programu mbalimbali zinazolenga kufungamanisha sekta ya mafuta na gesi asilia na sekta ya elimu nchini. Miongoni mwa programu hizo ni pamoja na kutoa fursa kwa wadau wa sekta ya elimu kutembelea miundombinu ya uzalishaji...
  18. Meneja Wa Makampuni

    Rais Dr. Samia, Tanzania Inaweza Kuzalisha Petroli, Dizeli, Jet Fuel, Methanol, Amonia na Urea Kutoka Kwenye Gesi – Tutauza Haraka Sana

    Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, Kwa heshima, taadhima, na unyenyekevu mkubwa, ninakutakia afya njema, hekima, na mafanikio katika kuiongoza nchi yetu kuelekea maendeleo endelevu. Tunathamini sana juhudi zako za kuboresha sekta ya nishati, viwanda, na...
  19. Just Pray

    Dkt. Biteko: Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi pamoja na vituo vya kujazia gesi kwenye magari

    Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies, Farhiya Warsame, inayojenga Bomba la Gesi kutoka Kisemvule hadi Mbagala (kilomita 19) jijini Dar es Salaam. Kampuni hiyo pia itajenga vituo vitano vya CNG...
  20. Roving Journalist

    Biteko akutana na Mtendaji Mkuu wa Rashal Energies, inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala

    NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies, Farhiya Warsame, inayojenga Bomba la Gesi kutoka Kisemvule hadi Mbagala (kilomita 19) jijini Dar es Salaam. Kampuni hiyo pia itajenga vituo vitano vya CNG...
Back
Top Bottom