geita

Geita is a town in northwestern Tanzania of approximately 240,000 people, located north east of tanzania. It is in the centre of a gold mining area. In March 2012 it became the administrative headquarters of the newly created Geita Region.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Shirika la ICAP halijalipa mishahara wafanyakazi wake walio chini ya Halmashauri Mwanza na Geita kwa miezi mitatu sasa

    Ndugu Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, International Center for AIDS Care and Treatment Program - ICAP, Mkoa wa Mwanza, shirika halijalipa mishahara ya watumishi wake kwa miezi 3 sasa. Hakuna taarifa kwanini hawajalipa mishahara kwa miezi 3. DAS na RACC (wasimamizi wa kazi na mikataba) hawatoi...
  2. Roving Journalist

    Sagini aagiza Miradi ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama Mkoani Geita kukamilika kwa wakati

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini (Mb) amewataka Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na wakandarasi wanaosimamia miradi ya ujenzi Mkoani Geita kukamilisha Ujenzi wa Miradi yote kwa wakati na kuzingatia ubora. Mhe. Sagini ametoa maagizo hayo Novemba 25, 2023...
  3. JanguKamaJangu

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Jumanne Sagini ametembelea Gereza Mkoani Geita

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini (Mb), ametembelea Gereza Geita lililopo Mkoani Geita na kuzungumza na Wafungwa pamoja na Mahabusu wakati alipofanya ziara yake ya Kikazi Mkoani humo Novemba 25, 2023. Mhe. Sagini amefika Mkoani Geita ikiwa ni ziara yake ya kawaida...
  4. Mkanaani

    Basi gani linaloanzia Dodoma kwenda Geita?

    Habari zenu, Naombeni msaada ni bus gani linaloanzia Dodoma kwenda Geita, achana na haya yanayotokea Dar kwenda Geita. Asanteni.
  5. Jamii Opportunities

    Coordinator 1 – Training (Dump Truck) at Geita Gold Mining Ltd November, 2023

    Position: Coordinator 1 – Training (Dump Truck) Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Department: Human Resources Reporting to: Underground Mining Training Specialist Number of Positions: One (1) Purpose of the Role: To develop the professional capabilities of Haul Truck and...
  6. Jamii Opportunities

    Coordinator 1 – UG Mining Training at Geita Gold Mining Ltd November, 2023

    Position: Coordinator 1 – UG Mining Training Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Department: Human Resources Reporting to: Underground Mining – Training Specialist. Number of Positions: One (1) Qualifications: Education “O” Level & Above and Training certification -ToT A...
  7. M

    Kahama vs Geita Battle: Majiji Yajayo Kung'arisha Kanda ya Ziwa

    Manispaa ya Kahama Kanda ya Ziwa inajivunia kuwa na Jiji la Mwanza (City Council) tangu 2002 ambalo ni Jiji la pili kutangazwa baada ya Dsm. Katika miaka hiyo ya 2000s, Miji ya Musoma, Bukoba na Shinyanga ilipandishwa hadhi na kuwa Manispaa (Municipal Cluncil). Ilichukua tena miaka ipatayo 20...
  8. A

    DOKEZO DC Magembe (Geita) ni muongo, anastahili kuchunguzwa na mamlaka

    Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza na media na anafanya hivyo kwa malengo binafsi wala si uzalendo. Zahara Michuzi alipata ruhusa kwa...
  9. Mhaya

    Mkurugenzi Geita afunga safari china kujifunza kuendesha wilaya hiyo kwa pesa kwa pesa za halmashauri

    Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Geita amefunga Safari kwenda China kujifunza namna ya kuendesha mji huo, jambo ambalo limeleta maswali mengi kwa wananchi kwa matumizi mabaya ya Pesa za walipa kodi ambao kimsingi ndio wananchi. Hata hivyo Mkuu wa wilaya ya Geita Mh. Cornell Magembe ameiagiza...
  10. Jamii Opportunities

    Coordinator 1 – Training – Technical at Geita Gold Mining Ltd October, 2023

    Position: Coordinator 1 – Training – Technical Contract type & Duration: Unspecified Time Contract. Department: Human Resources Reporting to: Senior Officer – Technical Training Number of Positions: One (01) PURPOSE OF THE ROLE: This role exists to coordinate and facilitate training programmes...
  11. Jamii Opportunities

    Specialist at Geita Gold Mining Ltd October, 2023

    Position: Specialist 1 – Intelligence Location: Tanzania Contract type & Duration: Unspecified time contract. Department: Security Reporting to: Superintendent 2 – Investigation and Intelligence. Number of Positions: One (01) PURPOSE OF THE ROLE: The purpose of the Intelligence Specialist role...
  12. Pain 01

    Je, Geita ina fursa gani?

    Wakuu nataka kuja Geita vipi wakuu naweza pata mwangaza kidogo chocjote mtu anafamu? Aidha lodge bei nafuu, mishe nknk
  13. S

    NIlichojifunza katika mechi ya leo ya Yanga VS Geita Gold

    Nimeangali clip za magoli mawili ya Yanga yalioyofungwa na Pacome na lile la Azizi k nimegundua yametokana na udhaifu unaofanana lakini hii inaweza kuwa ndio mbinu ya Yanga ya kimchezo. Ukiangalia, magoli yote mawili ni matokeo ya mpira wa kasi wa Yanga unaolzamisha timu pinzani kukimbiza upepo...
  14. KING MIDAS

    Natafuta shule ya msingi ya bweni ya Kisabato, Mwanza, Shinyanga, Kahama, Simiyu, Geita, au Tabora.

    Wasalaam. Naombeni msaada wenu ndugu zangu, natafuta shule ya msingi ya bweni ya Kisabato katika mikoa hiyo tajwa, natanguliza shukrani zangu za dhati.
  15. Jamii Opportunities

    Internships at Geita Gold Mining LTD October, 2023

    GGML Internship Programme Geita Gold Mining Ltd (GGML) has been a strong supporter to the government initiatives to enhance graduates’ employability in Tanzania, having implemented internships and other graduate programmes for several years. GGML is contributing towards skills development in...
  16. Stephano Mgendanyi

    Mkutano wa Majumuisho Katika Ziara ya UWT Taifa Mkoa wa Geita

    UWT TAIFA WAFANYA MKUTANO WA MAJUMUISHO YA ZIARA MKOA WA GEITA CHATANDA : VIONGOZI WA UWT MIKOANI TOKENI MKAFANYE ZIARA KWENYE MAENEO YENU, MKASIKILIZE NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Tanzania UWT Mary Chatanda amewataka Viongozi wa UWT wa Mikoa na wa Mashina...
  17. Stephano Mgendanyi

    Chatanda afurahishwa na Utekelezaji wa Miradi Wilayani Geita

    Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg. Mary Chatanda amefurahishwa na Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika wilaya ya Geita chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Geita Ndg.Zahara Michuzi kwa kujenga Kituo cha Afya Nyankumbu kwa kutumia fedha za ndani. Akizungumza leo katika Ukaguzi wa Kituo...
  18. Roving Journalist

    Geita: Watu 500 wafanyiwa vipimo vya magonjwa ya moyo, kati yao 290 wagundulika kuwa na changamoto

    Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) tayari wamewapima watu 500 ambapo kati ya hao 290 wamegundulika kuwa na changamoto mbalimbali za magonjwa ya moyo. Takwimu hiyo ikiwa ni siku ya sita toka kuanza kwa maonesho ya madini ya Teknolojia yanayofanyika katika viwanja vya Bombambili mkoani Geita...
  19. M

    Mwaka 2004 nilikatwa mapanga na vibaka mkoani Geita nikisotea kazi Mgodini mpaka leo sijatoboa nauza Kangala tu

    Baada ya kumaliza kidato sikupata chuo. Migodi mikubwa ndio ilikuwa imeanza kufunguliwa nchini. Mimi nikaona isiwe tabu nikaenda Kakola mkoani Kahama kusotea kazi. Kazi zilikuwa ngumu sana kupatikana. Kama huna konection unasotea huku ukiishi kwa kuvunja magoti wanaotinga. Nilivyooona Mambo...
  20. Mohamed Said

    Wenyeviti wa TANU Mwanza na Kijijini Nyamazugo Geita

    WENYEVITI CHAMA CHA TANU MWANZA NA KIJIJINI NYAMAZUGO GEITA NA HISTORIA YA KADI YA TANU Chairman wa TANU wa kwanza Mwanza nakumbuka jina lake Hussein Jumbe. Kijijini Nyamazugo Geita kadi za TANU zilikuwa zikipatikana kwa Mzee wa Kimanyema jina lake Saadallah. Hii ilikuwa katika miaka ya...
Back
Top Bottom