Wakuu wangu habari zenu.
Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.
Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road.
Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu...