sisi ni ndugu
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 121
- 135
habari za jioni wakuu, niliazima gari ya rafiki yangu kwenda nayo sehemu flani, wakati wa kuondoka sehemu hiyo nilijaribu sana kukanyaga brake ili ni push the button kuwasha gari ila ikagoma kabisa,
Pembeni kulikua na bodaboda wengi nkajaribu kuomba msaada wakaniambia eneo hilo kuna minara mingi sana ya ofisi mbalimbali na mitandao ya simu, hvyo gari ukizima hadi lisukumwe hadi sehemu flani ndio liwake sababu hua sensor inakata. Mwingine akasema hua eneo hilo tatizo hilo lipo, akampigia simu mtu fulani akaja ndani ya dakika 2 hv, akaingia ila cha ajabu yeye alivyokanyaga brake naku push tu the button gari ikawaka, na ikabidi nimpe buku 5.
Si kwamba funguo niliiweka mbali wala ilikua mkononi mwangu hapo hapo na gari haikuwaka. Je nawe ushakutana na changamoto hiii? hakuna uhuni unaofanyika katika sensor hizi? a Au ndio ushamba ?
Pembeni kulikua na bodaboda wengi nkajaribu kuomba msaada wakaniambia eneo hilo kuna minara mingi sana ya ofisi mbalimbali na mitandao ya simu, hvyo gari ukizima hadi lisukumwe hadi sehemu flani ndio liwake sababu hua sensor inakata. Mwingine akasema hua eneo hilo tatizo hilo lipo, akampigia simu mtu fulani akaja ndani ya dakika 2 hv, akaingia ila cha ajabu yeye alivyokanyaga brake naku push tu the button gari ikawaka, na ikabidi nimpe buku 5.
Si kwamba funguo niliiweka mbali wala ilikua mkononi mwangu hapo hapo na gari haikuwaka. Je nawe ushakutana na changamoto hiii? hakuna uhuni unaofanyika katika sensor hizi? a Au ndio ushamba ?