Usharudi hui ni nzuri Sana lakini akumbuke haya na kabla ya kununuaHapo hakuna gari hata moja ya mtu wa kipato cha kawaida.Hapo gharama za services kwa magari yote uliyotaja zipo juu.
Kama wewe ni mpole,una kipato cha kawaida na hutaki makelele na watu go for RAV4 kisha utarudi hapa kunishukuru bila shuruti.
Unaongea kama hawa wanaoitwaga walengaji japo ni kweli gharama za nissan zipo juu. Ila Kama unamiliki Toyota na unaipenda gharama zake zipo juu pia. Vifaa halisi vya toyota ni gharama.Usharudi hui ni nzuri Sana lakini akumbuke haya na kabla ya kununua
1.nissani ni gari nzuri lakini utakapokuja kuuza kupata mteja shida Sana tofauti na Toyota
2.ghalama za uendeshaji ni kubwa kama service pamoja na vipuli
3.kupata mafundi wazuri lazima wawe na ghalama kubwa kama zile geleji za kichina
Mwisho ukiwa nalo utakufa nalo ni ndoa ya kiroma kila hakuna padri ,kateksta,wala askofu WA kuivunja
Kuna wakati atataka kuuza kununua nyingine kupata wateja ni shida ww huoni dualis zilikuja Kasi saizi nyingi zimepakiUnaongea kama hawa wanaoitwaga walengaji.
Ubora wa Nissan ni upi mkuu kwa sababu mimi naipenda sana ile shepu ya Duals?Usharudi hui ni nzuri Sana lakini akumbuke haya na kabla ya kununua
1.nissani ni gari nzuri lakini utakapokuja kuuza kupata mteja shida Sana tofauti na Toyota
Hivi mkuu gharama za vipuri vya Nissan ni kama mara ngapi hivi ya gharama za vipuri vya Toyota?2.ghalama za uendeshaji ni kubwa kama service pamoja na vipuli
Gari za Nissan zinadumu kuliko gari za Toyota?3.kupata mafundi wazuri lazima wawe na ghalama kubwa kama zile geleji za kichina
Mwisho ukiwa nalo utakufa nalo ni ndoa ya kiroma kila hakuna padri ,kateksta,wala askofu WA kuivunja
Nitakupa jibu refu kidogo:Kuna wakati atataka kuuza kununua nyingine kupata wateja ni shida ww huoni dualis zilikuja Kasi saizi nyingi zimepaki
HahahhahahahaKuna siku nimeenda garage moja hivi ya wazi nikakuta Nissan 3 zinatengenezwa.
kwamba ni gari pekeee liloungua mwaka huu?Uamuzi ni wako..View attachment 1883243
🤣🤣🤣 Gari pendwa sana Tanzania ilo. Nadhani inaweza kuja kua ya pili after IST.Kuna mahali niliona Mad Max anadai Dualis ni gari ya kike. Sijui kwanini
Hii siyo sababu ya mtu kuacha kununua Dualis.Uamuzi ni wako..View attachment 1883243
Unaongea kama hawa wanaoitwaga walengaji japo ni kweli gharama za nissan zipo juu. Ila Kama unamiliki Toyota na unaipenda gharama zake zipo juu pia. Vifaa halisi vya toyota ni gharama.
Forester chumba ya kaziMembers naombeni mawazo hapo gari gani nzuri kwa Mtanzania mwenye kipato cha kawaida anayetaka kumiliki gari ya juu