Nina miaka 43 na nimeshajenga, tatizo ni gari

Kiume3000

Senior Member
May 17, 2021
180
218
Wakuu wangu habari zenu.

Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.

Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road.

Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita, lazima nimbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa.

Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafiri ni rahisi sana kumegwa au kumega.

Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.

Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.

Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
 
Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.

Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni..tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine

Ni mahuruma Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita..lazima numbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa. Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafir ni rahisi sana kumegwa au kumega.....


Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.

Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.

Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Ushawahi kumegwa? Kwani wewe jinsia gani
 
Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.

Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni..tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine

Ni mahuruma Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita..lazima numbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa. Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafir ni rahisi sana kumegwa au kumega.....


Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.

Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.

Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Hongera gari utapata vuta heri
 
Duh una uhakika una miaka 43? Mbona kama unavofikiria haifanani yaani unaogopa kununua gari sababu ya kumegwa na kumega? Uliona wangapi wamemegwa na kumega kwenye magari? Kwanza wanamega nini isijekua nafikiria vibaya labda unamaanisha kitu kingine?
Miaka mitano ya mzee imeenda bure ukitoa hapo ana miaka 38...sema kwa watu hawa ndio maana bunge linatunga sheria za ajabu ajabu maana wanajua watu wao wanaogopa kumegwa wakinunua Magari...
 
Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.

Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni..tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine

Ni mahuruma Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita..lazima numbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa. Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafir ni rahisi sana kumegwa au kumega.....


Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.

Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.

Usafiri kwangu ni priority kwa kweli

Usiogope fanya maamuzi
Umeweza kujenga nyumba, unasomesha watoto na kuendesha haya maisha ya kila siku, pia gari unaweza kuendesha nunua
Vitu ambavyo unaona ni hatari kwako viepuke huku ukimuomba Mungu akusaidie.
 
Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.

Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni..tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine

Ni mahuruma Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita..lazima numbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa. Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafir ni rahisi sana kumegwa au kumega.....


Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.

Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.

Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Kweli kuota mvi sio kuwa na busara
 
Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.

Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni..tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine

Ni mahuruma Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita..lazima numbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa. Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafir ni rahisi sana kumegwa au kumega.....


Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.

Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.

Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Hizi bange umevutia wapi....
 
Back
Top Bottom