gari

  1. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta Gari used Missubish Rosa au Nissan Civilian kwa ajiri ya biashara ya daladala

    Ndugu zangu kuhangaika hakuishi, mwenye connection ya mahali napoweza kupata gari nzuri kidogo ambayo ni ktk hali ya Used hapa Bongo. Nataka nijilipue kwenye biashara hizi pasua kichwa za Daladala Ktk utafiti wangu wa swali naona kama Nissan Civilian au Mitsubishi Rosa itanifaa.. Tuwekane Sawa...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Msikimbilie gari za umeme.. Je mnajua gharama za kubadili battery?

    Bei ya betri za magari yanayotumia umeme (EV) kwa mwaka 2026 inakadiriwa kuwa kati ya TSh milioni 14 na TSh milioni 56 ($5,000 – $20,000), ikitegemea ukubwa wa gari na uwezo wa betri. Ingawa gharama ya teknolojia ya betri imeshuka hadi kufikia takriban $80–$105 kwa kila kWh, bei ya kubadilisha...
  3. LOOOK

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wataalam wa EV conversion kuchangamkia fursa kwa sasa ili kubadili mfumo wa uendeshaji gari kutoka petrol kwenda umeme

    Hilo linawezekana ingawa kuna gharama ila inawezekana kabisa kwa gari nyingi zilizopo hapa tanzania kubadilishwa mfumo ila lazima fundibawe mjuzi sana wanhizi mambo
  4. Olsea

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nichukue lipi kati ya magari haya?

    Habari wakuu,naombeni ushari nilikuwa na gari aina ya toyota belta nataka kubadilisha na nimepata toyota premio second generation (T240) namba E engine 1NZ na nyingine ni toyota Premio new model (T260) namba D engine 2ZR...je nichukue ipi kati ya hizo gari mbili ikiwa bajeti zao hazipishani sana?
  5. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Mafuta yanaenda kupanda Hadi 3,500/= Kwa Lita. Kwa magari yenye CC kubwa, kazi itakuwepo

    Ndugu zangu wale wenye magari yanayobugia wese tutapaki Tu mwaka huu, Kwa vipato hivi vya kuungaunga kazi itakuwepo mwaka huu endapo vita ya Huko mashariki ya Kati kama itachukua mwaka mmoja. Jana nilikuwa na mkurugenzi mmoja wa kituo cha mafuta akaniambia nijipange na bei hii mpya ya Tsh 3,500...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nimeshawishiwa niweke Sump kwenye gari, ni kweli inasaidia kama inavyonadiwa au ni biashara tu?

    Nimeona tangazo mtandaoni la kuweka Sump guard kwajili ya ulinzi wa engine, Je ni kweli inasaidia au ni biashara tu, Ni vitu gani nizingatie
  7. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania SSP Notker Kilewa: Gari la Mgonjwa likikutana na Msafara wa Rais, gari la Mgonjwa litasubiri

    Sehemu ya majibu ya SSP Notker Kilewa wakati akihojiwa na Mwandishi wa Habari wa BOMBA FM ya MBEYA, MC Kamendu, ambapo alimuuliza “Ikiwa msafara wa Rais unapita na gari la Wagonjwa liko njiani kwa wakati mmoja, nani anapewa kipaumbele?” Mahojiano hayo yamefanyika Machi 17, 2026...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mchawi wa kwanza wa matatizo ya gari lako ni wewe mwenyewe, ni kitu gani huwa unakitatua mwenyewe au kumpa fundi maelekezo asilete ujuaji

    Kwenye oili ya usukani huwa nipo strict sana kuiweka mwenyewe, na nikipeleka kwa fundi huwa nampa maelekezo asiweke oili ya gearbox kama walivyozoea. Air filter – hii huwa naibadilisha mwenyewe au nikiwa kwa fundi namsisitiza aweke original, si zile za bei rahisi zinazoziba haraka. Engine oil...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Taa ya Engine kwenye gari

    Habari Wakuu..nina magari mawili Toyota Run x na Kulger. Magari yote mawili yana changamoto ya kuwasha taa ya Engine nikitembea distance fulani..Yani sio kwamba inawaka muda uleule nikiwasha gari labda nikitembea kilometers kadhaa ndio unakuta inawaka. Hii Run x ni ndani ya siku moja ndio huwa...
  10. Pasta Joshua

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwako

    Gari lililopata kumilikiwa na watu wengi si zuri kwako. Kila utakapopita nalo utakutana na watu wanaojitapa kulijua vzr kwa sababu walipata kulitumia; wapo watakaoelezea namna walivyokuwa wakiliburuza kwa mwendokasi, wengine wakijinasifu walivyoliendesha kwa mitindo mbalimbali
  11. M

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa Polisi walikamata Bodaboda Wananchi wakazuia gari

    Inadaiwa hapo ni Kariakoo, Polisi walikamata Bodaboda Wananchi wakazuia gari Amendika Twaha Mwaipaya, Hii ni Jana Kariakoo unaambiwa Polisi walikamata bodaboda wakapakia kwenye gari Raia wakawasha Moto bodaboda zikashushwa, unasikia hapo watu wanasema vibaka hao vibaka hao, watu wamechoka...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Mama Kanumba Alengwa Lengwa Na Machozi Mbele Ya Umati Wa Watu Baada Ya Kununuliwa Gari Mpyaaa Na Rais Samia . Amimina Shukurani Nzito Kwa Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika Rais Samia Ni Mkono Wa Mungu Uliopo Hapa Duniani, Mungu Anatenda Miujiza Yake Kupitia Rais Samia ,Rais Samia Ni chaguo la Mungu kuwafikia Watu na waja Wake. Kama Unasikiaga Mungu anatenda Miujiza Kupitia Watu basi Mtu Mwenyewe ni Rais Samia Aliyeinuliwa na...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amzawadia Gari Mama Kanumba

    Katika kilele cha Siku ya Wanawake Duniani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba gari jipya aina ya Harrier New Model. Hatua hii imekuja kama ishara ya kuthamini mchango mkubwa wa marehemu Kanumba katika kukuza...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Watu wasiojulikana wamchukua Agent wa gari ya makuti, lakini Wananchi walizunguka gari watekaji wakazuga wanamuweka kituoni

    Mbezi muda huu vibaka walipaki Gari yao hapo tangu Asubuhi, Kumbe walikuwa wanamvizia Agent wa gari ya makuti. Kabla hawajatokomea nae wananchi walizunguka gari watekaji wakazuga wanamuweka kituoni. Wamemhifadhi kituo cha Magufuli wafanyakazi wa stendi nendeni hapo kituoni vingenevyo...
  15. ClearingAgent

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari kwa ajili ya Taksi - Mtandao

    Natafuta gari ya kufanyia taksi mtandao - maarufu Bolt. Uzoefu ni miaka mitano hapa Dar es Salaam. Kwa mwenye gari anipigie kwa namba 0618163635 au WhatsApp 0652802379 Gari ni IST, Sienta, Passo, Ractis, Raum au Vitz
  16. Morning Joy Motors

    JamiiForums Tanzania Je , wajua maana ya taa za viashiria hivi kwenye dashboard ya gari yako na rangi hizi zinavyomaanisha.? Soma hapa tumekuwekea ufafanuzi.

    Kikawaida kuna rangi tatu za taa kwenye dashboard ya gari yako. Rangi hizi standard : red, orange, na green. Zingatia kwamba green wakati mwingine huwa ni blue, inategemea na aina ya gari uliyonayo ila haibadilishi maana halisi ya ka,zi yake ni kama tu vile huwa magari mengine symbol ya...
  17. M

    JamiiForums Tanzania rangi na material ipi nzuri kushonea seat cover za gari kwa mazingira na hali ya hewa ya Dar ?

    Nimeipenda rangi nyeusi ila kuna sehemu nimeambiwa huwa inanyonya sana joto Je nichukue rangi ipi au mchanganyiko wa rangi gani. material ipi nzuri kwa bei isiyozidi laki 3, gari ina siti tano
  18. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Una gari, pikipiki, jenereta nunua mafuta ya kutosha haraka weka ndani

    Huu ni upendo mtu kukukumbusha jambo jema kwa faida yako . Siku za usoni aidha mafuta yatapanda bei au kupotea kabisa.
  19. M

    JamiiForums Tanzania uliwahi kukwaruzwa au kuharibiwa gari na dereva wa bajaji au bodaboda anaeendesha kwa pupa, fujo, uzembe, kutotii sheria, n.k. ?

    Madereva wa bajaji na bodaboda ni moja ya kundi lenye madereva ambao wamekuwa wakilalamikiwa sana kwa kukosa utulivu barabarani. Wengine huendesha kwa pupa kukimbizana na pesa, wengine kwa fujo kuonekana maridadi mbele ya wenzao, wengine hawazijui kabisa sheria za barabarani wanaingia kwa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Ukiuza gari uliyolipia bima, unaweza kuihamisha bima kwenye gari lengine lisilo na bima

    Mfano gari umeiuza ikiwa na bima iliyobaki miezi 10 hadi kuisha. Je unaweza kuhamisha bima kwenye gari lengine lisilo na bima au kucancel bima na kuomba fidia ?
Back
Top Bottom