gari

  1. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Video: Cocobeach ajali ya pili gari inawaka moto hakuna point za fire eneo lote Coco

    JF Video ya sekunde 16 inagoma ku upload hebu na nyie wekeni miundo mbinu yenu vizuri….yaani Video sekunde 16 inagoma ? Wakuu mko serious ?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Polisi na zimamoto wanaposema walifanikiwa kuzima moto wakati moto huo umeteketeza kabisa nyumba au gari, wana maana gani? Si moto ungezimika wenyewe?

    Jana tena katika ajali ya basi na Aphard huko Moshi, msemaji wa Polisi anasema vikosi vya polisi na Zimamoto walifanikiwa kuzima moto. Nashindwa kujua hayo mafanikio wanayoyataja ikiwa hali ya basi lililoungua ni kama hapa chini. Kauli hizo ni sawa na zile nyingine kauli potoshaji za Polisi...
  3. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Gari hizi zinauzwa bei nafuu landcruiser 55m, harrier anaconda 50m, v8 vxr lc 300 mpya bei 750m

    HIlo gari juu landcruiser inauzwa 55,000,000 TZS HIlo gari juu harrier anaconda inauzwa 50,000,000 TZS Wale wapenda chombo cha moto kipya ni landcruiser lc300 ni jipya new bei 750,000,000 TZS., Magari yote yanapatikana mkoa wa dar es salaam, wilaya ya kinondoni, kuona 30,000 TZS,,, Wasiliana...
  4. Dallas green

    JamiiForums Tanzania Gari IST au spacio inahitajika

    Wakuu poleni na hongereni kwa majukumu, inahitajika gari aina tajwa apo juu kwa mmiliki halali wa gari iyo na anataka kuiuza basi anitumie picha na price yake inbox mim sio mfanya biashara ila nahitaji kununua second hand so kwa namna flani kwa njia hii naamini ntapata gari nzuri bila kupitia...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Gari la mkataba au hesabu

    Wakuu habri ya majukumu, mimi ni mkazi wa dar es salaam nina account ya bolt na ninahitaji gari ya mkataba au hesabu kwa ajili ya bolt mawasiliano yyangu ni 0786670079
  6. D

    JamiiForums Tanzania Gari la kusafisha pikipiki kutoka Dodoma Hadi Ngara Kagera.

    Nahitaji usafiri wa gar kwa ajili ya kusafirisha pikipiki kutoka Dodoma kwenda Ngara - Kagera.
  7. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Video: Heche adai kufuatiliwa na gari namba T 318 EQJ

    Makamu Mwenyekiti wa ChademaTz Bara leo Julai 29, 2026 akihutubia kwenye mkutano wa ndani wa chama hicho uliofanyika jijini Mwanza ameeleza kuwa kuna gari aina ya Toyota Land Cruiser (hardtop) nyeupe iliyofika nyumbani kwake asubuhi ikiwa na namba za usajili T 318 EQJ, baada ya kufanya uchunguzi...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Doyo: RC na DC wanapewa gari la Milioni 200 wanaenda wapi?, Miaka 52 tangu nizaliwe sijaona maji Handeni

    Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akizungumza kwenye mahojiano na Crown Media leo Julai 29, 2026, anaeleza kuwa Kijijini kwao Handeni Tanga, kuna changamoto ya Maji kwa Miaka zaidi ya 52 sasa tangu azaliwe. Aidha, Doyo ameeleza kuwa wakati anagombea nafasi ya Urais mwaka 2025...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    1. Kuhusu "gari jipya" kwa maana ya watanzania wengi Ninapotumia neno gari jipya, simaanishi gari lililotoka kiwandani 0km moja kwa moja. Katika mazingira ya Tanzania, mara nyingi ni gari la mtumba lililoagizwa kutoka Japan au gari ambalo lipo showroom tayari limeagizwa. 2. Magari...
  10. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Gari Moja lina kodi zisizozidi kumi na tano tu, msiogope!

    Unapoagiza gari lililotumika kutoka nje ya nchi kwenda Tanzania, unalipa kodi za : 1.Ushuru wa Forodha (Import Duty - 25%), Ushuru wa Bidhaa (Excise Duty), . Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT - 18%). Ushuru wa Forodha (Import Duty): Kiwango chake ni 25% ya thamani ya CIF. Hutozwa kulingana...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Nilichogundua Watanganyika ni wepesi mno kudanganyika na Chama kile wameshawajua walivyo wasahalifu na kuwachezea tuendelee kusukuma gari tukiwa ndani

    Mtu Yuko ndani ya gari anakuambia tuendelee kusukuma tukiwa ndani litasogea TU . Tunashangilia tuanaacha kuliondoa gari bovu tuingiingize gari jipya lenye uwezo wa kutuvusha hapa . Tunaamini divai mpya kwenye kiriba kile kile Cha zamani italeta mabadiliko yoyote Gari ilipopata ajali huyu...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Dereva Bolt/ Gari

    Habari! Mimi ni Dereva mzoefu na nimeendesha Gari kwa miaka mitano Sasa Bila kupata Ajali, Natafuta Gari ya mkataba Au Hesabu kwaajili ya kutumia kama Uber na Bolt. Akaunti ya Bolt ninayo, Pia nipo Tayari kuwa Dereva wa Mtu au Kampuni. Namba zangu Hizi: 0614424736
  13. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Hawa wahuni wamenipiga au ni real? Gari iingie Nchini 2013 mpaka leo iwe na km 150,000 tu. Inawezekana?

    Nikicheck Odo sasa hivi ndo nawaza kuwa hawa wahuni huenda kuna mchezo wamenichezea. Wabongo si watu wa kuaminika. Wakongwe na wazoefu nipeni experience katika hili. Ilikuja bongo kwa ajili ya mradi maalumu then ikawa ya mtú na sasa kavuta. Mtoto hawezi kuiendesha /kuigharamia Thanks
  14. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Gari yangu haijawahi kutoka Dodoma, ila ina deni linaloonesha ilikamatwa Dar

    Askari wa Usalama Barabarani waache kubambika madeni kwenye magari ya watu, gari yangu ilikatiwa deni ambalo siyo langu, ilionekana ilikamatwa kwa Mwingira Dar es Salaam wakati gari haijawahi kutoka nje ya mkoa ninao ishi ambao ni Dodoma. Nimefuatilia na ikajulikana traffic aliyefanya hilo kosa...
  15. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Treni kugongwa na gari imesababisha kifo

    wakuu mmeamkaje, mimi niko salama. Mods naomba mnisaidie kurekebisha kichwa cha habari kama mada haitaendana na nitakachoandika. Majuzi mishale ya saa sita usiku ilitokea ajali mbaya sana ambapo treni iligongwa na gari, maeneo ya kipunguni relini, barabara ya kuelekea moshi bar, kwa wale watu...
  16. M

    JamiiForums Tanzania KERO Hivi Polisi na Trafiki wapo kweli? Tazama gari kama hili bado barabarani

    Polisi wanachoweza ni kukamata watu wanao panga maandamano tu. Ila usalama wa watu barabarani hawawahusu. Hampati taairifa za hatari kama hizi ila mnapata za CHADEMA tu, kazi yenu nini sasa iwapo gari kama hili linaloweza kuhatarisha maisha ya watu na mali zao linatembea barabarani. Mmesahau...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Naomba sababu kwanini niendelee kutumia mafuta zaidi ya 400K kila mwezi wakati ninaweza kubadili gari itumie gesi ya 60K hadi 100K kwa mwezi

    Tuchukulie mfano wa mtu anayesafiri km 30 hadi 35 kila siku ndani ya mji. Kwa mwezi (siku 30), atakuwa amesafiri takribani km 900. Petrol - 4000 kwa lita Gesi - 1545 kwa Kg Sasa tuangalie upande wa gesi. Kwa gari la CC 1900, mfano Nissan X-Trail, kwa mafuta inaweza kukulamba lita 1 kwa km...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Gari yangu inadaiwa faini ya Polisi, inaonesha ilitozwa Mlandizi wakati sijawahi kufika huko

    Nimekagua gari yangu kwenye mfumo wa Polisi unaonesha nina faini ya ubovu wa gari, faini hiyo imepigwa Mlandizi ndani ya wiki tatu zilizopita wakati sijawahi kufika kabisa na gari, pia kwa muda huo lilikuwa halitumiki. Nimejaribu kufuatilia kwa mamlaka husika nimekwama, Leseni hiyo siyo yangu...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Gari za umeme mtupu ni nzuri ila kwa africa zitusubiri kwanza mpaka tutakapo zikifikia gari za mafuta za mwaka 2026 zikawa kitonga.

    Gari za umeme ni nzuri na hazitumii mafuta ni kuchaji tu. Kwa africa sio za kuzipokea haraka maana hatuna uwakika wa umeme,miundo mbinu ya vituo vya kuchaji,mifumo ya mazingira ya gari . Hizi barabara zetu nikama unachezea pesa.
  20. D

    JamiiForums Tanzania Hivi Ni Kweli Gari ya M/Mwenyekiti ni M400?!!!

    Bila shaka wananchi wategemee kuyaona ya M800-1B baada ya kushika madaraka 2090. Mark my words.
Back
Top Bottom