Game kuchezwa Zanzibar ni Funzo kwetu

Game kuchezwa Zanzibar ni Funzo kwetu

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
228
Reaction score
933
Kuna jambo la kujifunza hapa kwa timu zetu za ndani: mamlaka ya yakishaamua jambo, hata kama una ukakasi nalo - weka hisia pembeni, tii mamlaka.

Naamini kabisa uongozi wa simba walijua kabisa ni ngumu/haiwezekani CAF kubadilisha maamuzi ila waliamua kuingiza chaka mashabiki zao kwa kufanya mazoea.

Na sisi mashabiki tupunguze hisia kwa hizi timu ni muhimu kujua mipaka yetu na Sheri’s za CAF ili kupunguza mazoea kwa viongozi wetu

NB:Na hii ni fainali ya Afrika, sio mechi ya ligi.

Visit NDANDA
 
Kuna jambo la kujifunza hapa kwa timu zetu za ndani: mamlaka ya yakishaamua jambo, hata kama una ukakasi nalo - weka hisia pembeni, tii mamlaka.

Naamini kabisa uongozi wa simba walijua kabisa ni ngumu/haiwezekani CAF kubadilisha maamuzi ila waliamua kuingiza chaka mashabiki zao kwa kufanya mazoea.

Na sisi mashabiki tupunguze hisia kwa hizi timu ni muhimu kujua mipaka yetu na Sheri’s za CAF ili kupunguza mazoea kwa viongozi wetu

NB:Na hii ni fainali ya Afrika, sio mechi ya ligi.

Visit NDANDA
Waziri anazurura na klabu ya soka utadhani kit manager huku majukumu yake ya msingi yanamshinda halafu unawaambia mashabiki wa Simba wajue mipaka yao?

Hao waarabu wanatunishiana misuli na CAF kila siku ikiwemo kuwasha mimoshi na kuleta vurugu mbele ya viongozi wa CAF, sisi mbona wastaarabu sana.

Anayestahili lawama apewe na azipokee badala ya kurushiana mipira au kutafuta mnyonge wa kumwangushia jumba bovu.
 
Jenga kiwanja chako kwanza.. kama azam ama tp mazembe kisha ndio ufosi mechi ichezwe kwenye uwanja wako. Ila sio sahihi kuita uwanja uliojengwa na mwenzako kudai ni wako mechi ichezwe hapo
 
Jenga kiwanja chako kwanza.. kama azam ama tp mazembe kisha ndio ufosi mechi ichezwe kwenye uwanja wako. Ila sio sahihi kuita uwanja uliojengwa na mwenzako kudai ni wako mechi ichezwe hapo
Unaandika vitu vya hisia bila utafiti,hao bercane Wana UWANJA?
 
Back
Top Bottom