Fursa: Muda wa kuanzisha chama cha siasa ni sasa

MSHINO

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,067
709
Wana jamii kama kuna kipindi kizuri cha kuanzisha chama cha kisiasa na kupata wafuasi ni sasa, kwa sababu zifuatazo;-

Kuna tofauti ndani ya chama Tawala na ndani ya vyama vya upinzani; CDM, CUF na ACT si shwari, ndani ya CCM kuna msuguano mkali wapo wanaopenda kuona mabadiliko km alivyoanza R.I.P JPM, kuna wanao ona Mama Samia anafuata mfano wa utawala wa JK. wengine wanaona wote walienda tofauti.

Kama mnakumbuka Marehemu JPM alipata wakati mgumu kwenye kampeni mpaka akawa anasema yeye siyo mwana siasa yeye anachojua ni kazi tu. Baada ya hapo tuliona wengine wakilalamika kuwa walikatwa mikia.

Siku hizi hakuna wanasiasa jasiri km akina Kasangatumbo, Fundikila, Mchungaji Mtikila, Maalim Seif na lile group lilojaribu kuanzisha chama cha CCK, viongozi wa sasa wanakufa na tai shingozni, ni waoga.

Kama kuna yoyote atakaeweza kuanzisha chama kipya sasa hivi atavuna kutoka CCM na vyama vya upinzani.

Albert Einstein: Politics Is More Difficult than Physics

 
Hana point yoyote, misuguano ipo mpk kwenye makanisa
Point ipo, najua wana CCM hamtapenda kusikia kuwa kuna mpasuko ndani ya CCM, km ulimsikia RC aliyetumbiiwa kuwa kanda ya ziwa bado wana amini ktk JPM, na ukisikia kauliza waziri wa fedha jana kuwa Mama anaongoza kwa style ya JPM. basi utajua kuwa CCM SI SHWARI
 
Kwani kukupa elimu au kuku rimind km kuna fursa ni makosa/

Fursa uione ww, kisha utake wengine waifanyie kazi. Ungeanzisha ww hicho chama maana umeshaona uwezo wa kufaidika na hilo.
 
Wana jamii kama kuna kipindi kizuri cha kuanzisha chama cha kisiasa na kupata wafuasi ni sasa, kwa sababu zifuatazo;-

Kuna tofauti ndani ya chama Tawala na ndani ya vyama vya upinzani; CDM, CUF na ACT si shwari, ndani ya CCM kuna msuguano mkali wapo wanaopenda kuona mabadiliko km alivyoanza R.I.P JPM, kuna wanao ona Mama Samia anafuata mfano wa utawala wa JK. wengine wanaona wote walienda tofauti.

Kama mnakumbuka Marehemu JPM alipata wakati mgumu kwenye kampeni mpaka akawa anasema yeye siyo mwana siasa yeye anachojua ni kazi tu. Baada ya hapo tuliona wengine wakilalamika kuwa walikatwa mikia.

Siku hizi hakuna wanasiasa jasiri km akina Kasangatumbo, Fundikila, Mchungaji Mtikila, Maalim Seif na lile group lilojaribu kuanzisha chama cha CCK, viongozi wa sasa wanakufa na tai shingozni, ni waoga.

Kama kuna yoyote atakaeweza kuanzisha chama kipya sasa hivi atavuna kutoka CCM na vyama vya upinzani.

Albert Einstein: Politics Is More Difficult than Physics

Mi nitakuwa Mwanachama namba mbili!
 
Umechelewa sasa wameweka masharti hayo acha kabisa hutaweza kupata usajili ...wameona wadanganyika wanaanza kuamka .....tafuta tovuti ya msajili uone walivyobana ni sawa na walivyoweka ngumu kuungana...wanaogopa ukawa iliwavuruga muulize JK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom