Habari zenu wataalam,
Najua wengi wetu tumepiga hatua tulipo sasa baada ya kukutana na changamoto fulani huko nyuma ambayo imekua ni fursa.
Kuna kijana wa karibu nilikua namuona ana jitihada sana katika masomo ya habari (chuo kikuu) nilipojaribu kumuuliza ni kipi kinachomfanya awe bize zaidi kwenye kile anachokisomea akanijibu ni kwa sababu ana shauku ya kuja kumwonesha mzazi wake ambae alimkatalia kusoma kidato cha tano na kweli kijana alishindwa kusoma kidato cha tano kutokana na ukaidi wa baba.
Basi aliamua kuenda chuo kuanza cheti kwa siri na baadae mzazi wake alijua. Mzazi wake huyo huyo alikataa kumlipia ada isipokua relative's wake walikua wakimptia msaada wa mwaka wa kwanza.
Na ni kweli sasa kijana ameajiriwa baada ya kupata cheti, huku sasa anaendelea kusoma diploma.
Nikaona changamoto yake ya kukataliwa kusoma na mzee na kutokupewa ushirikiano katika suala la ada ilimsaidia kupambana mpaka kupata ajira hiyo.
Sasa tujikumbushe na sisi changamoto zilizotukumba ambazo baadae ziligeuka kuwa Fursa ili iwatie hamasa wengine.
Asanteni
Najua wengi wetu tumepiga hatua tulipo sasa baada ya kukutana na changamoto fulani huko nyuma ambayo imekua ni fursa.
Kuna kijana wa karibu nilikua namuona ana jitihada sana katika masomo ya habari (chuo kikuu) nilipojaribu kumuuliza ni kipi kinachomfanya awe bize zaidi kwenye kile anachokisomea akanijibu ni kwa sababu ana shauku ya kuja kumwonesha mzazi wake ambae alimkatalia kusoma kidato cha tano na kweli kijana alishindwa kusoma kidato cha tano kutokana na ukaidi wa baba.
Basi aliamua kuenda chuo kuanza cheti kwa siri na baadae mzazi wake alijua. Mzazi wake huyo huyo alikataa kumlipia ada isipokua relative's wake walikua wakimptia msaada wa mwaka wa kwanza.
Na ni kweli sasa kijana ameajiriwa baada ya kupata cheti, huku sasa anaendelea kusoma diploma.
Nikaona changamoto yake ya kukataliwa kusoma na mzee na kutokupewa ushirikiano katika suala la ada ilimsaidia kupambana mpaka kupata ajira hiyo.
Sasa tujikumbushe na sisi changamoto zilizotukumba ambazo baadae ziligeuka kuwa Fursa ili iwatie hamasa wengine.
Asanteni