Hata mbwa anaweza kufundishwa na kufanya baadhi ya mambo, binadamu anapaswa kuwa juu ya kufundishwa.
ANAWAJIBIKA kwa kutumia akili yake mwenyewe kuzalisha maarifa sio kupokea tu maarifa.
Anayepokea tu maarifa pasipo kuzalisha maarifa bado ni mfungwa.
Ana ufungwa ule ule ambao anao mbwa...