Tanzania tunaathirika na udhaifu wa fikra (Inferiority Complex) wa viongozi wetu wakuu

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,798
12,240
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.

Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.

Wa tatu ni Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma ambaye baada ya kugundua hatoshi katika nafasi hiyo ameamua kujinyenyekeza kwa serikali, badala ya kulinda Katiba na sheria za nchi kwa kutenda na kuamua kwa haki masuala ya kisheria anafanya vile serikali inavyotaka! Hii ni hatari kubwa kwa mustakabali wa Taifa kwani mahakama sasa imekuwa chombo cha kugandamiza wananchi! Uhuru wa mahakama umetekwa na serikali na sasa muhimili yote mitatu ya dola; serikali, mahakama na bunge inashirikiana kuvunja Katiba na sheria! Viongozi wanafanya na kuamua wanavyotaka wenyewe bila kuheshimu katiba na sheria.

Wananchi tumebaki na jambo moja tu la kufanya, nalo ni kuendelea kupiga kelele na kuwazomea viongozi hawa kwa kadri tutakavyoweza hadi watakapojirekebisha kwani hatuna namna nyingine ya kufanya. Midomo yetu ndiyo silaha yetu!
 
Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.
Huyu mama ana elements za udikteta.

Zilijionesha wakati wa kampeni ambapo alitoa kauli za kifedhuli kwa wananchi baada ya kuona CCM inazidiwa nguvu na Lisu wa chadema kwamba "hata wakipigia kura upinzani CCM itaunda serikali"
 
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.

Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.

Wa tatu ni Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma ambaye baada ya kugundua hatoshi katika nafasi hiyo ameamua kujinyenyekeza kwa serikali, badala ya kulinda Katiba na sheria za nchi kwa kutenda na kuamua kwa haki masuala ya kisheria anafanya vile serikali inavyotaka! Hii ni hatari kubwa kwa mustakabali wa Taifa kwani mahakama sasa imekuwa chombo cha kugandamiza wananchi! Uhuru wa mahakama umetekwa na serikali na sasa muhimili yote mitatu ya dola; serikali, mahakama na bunge inashirikiana kuvunja Katiba na sheria! Viongozi wanafanya na kuamua wanavyotaka wenyewe bila kuheshimu katiba na sheria.

Wananchi tumebaki na jambo moja tu la kufanya, nalo ni kuendelea kupiga kelele na kuwazomea viongozi hawa kwa kadri tutakavyoweza hadi watakapojirekebisha kwani hatuna namna nyingine ya kufanya. Midomo yetu ndiyo silaha yetu!
Wa nne ni yule aliye amua kujiita jiwe. Hiyo ndiyo pure inferiority complexity. Ukali mwingi na kujihami kwingi.
 
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.

Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.

Wa tatu ni Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma ambaye baada ya kugundua hatoshi katika nafasi hiyo ameamua kujinyenyekeza kwa serikali, badala ya kulinda Katiba na sheria za nchi kwa kutenda na kuamua kwa haki masuala ya kisheria anafanya vile serikali inavyotaka! Hii ni hatari kubwa kwa mustakabali wa Taifa kwani mahakama sasa imekuwa chombo cha kugandamiza wananchi! Uhuru wa mahakama umetekwa na serikali na sasa muhimili yote mitatu ya dola; serikali, mahakama na bunge inashirikiana kuvunja Katiba na sheria! Viongozi wanafanya na kuamua wanavyotaka wenyewe bila kuheshimu katiba na sheria.

Wananchi tumebaki na jambo moja tu la kufanya, nalo ni kuendelea kupiga kelele na kuwazomea viongozi hawa kwa kadri tutakavyoweza hadi watakapojirekebisha kwani hatuna namna nyingine ya kufanya. Midomo yetu ndiyo silaha yetu!
Arudi Zanzibar, wala hatukumuchagua. Sis Bara ndiyo wapumbafu, Rais anataka Zanzibar vipi hilo - vunjeni Mwungano. Hstuhitaji hao viongozi toka Zanzibar
 
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.

Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.

Wa tatu ni Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma ambaye baada ya kugundua hatoshi katika nafasi hiyo ameamua kujinyenyekeza kwa serikali, badala ya kulinda Katiba na sheria za nchi kwa kutenda na kuamua kwa haki masuala ya kisheria anafanya vile serikali inavyotaka! Hii ni hatari kubwa kwa mustakabali wa Taifa kwani mahakama sasa imekuwa chombo cha kugandamiza wananchi! Uhuru wa mahakama umetekwa na serikali na sasa muhimili yote mitatu ya dola; serikali, mahakama na bunge inashirikiana kuvunja Katiba na sheria! Viongozi wanafanya na kuamua wanavyotaka wenyewe bila kuheshimu katiba na sheria.

Wananchi tumebaki na jambo moja tu la kufanya, nalo ni kuendelea kupiga kelele na kuwazomea viongozi hawa kwa kadri tutakavyoweza hadi watakapojirekebisha kwani hatuna namna nyingine ya kufanya. Midomo yetu ndiyo silaha yetu!
kweli tupu.
 
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.

Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.

Wa tatu ni Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma ambaye baada ya kugundua hatoshi katika nafasi hiyo ameamua kujinyenyekeza kwa serikali, badala ya kulinda Katiba na sheria za nchi kwa kutenda na kuamua kwa haki masuala ya kisheria anafanya vile serikali inavyotaka! Hii ni hatari kubwa kwa mustakabali wa Taifa kwani mahakama sasa imekuwa chombo cha kugandamiza wananchi! Uhuru wa mahakama umetekwa na serikali na sasa muhimili yote mitatu ya dola; serikali, mahakama na bunge inashirikiana kuvunja Katiba na sheria! Viongozi wanafanya na kuamua wanavyotaka wenyewe bila kuheshimu katiba na sheria.

Wananchi tumebaki na jambo moja tu la kufanya, nalo ni kuendelea kupiga kelele na kuwazomea viongozi hawa kwa kadri tutakavyoweza hadi watakapojirekebisha kwani hatuna namna nyingine ya kufanya. Midomo yetu ndiyo silaha yetu!
Viongozi wengi wako kwenye hii category
 
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.

Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.

Wa tatu ni Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma ambaye baada ya kugundua hatoshi katika nafasi hiyo ameamua kujinyenyekeza kwa serikali, badala ya kulinda Katiba na sheria za nchi kwa kutenda na kuamua kwa haki masuala ya kisheria anafanya vile serikali inavyotaka! Hii ni hatari kubwa kwa mustakabali wa Taifa kwani mahakama sasa imekuwa chombo cha kugandamiza wananchi! Uhuru wa mahakama umetekwa na serikali na sasa muhimili yote mitatu ya dola; serikali, mahakama na bunge inashirikiana kuvunja Katiba na sheria! Viongozi wanafanya na kuamua wanavyotaka wenyewe bila kuheshimu katiba na sheria.

Wananchi tumebaki na jambo moja tu la kufanya, nalo ni kuendelea kupiga kelele na kuwazomea viongozi hawa kwa kadri tutakavyoweza hadi watakapojirekebisha kwani hatuna namna nyingine ya kufanya. Midomo yetu ndiyo silaha yetu!
Je ni kweli wagogo wanadharaulika?
 
Chanzo cha tatizo ni CCM, ili kuficha mapungufu ya kiutendaji ya wakuu wa mihimili yote ya dola na uwajibikaji wao, kwa hiyo wameona ni vyema kubadilisha matakwa ya sheria na kuwapa wote kinga ya kutokushitakiwa.

Hapo ndipo wabunge wa CCM walipofanya kosa kubwa. Na hicho ndicho chanzo cha kulindana hata kama wakuu hao wanafanya mambo ya hovyo kabisa.

Ayubu kwa kutambua kuwa ana kinga ya kutoshitakiwa baada ya kumaliza uongozi wake wa Bunge, ndiyo maana ana kiburi cha kuwalea hao wabunge 19 wajulikanao kama COVID 19.
 
Tukianza na Rais yeye anafikiri kuna watu wanamdharau kwa kuwa yeye ni mwanamke. Mawazo haya amekuwa nayo hata kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mara baada ya kuapishwa hotuba yake rasmi kama Rais alitamka kwa msisitizo kuwa yeye ni Rais mwanamke! Hali iliyoashiria kuwaonya wale waliomuona kama ni mwanamke na siyo kiongozi! Kutokana na fikra hizo alizonazo amekuwa akifanya maamuzi yasiyo sahihi anapokosolewa kisiasa na katika utendaji wake na viongozi hasa wa upinzani! Hili ameonyesha wazi kwa jinsi anavyoshughulikia suala la Mbowe kuwa anamdharau. Lakini pia ameonyesha jinsi anavyohamaki akikosolewa na viongozi wenzake ndani ya CCM.
Mkuu Ileje , hili la inferiority complex kwa viongozi wetu, niliwahi izungumza humu
Kiongozi wa pili mwenye matatizo haya ni Spika Ndugai ambaye anaona anashambuliwa katika mitandao ya jamii na pia kudharaulika na viongozi wenzake kwa sababu eti yeye ni MGOGO kwa kabila. Kwamba angekuwa anatoka kabila jingine yasingemkuta hayo madharau! Kutokana na hili na kwa kuwa anataka kuonyesha kuwa na wagogo wanaweza amekuwa akifanya na kuamua mambo kinyume cha Katiba na kuvunja sheria. Mambo haya aliyaonyesha kwa namna alivyoendesha bunge la serikali ya awamu ya tano kwa kuwanyanyasa wabunge wa Chadema kwa kuwafukuza hovyo kadri alivyojisikia. Aidha ameendeleza jambo hili la kuvunja Katiba na sheria kwa namna anavyoendelea kuwalea wabunge wasio na chama maarufu civid-19. Kwa sasa udhaifu wake wa fikra umepelekea aanze kukabiliana na wanachama wenzake wa CCM.
Hili pia la makabila inferior na makabila superior pia niliwahi kulizungumzia humu,

ila pia nilizungumzia tatizo fulani la watu wafupi...

Heri ya mwaka mpya
P
 
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Tulipaswa kuliamsha dude la maandamano nchi isitwalike. Lkn kwa ujinga huu wa wadanganyika tutaburuzwa sana
Kelele si hizi tu za kukaa nyuma ya keyboards bali pia kuonyesha kwa vitendo!
 
Arudi Zanzibar, wala hatukumuchagua. Sis Bara ndiyo wapumbafu, Rais anataka Zanzibar vipi hilo - vunjeni Mwungano. Hstuhitaji hao viongozi toka Zanzibar
Mwinyi aka Mzee Ruksa aliongoza vizuri pamoja na Uzanzibari wake!
 
Huyu mama ana elements za udikteta.

Zilijionesha wakati wa kampeni ambapo alitoa kauli za kifedhuli kwa wananchi baada ya kuona CCM inazidiwa nguvu na Lisu wa chadema kwamba "hata wakipigia kura upinzani CCM itaunda serikali"
Kutoka kauli ile nilipoteza kabisa imani nae.
 
Je ni kweli wagogo wanadharaulika?
Historia inawahukumu kwa kushindwa kutumia rasilimali walizokuwa nazo kujiendeleza, hata hivyo jambo hili kinaendekezwa na wale wachache waliobahatika kupata nafasi za uongozi!
 
Je ni kweli wagogo wanadharaulika?
Historia inawahukumu kwa kushindwa kutumia rasilimali walizokuwa nazo kujiendeleza, hata hivyo jambo hili kinaendekezwa na wale wachache waliobahatika kupata nafasi za uongozi!
Mkuu Ileje , hili la inferiority complex kwa viongozi wetu, niliwahi izungumza humu

Hili pia la makabila inferior na makabila superior pia niliwahi kulizungumzia humu,

ila pia nilizungumzia tatizo fulani la watu wafupi...

Heri ya mwaka mpya
P
Tunapaswa kulisemea na kulikemea jambo hili tena na tena ili kuleta ukombozi wa kifikra vinginevyo viongozi wa namna hii wataliangamiza Taifa!
 
Back
Top Bottom