experience

Experience is the process through which conscious organisms perceive the world around them. Experiences can be accompanied by active awareness on the part of the person having the experience, although they need not be. Experience is the primary subject of various subfields of philosophy, including the philosophy of perception, the philosophy of mind, and phenomenology.
Several different senses of the word "experience" should be distinguished from one another. In the sense of the word under discussion here, "experience" means something along the lines of "perception", "sensation", or "observation". In this sense of the word, knowledge gained from experience is called "empirical knowledge" or "a posteriori knowledge". This can include descriptive knowledge (e.g. finding out that certain things are true based on sensory experience), procedural knowledge (e.g. learning how to perform a particular task based on sensory experience), or knowledge by acquaintance (e.g. familiarity with certain people, places, or objects based on direct exposure to them).
In ordinary language, the word "experience" may instead sometimes refer to one's level of competence or expertise, either in general or confined to a particular subject. In this sense of the word, "experience" generally refers to know-how rather than descriptive knowledge (or in other words, on-the-job training rather than book-learning). This article is not about "experience" in this sense, but is instead about the immediate perception of events.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Experience ya dawa za nguvu za kiume

    Tukiwa chuo kuna mwana alikuwa anapenda sana kitu inaitwa "Njoinjoi" bila shaka nitakuwa sijakosea. Kwenye story anatoa sifa sana kuhusu hii kitu. Mim sikuwahi kuitumia kwanza hata pisi tu kuzipata ilikuwa shida 😂. Mwaka 2022, kuna mwana nikakutana nae tena ananipa story za vitu unapaka...
  2. TheGreatest Of AllTime

    Wale waliopanda mti uitwao MDODOMA nyumbani, nisaidieni experience juu ya huu mti

    Wengine huiita trichilia emetica. Changamoto za wadudu, matawi kudondoka, mbegu kudondoka, kuhifadhi popo, etc Karibuni
  3. Kazanazo

    Kipi kinakutoaga kwenye mood? Karibu tushirishane

    Mood imenitoka baada ya kusubiri dili fulani la pesa ila dakika za mwisho mambo yakaenda tofauti Vipi wewe mdau kipi kinakutoaga kwenye mood karibu tushee experience
  4. darautobroker

    Car4Sale Experience the difference: Unique Nissan X-Trail for sale

    Bei/Price TSH 14.5M Call +255 747 999 927 NISSAN X-TRAIL Year: 2000 Engine: 1990Cc Mileage: 88,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Roof Racks Alloy Wheels Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  5. Amani Girls Organization

    Nane nane experience

    The journey to Nane Nane this year was exciting, full of lessons and knowledge exchange. About 12 farmers from Singida Region travelled for this amazing experience—Farmers Day, famously known as Nane Nane Day – (8th August 2025)! But this was not just an ordinary Nane Nane; it was an...
  6. britanicca

    GE2025 2025 Timinga ya Tanzania ku experience uongozi wa Chama tofauti

    Baada ya Reforms Nina uhakika , Mwaka 2025 ni Mwaka sahihi wa Upinzani kuchukua nchi! Sababu ziko wazi kabisa 1. Wananchi wameelimika zaidi 2. SERIKALI imeanza kuona ni lazima uchaguzi uwafanye wao kushinda jambo ambalo si sahihi 3. Wenye ushawishi kwenye Chama Tawala wanakufa wakaktu...
  7. Mwachiluwi

    Hivi hii kitu mmeshwai kupata experience nacho

    Una amua kutoka na mtoto matembezi ya kwaida una kutana na wafanya biashara hawa labda anauza vidoli vya kuchezea watoto huna ratiba na kununua iko yeye ana enda mpa mtoto achezee kumuonjesha mtoto una mkataza ataki ana anza kukupigia kelele za kilio kitu cha 2000 mtu ana kuambia 5000 kwasababu...
  8. Tommy 911

    Mkemia natafuta kazi nina experience ya miezi 10 kama quality controller

    Habarini wana jf mm ni quality control katika kampuni fulani nina miezi 10 nina bsc chemistry. nina maiaka 24 nipo dar- es- salaam....natafuta nafasi ya qc au mkemia katika kampuni au taasisi yoyote lengo ni kupata new experience and exposure kwa wenye connection viwandani au popote msaada...
  9. L

    Mwenye experience na wilaya ya muleba kata ya nshamba

    Wakuu naombeni msaada kwa anaepafahamu nshamba muleba unisaidie vp kuhusu mazingira, uchumi , watu wake kiujumla
  10. Bigmaaan

    Life Lesson: Usifanye deal na Mwanamke

    Kwema wakuu? Leo, nimepata tukio moja la masuala ya hela ambalo nilifanya na mwanamke mmoja, kazi imekamilika, zimeanza ngonjera. Hili ni tukio la Nne maishani mwangu, so nimejifunza, usifanye deal na mwanamke. NEVER.
  11. L

    Mwenye experience na wilaya ya muleba

    Wakuu naomba mnijuze .. ntatarajia kwenda kuishi wilaya ya muleba vp maisha kiujumla Hali ikoje especially huduma za kijamii ,nature ya watu na mazingira, uchumi
  12. C

    Biashara fulani inalipa sana pale ukisimuliwa

    Wadau Kila mtu ashawai kusimuliwa biashara fulan na faida inayopatikana ila alipojaribu alikutana na moto wa hatari , Ugumu , kukata ela , kupoteza ramani kabisa. Naomba tuelezee hapa chini biashara gani uliwahi kuifanya ikakutokea pabaya 😅😅 ???
  13. Saba_Spare supplies

    Spare Hadimu za magari ya Uingereza, Sweden na Germany

    Ningependa tu discuss. Ni spare ya brand ya gari ya Uingereza, Ujerumani na Sweden inakusumbua kuipata na umechukua hatua gani ikashindikana.
  14. dogman360

    Usisome Master's kabla ya kupata experience ya kazi . Utakufa na msongo wa mawazo

    .
  15. Windson

    Experience toka kwa watu waliooa wanawake waliolelewa na mzazi mmoja

    Habari zenu wakuu, naomba kupata dokezo ni changamoto zipi mlikutananazo kwa wale waliooa mabinti waliolelewa ma mzazi mmoja? Hasa mama pekee baada ya ndoa ya wazazi wake kuvunjika au kuoa wanawake wengine (polygamy)
  16. BabaMorgan

    Mimi na Mama Vanesa experience ya fumanizi

    Fumanizi ni two way traffic linamuumiza aliyefumania na aliyefumaniwa tulia nikupe mkasa wa kufumaniwa na mke wa mtu mama Vanesa sio jina halisi. Toka nimeanza kujitegemea maisha hayajawi kuwa mepesi siku za furaha ni chache ukilinganisha na siku za stress, visanga na majuto mwaka 2022 katikati...
  17. R

    Biashara ni mchakato: Learn → Get Experience → Build networks → ndipo uwaze mtaji, Watanzania wengi wanafanya kinyume ndio maana wanafeli

    Biashara ni mchakato: Jifunze kwanza, kisha pata ujuzi, jenga connections zako, ndipo utakapojua cha kufanya na mtaji. Lakini kwa watanzania wengi ni kinyume, wanaumiza sana vichwa kupata mtaji ili kuanza biashara lakini jambo hili kwenye process nzima inabidi iwe hatua ya mwisho kabisa. ndio...
  18. Knock life

    Janabi hana Exposure wala Experience yoyote ya kimataifa ya kudeal na Afya , ukiachana na nadharia zake za kutoa miongozo katika ulaji hana sifa .

    Janabi hana Exposure wala Experience yoyote ya kimataifa ya kudeal na Afya , ukiachana na nadharia zake za kutoa miongozo katika ulaji hana sifa .
  19. Kipenzi Changu

    Faida ya kukataliwa, Usichukie kukataliwa au kupuuzwa

    Watu wakikukataa usichukie au kupanga kisasi, chukulia kama kupewa changamoto ya kupambana. Usiweke vinyongo na ndugu au jamaa waliokukataa au kukudharau na pengine kukataa kuwasaidia huko mbeleni. Hapana, kukataliwa inaweza kukupa faida zaidi wewe kuliko wao, lakini tu kama utaweka jitihada na...
  20. FestoKaguo

    My first independent research project? A humbling experience.

    Hello JF community it's been a long time I've not shared a thread here but today I just need to share this thread about my first independent research project and a humbling experience I got. I had confidence, I had the topic, and I thought I had it all figured out. But I quickly learned that...
Back
Top Bottom