experience

Experience is the process through which conscious organisms perceive the world around them. Experiences can be accompanied by active awareness on the part of the person having the experience, although they need not be. Experience is the primary subject of various subfields of philosophy, including the philosophy of perception, the philosophy of mind, and phenomenology.
Several different senses of the word "experience" should be distinguished from one another. In the sense of the word under discussion here, "experience" means something along the lines of "perception", "sensation", or "observation". In this sense of the word, knowledge gained from experience is called "empirical knowledge" or "a posteriori knowledge". This can include descriptive knowledge (e.g. finding out that certain things are true based on sensory experience), procedural knowledge (e.g. learning how to perform a particular task based on sensory experience), or knowledge by acquaintance (e.g. familiarity with certain people, places, or objects based on direct exposure to them).
In ordinary language, the word "experience" may instead sometimes refer to one's level of competence or expertise, either in general or confined to a particular subject. In this sense of the word, "experience" generally refers to know-how rather than descriptive knowledge (or in other words, on-the-job training rather than book-learning). This article is not about "experience" in this sense, but is instead about the immediate perception of events.

View More On Wikipedia.org
  1. Dr am 4 real PhD

    Share Your Experience While Working Under An Elite Person

    I wish there is a better way to present this Umewahi kufanya kazi au kwa sasa unafanya kazi chini ya mwanaume au mwanamke tajiri sanaaa? mtu mashuhuri au mwanasiasa wa daraja la juu? Please share your experience with them.
  2. Just Distinctions

    Mliopangiwa kazi Serikalini kupitia Mchakato wa 'Database' ya Utumishi, njooni mtoe Experience yenu

    Habari za wakati huu, suala la kusaka ajira za serikali haijawahi kuwa jambo rahisi kwa wale ambao hawana kazi hata wale ambao wapo kwenye private ila wanataka kuingia serikalini kwa ajili ya security na vitu kama hivyo. Uchache wa nafasi hufanya wengi wafunge safari hivyo hivyo kwenda Dodoma...
  3. mrengo wa kushoto

    Kwa waliowahi kupatwa na bomoa bomoa ya makazi tupeni uzoefu

    Habari wa na JF, Swala la bomoabomoa ni moja ya jambo linaloweza kuathiri kwa kiasi kikubwa mfumo wa maisha ya mtu...Hizi bomoa bomoa zinaweza kuwa kwa makosa ya mtu binafsi labda kujenga ndani ya eneo lisilo sahihi au upanuzi wa project mbalimbali za serikali. Katika changamoto hii tupeane...
  4. marehem x

    Katika maisha fanya mambo kwa kiasi

    Mimi Nina 45 na sina tatizo lolote kiafya. Kimoja Kwa Afya. Katika Umri wote nilioishi na Allah ananipa punzi najistukia na kuona kila kitu naona ni muhimu kila jambo kufanya kwa kiasi. Hata kumpenda wife nampenda kwa kiasi sio nipoteze nguvu zote kumuangukia na kununua mazawa kibao. Pipi tu...
  5. kali linux

    INSTINCTS ARE MATHEMATICAL / MACHALE NI MAHESABU :: From my personal experience as a Data Engineer and Computer Programmer

    Hello bosses........ Nadhan hii inawakuta watu wengi pia. Kuna muda unafanya decision bila kuwa na sababu yoyote ya msingi au logical. Hii wazungu hupenda kuiita 'gut feeling'. Yaan unaweza panga kwenda safari lakini ghafla tu unaamua kuahirisha halafu unasikia basi ulilopanga kusafiria...
  6. amshapopo

    Mwaka 2022 unaelekea mwisho, Malengo yako yalikuwa yapi? Umetekeleza nini? Changamoto? Let's share experience!

    Habari wakuu. Binafsi mwaka huu niliwekea Malengo makuu matatu. 1. Kuhama nyumba ya kupanga na kuhamia kwangu (Nyumba ilikuwa hatua za mwisho yaani finishing) mungu amesaidia nimetekeleza. 2. Kuwa na eneo la ziada (plot) ambayo itakuwa kama asset ya baadaye. Nimetekeleza. 3.Kuwa na mtaji wa...
  7. B

    Mtu akiniuliza kama nimeajiriwa naumia sana rohoni. Kuna mwingine ameshawahi experience hiki?

    Sababu baada ya kumaliza chuo nimekosa ajira baada ya ku-apply sana Kazi sijaambulia kupata, sanasana naishiaga kwenye interview. Nimekaa mtaani mda mrefu, hivyo najishughulisha na temporary informal jobs ndogo ndogo. Mtaani baadhi ya watu wanajua mimi ni mwanachuo, sasa sometimes utakuta mtu...
  8. Bujibuji mafuriko

    Hapa nchini ukipiga namba za dharura wanafika kusaidia?

    Ndugu Zangu hii kitu naiwazaga Sana. Kuna huduma zinatakiwa zitolewe Kwa uharaka mkubwa na Kwa nchi za wenzetu ukifanya hivyo ukapiga hizi namba mfano Ukapiga mamlaka mengine za huduma za dharula haichukui dakika washaamsha safari Kwa Kasi ya kubwa. Hapa bongo vipi??? Najua pia tupo wengi...
  9. sweetdada

    Je, una experience ya sales kwenye printing and designing?

    Anahitajika kijana wa sales mwenye vigezo vifuatavyo: Kuanzia umri wa miaka 21 hadi 30 Aweze kutafuta wateja wa printing, designing, event management, social media management Awe tayari kulipwa Tshs. 200,000 kwa mwezi kama allowance, na 10% commission akileta biashara Awe na experience ya sales...
  10. Samba

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuna shida sana kwenye mfumo; mfumo hauruhusu watu kuomba kazi pamoja na kuwa na vigezo

    Sekretarieti ya Ajira, hivi hamna mtu wa quality assuarance? ili akague adverts zenu kabla ya kuwekwa kwa portal na kwenye webiste? hivi hamnuoni kwamba kuna kazi nyingi zina makosa? Unakuta kazi ipo kwenye category yako na programme yako iko listed lakini huwezi kuomba kazi unaambiwa programe...
  11. C

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Kama mada inavyojieleza hapo wakuu, naomba kufahamu uzoefu walopata wale waliopitia mfumo huo wa elimu kupata shahada zenu. Hiyo ikihusisha namna ya kusoma ugumu na wepesi na pia baada ya kumaliza kusoma.
  12. C

    Wanaume na wanawake wenye experience naomba mnijibu hili

    Hivi inawezekana mwanaume akafahamiana na mwanamke ndani ya mwezi mmoja na mwanaume akagundua kwamba amepata mke?
  13. Chachu Ombara

    Kamisheni ya Utalii Zanzibar kuchunguza Madai ya Mtalii kutoka Naijeria kudhalilishwa kingono

    Zanzibar’s Commission for Tourism has come out to respond to an explosive account of assault shared online by a Nigerian woman on her experience at a ritzy hotel on the island last year. Zainab Oladehinde, through her Twitter account on Saturday, narrated her 23rd birthday celebration at Warere...
  14. Chizi Maarifa

    Hii ni Experience yangu niliyoipata kwa Mwanamke Mwembamba

    Huyu mwanamke ndo wa kwanza kabisa mimi ku sex naye akiwa ni mwembamba. Binafis nimekuwa nikipenda wasichana wanene, wenye hips, huo ndo ugonjwa wangu sana, yaani nikiona wa hivyo nachanganyikiwa kabisa. Basi nikasema anyway ngoja nijaribu na upande wa pili hasa kwa kuwa huyu dada alikuwa...
  15. The_Poxs

    Tupeane experience ya ajira yako uliipata mwaka gani na uliipata vipi?

    Kutokana na tatizo la ajira limekuwa kubwa sana nimeamua kuja na uzi huu kama kuwapa moyo vijana wanaohangaika huku na kule katika kutafuta ajira na kukutana na disappointments nyingi sana mpaka kupelekea kukata tamaa kabisa juu ya soko la ajira la Tanzania. [emoji1428] Nilipigiwa simu ilikuwa...
  16. Jamii Opportunities

    Customer Success Executive (SaaS / Cloud experience mandatory) at Infobip

    Company Description At Infobip we dream big. Last year, over half of the world’s population interacted with businesses through the Infobip platform. It didn’t happen by chance: through 60+ offices on 6 continents, we are truly committed to helping our 200 000 enterprise clients reach and engage...
  17. mathsjery

    Mwenye experience na hii company au kama ipo nyingine nyumbani hapa

    IntelPetro Pump Automation With Accounting & Inventory Management Software naomba wenye ujuzi na hii software au hata kama ipo nyingine hapa kwetu je ni nzuri ? Ina meet requirements zote za shell katika mazingira yetu. Najua kuna ulazima wa kuwa na miundo mbinu ya ICT KWENYE shell...
  18. financial services

    Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

    Hello wakuu!, Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti...
  19. Jamii Opportunities

    Customer Experience Manager at DTB Plc

    Overview Jobs Descriptions Diamond Trust Bank has today grown into a leading commercial bank offering a wide spectrum of banking services. With 28 operational branches in Tanzania, Diamond Trust Bank Tanzania is now looking for capable individuals who have the required qualifications to fill...
  20. VinJoe

    Kwa Experience yangu ya muda mfupi kwenye "Betting" nimegundua mambo machache

    Jambo la kwanza na kubwa kabisa betting is addictive very addictive hutaamini itakavyo kukamata na kuingia kwenye mishipa ya damu yaani kuna wakati kukaa bila kua na ka mkeka unakokasubiria ka tick ✅ basi unahisi kama kuna kitu hakiko sawa hivi. Jambo lingine ni kwamba utakua na matumizi yasio...
Back
Top Bottom