epl

  1. The Mongolian Savage

    Haka kademu kaliobeba Kombe la EPL 2019 kukabidhi Mancity ni mrembo balaa

    Mzuqa wanajf. Haki ya nani katamu halafu kanavutia balaa. Penda sana totoz dizaini hii.
  2. kimbendengu

    Magoli mazuri ya EPL

    Wadau nimejaribu kufikiri hivi haya magoli yaliyofungwa misimu ya nyuma naona leo kile king'amuzi kingekitaa kabisa maana ni hatareee kama sio balaa
  3. K

    Eti liverpool ndio bingwa wa EPL 2019/20? (msijidanganye)

    ,[emoji120]
  4. Titicomb

    Wale wazee wa Livarpool inabebwa ichukue ubingwa wapo kimya week hii!

    Baada ya Sadio Mane kuporwa goli lake na VAR, eti paja sijui kwapa lake limezidi last defense line humu jukwaani na JF na mitandao mingine imekuwa kimya kabisa. Mara ya pili hii VAR inasema mchezaji wa Liverpool FC amezidi mstari (ameotea). Timu yao pendwa imetoka sare na kitimu kidogo. Jamaa...
  5. H

    Ni ipi ligi bora kati ya La Liga na EPL?

    Kumekuwa na mjadala mkubwa sana kuhusu ipi ni ligi bora kati ya la liga na EPL. Niseme kitu kimoja ambacho kinawachanganya watu ni vitu viwili: ushindani na ubora, watu wameshindwa kutofautisha both things. Ligi ya Uingereza ni ligi ya ushindani lakini si bora, ukiangalia team kama Man U na...
  6. Titicomb

    Shabiki wa Liverpool wampa jina jipya mchezaji Kun Aguero

    Habari wadau wa michezo? Mashabiki wa damu wa Liverpool wana hasira sana na Aguero sababu ya unyama anao watendea mara kwa mara wakati timu yao LFC inapokutana uwanjani na Manchester City FC. Sasa katika kupoza machungu na kushangilia hasimu wao kupoteza pointi 2 jana tarehe 17/08/2019 Man City...
  7. lembu

    Sadio Mane: My parents told me pursuing football was a waste of time

    Sadio Mane (Liverpool star) said that his parents have been telling him pursuit football career was a waste of time, right up until he signed his first contract in 2011 with Metz, before moving to Red Bull Salzburg and Southampton prior to his Liverpool switch. Mane, 26yrs old, has developed...
Back
Top Bottom